Kila mwanamke ninayemtongoza ananikataa

Sikiliza wimbo wa kibuti wa Bw Misosi... Alitoswa mpaka na changudoa [emoji23]
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ mkuu una akili nyingi Sana Kuna mmoja tayar kaingia kingi elimu yako unaitendea haki
 
Tafuta machicha ya nazi ambayo hayajachujwa unawishe kwenye nyeti 😜😜😜

 
umejaribu cute b, miss natafuta nao pia wamekukataa?
 
Nipo njiani kuja kuona picha yako.
Haiwezekani ukataliwe na kila mtu.
 
mbuzi kafia machinjioni
 
Ni kweli upweke una majanga mengi sana hasa ukiwa katika hali ya kukataliwa.

I fell your pain bro jaribu kutafuta hata wana wakupigie pande.
Shukrani bro,tuanze na wewe kama mwana nipigie pande
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…