Kila mwaka Azam huwa anatolewa kimataifa kabla Simba haijaanza mechi zake

Kila mwaka Azam huwa anatolewa kimataifa kabla Simba haijaanza mechi zake

Kwa matokeo haya mabovu- Azam kabla hamjaanza ku- deal na bench la ufundi - pia mumfanyie tathimini na huyu CEO wenu Popati!
Amekaa muda mrefu, lakini ameshindwa kujenga timu Imara ya ushindani- licha ya uwekezaji makubwa kutoka kwa wenye Azam yao
 
Nilivyoiangalia mechi ya kwanza ya Azam na Yanga Kwa jicho la kiufundi unaona kabisa pale hamna timu, hakuna kocha ni uji mtupu then mgt ya hovyo kabisa...Kwa TZ wataenda ila nje ya hapo watasubiri sana, mgt ya kiswahili Kwa Sasa hutoboi kwenye football...siku hizi football mgt Inahitaji watu smart kweli kweli, timu kubwa tu kama Man UTD tena timu tajiri duniani lakini si unaona mgt Yao ilipowafikisha, si suala la pesa bali rasilimali watu tena watu sahihi.

Siku hizi kocha ni uwanjani na mazoezini ila behind the scene Kuna wanaume wanasugua mbongo zao Ili kuhakikisha timu inakwenda mbele, kitu ambacho TZ hakipo, usidhani Al ahly anafanikiwa tu ohoo, Leo hii ahly akiamua tu kumfukuza kocha anamfukuza hata katikati ya msimu na kombe la CAF anabeba, hujiulizi why, There are people out there huwezi kuwaona Kwa macho, usione klabu mfano wa Madrid zinanyanyua kwapa tu ukajua ni rahisi tu hahh.
 
Bora Hao kuliko Man u England amewalaza watu na viatu🤣
Mimi Ile timu siilewi kabisa,hawana plan B,yule mjinga wa Ten Hag anajua Yuko offside linaenda kujitelezesha na kugusa wakati ni goli liko wazi,unamtoa Harry unaingiza De Light,huyu goli kipa wa mchongo na Hawa waholanzi warudi kwao,wako nafasi ya Tisa sijui ya kumi huko kwa sasa,Huyo De Light anajua Mpira hauna madhara anaugusa inakuwa Kona mambo yanajikoroga Tena hapo.
 
Nilivyoiangalia mechi ya kwanza ya Azam na Yanga Kwa jicho la kiufundi unaona kabisa pale hamna timu, hakuna kocha ni uji mtupu then mgt ya hovyo kabisa...Kwa TZ wataenda ila nje ya hapo watasubiri sana, mgt ya kiswahili Kwa Sasa hutoboi kwenye football...siku hizi football mgt Inahitaji watu smart kweli kweli, timu kubwa tu kama Man UTD tena timu tajiri duniani lakini si unaona mgt Yao ilipowafikisha, si suala la pesa bali rasilimali watu tena watu sahihi.

Siku hizi kocha ni uwanjani na mazoezini ila behind the scene Kuna wanaume wanasugua mbongo zao Ili kuhakikisha timu inakwenda mbele, kitu ambacho TZ hakipo, usidhani Al ahly anafanikiwa tu ohoo, Leo hii ahly akiamua tu kumfukuza kocha anamfukuza hata katikati ya msimu na kombe la CAF anabeba, hujiulizi why, There are people out there huwezi kuwaona Kwa macho, usione klabu mfano wa Madrid zinanyanyua kwapa tu ukajua ni rahisi tu hahh.
Uko sahihi kabisa
 
Mimi Ile timu siilewi kabisa,hawana plan B,yule mjinga wa Ten Hag anajua Yuko offside linaenda kujitelezesha na kugusa wakati ni goli liko wazi,unamtoa Harry unaingiza De Light,huyu goli kipa wa mchongo na Hawa waholanzi warudi kwao,wako nafasi ya Tisa sijui ya kumi huko kwa sasa,Huyo De Light anajua Mpira hauna madhara anaugusa inakuwa Kona mambo yanajikoroga Tena hapo.
Man U presha tu
 
Haya mambo yapo t mkuu,hata shule tunaanzag weng ila tunamaliz wachache
 
azam kama man utd.
man utd ishakua hadhi ya nottingham forest huko
 
Back
Top Bottom