Weee sema kweliYanga kapangiwa rojo rojo hata nyie mngecheza na Vitali'O mngepita
Azam ni team ndogo yenye pesaSisi Azam tukubali hatuna timu tuna kikundi cha wachezaji
Zipo timu nyingi ulaya Zina pesa na Zina BUY HAPPINESS πAzam ni team ndogo yenye pesa
huijui azam wewe naona hufuatilii mpira. azam hiihii iliyowahi kutolewa na timu ya Djibouti? unaota ndoto za mchana utakojoaYanga kapangiwa rojo rojo hata nyie mngecheza na Vitali'O mngepita
Wenzetu wana management ya hela, wana team inayojua waipeleke wapi na wawekeze wapi. Yale matokeo wanayopata si bahati mbayaZipo timu nyingi ulaya Zina pesa na Zina BUY HAPPINESS π
Kweli tupuWenzetu wana management ya hela, wana team inayojua waipeleke wapi na wawekeze wapi. Yale matokeo wanayopata si bahati mbaya
Halaf kuna azam, pesa wanayo ila hawajui wafanye nini, wanahitaji team mpya mpaka kocha mpya
Bora wangekuwa kikundi cha wachezaji hao ni kikundi cha wahuniSisi Azam tukubali hatuna timu tuna kikundi cha wachezaji
SOMA
- LIVE - CAFCL: APR 2-0 AZAM FC | Preliminary Stage 2nd Leg| aggregate : 2-1 | π Amahoro Stadium | 1900hrs | 24.08.2024
Ficha ujinga wako unawaaibisha mbumbumbu wenzio, msimu uliopita pia alipangiwa rojo rojo mbona alifika robo fainali na kutolewa kwa mipango dhidi ya timu Bora Mamelodi? Vipi hatua ya makundi alikopenya kibabe alikutana na timu za aina Gani, unamzungumzia belouzdad ambae Yuko namba 5 kwa ubora Africa lakini alikalishwa, ni vizuri zaidi ukaileta timu yako ambayo sio rojo rojo uipambanishe na yanga maana akili zenu mshamkabidhi mangungu!Yanga kapangiwa rojo rojo hata nyie mngecheza na Vitali'O mngepita
Kama lile bomu la Kono la nyani lililotua mitaa ya msimbazi, kizuri inatakiwa kula na mwenzio na wao msiwaonee wivu zamu yenu inakuja tenaYanga wanapiga bomu mochwari
Kama vile walivyopangiwa rojorojo kwenye Ngao ya Hisani! πYanga kapangiwa rojo rojo hata nyie mngecheza na Vitali'O mngepita