Azam nikama kikundi cha wahuni tuSisi Azam tukubali hatuna timu tuna kikundi cha wachezaji
SOMA
- LIVE - CAFCL: APR 2-0 AZAM FC | Preliminary Stage 2nd Leg| aggregate : 2-1 | π Amahoro Stadium | 1900hrs | 24.08.2024
Mimi Ile timu siilewi kabisa,hawana plan B,yule mjinga wa Ten Hag anajua Yuko offside linaenda kujitelezesha na kugusa wakati ni goli liko wazi,unamtoa Harry unaingiza De Light,huyu goli kipa wa mchongo na Hawa waholanzi warudi kwao,wako nafasi ya Tisa sijui ya kumi huko kwa sasa,Huyo De Light anajua Mpira hauna madhara anaugusa inakuwa Kona mambo yanajikoroga Tena hapo.Bora Hao kuliko Man u England amewalaza watu na viatuπ€£
hawana uzoefuSisi Azam tukubali hatuna timu tuna kikundi cha wachezaji
SOMA
- LIVE - CAFCL: APR 2-0 AZAM FC | Preliminary Stage 2nd Leg| aggregate : 2-1 | π Amahoro Stadium | 1900hrs | 24.08.2024
ππ½ββοΈππ½ββοΈππ½ββοΈ nyie uzen tu ukwajuSisi Azam tukubali hatuna timu tuna kikundi cha wachezaji
SOMA
- LIVE - CAFCL: APR 2-0 AZAM FC | Preliminary Stage 2nd Leg| aggregate : 2-1 | π Amahoro Stadium | 1900hrs | 24.08.2024
Uko sahihi kabisaNilivyoiangalia mechi ya kwanza ya Azam na Yanga Kwa jicho la kiufundi unaona kabisa pale hamna timu, hakuna kocha ni uji mtupu then mgt ya hovyo kabisa...Kwa TZ wataenda ila nje ya hapo watasubiri sana, mgt ya kiswahili Kwa Sasa hutoboi kwenye football...siku hizi football mgt Inahitaji watu smart kweli kweli, timu kubwa tu kama Man UTD tena timu tajiri duniani lakini si unaona mgt Yao ilipowafikisha, si suala la pesa bali rasilimali watu tena watu sahihi.
Siku hizi kocha ni uwanjani na mazoezini ila behind the scene Kuna wanaume wanasugua mbongo zao Ili kuhakikisha timu inakwenda mbele, kitu ambacho TZ hakipo, usidhani Al ahly anafanikiwa tu ohoo, Leo hii ahly akiamua tu kumfukuza kocha anamfukuza hata katikati ya msimu na kombe la CAF anabeba, hujiulizi why, There are people out there huwezi kuwaona Kwa macho, usione klabu mfano wa Madrid zinanyanyua kwapa tu ukajua ni rahisi tu hahh.
Man U presha tuMimi Ile timu siilewi kabisa,hawana plan B,yule mjinga wa Ten Hag anajua Yuko offside linaenda kujitelezesha na kugusa wakati ni goli liko wazi,unamtoa Harry unaingiza De Light,huyu goli kipa wa mchongo na Hawa waholanzi warudi kwao,wako nafasi ya Tisa sijui ya kumi huko kwa sasa,Huyo De Light anajua Mpira hauna madhara anaugusa inakuwa Kona mambo yanajikoroga Tena hapo.
π€£π€£π€£π€£ sasa mkuu tunakuja kwann ulimbania smba ukafanya usajil wa kuvuka bara la Africa ukaenda amerka kusin aiseee tukajua uko sriaz unaenda kupambana kumbe umeenda kutali tuHiyo ndio tunaweza