Kila mwanamke ninayemtongoza ananikataa

Kila mwanamke ninayemtongoza ananikataa

Nashukuru kwa ushauri mkuu,ila hayo yote nimeyafanya na nilikua bench karibia mwaka mzima na nikazoeana wasichana wengi sana ila nilipo anza tu mtongozo,NO zikaanza
Mkuu pole. Ila huwa nashangaa kimtindo maana hili suala limekuwa rahisi nowadays
 
Mkuu, Strength Weaknesess,Opportunities na Threats nishazitathimini na kuona hamna jambo lolote la ujuaji na kujiona zaidi ya kua normal kama viumbe wengine,,nadhani kuna something extra
pole sana yaani hata wanawake wa kirangi wanachoma betri?
 
Mkuu, Strength Weaknesess,Opportunities na Threats nishazitathimini na kuona hamna jambo lolote la ujuaji na kujiona zaidi ya kua normal kama viumbe wengine,,nadhani kuna something extra
Hujui kutongoza mkuu, haiwezekan kwa hili ya kawaida wanawake wawil wakukatae, yani Joan akukatae uende kwa Prisca nae akatae? Itakua unafeli kwenye kutongoza
 
Wakuu nipo katika kipindi kigumu sana katika maisha yangu,,ipo hivi

Mimi ni kijana mwenye elimu ya Bachelor degree toka jalalani.Toka naanza elimu yangu ya kidato cha 5 mpaka sasa ninapitia wakati mgumu sana sana ambao sidhani kama wenzangu mnapitia. Msichana yeyote nitakaye mtongoza basi lazima anikatalie hata awe wa kawaida.Kwa kipindi cha miaka miwili iliyopita nimetongoza zaidi ya wasichana 35 na wote wamenikatalia na ikitokea mmoja ameonesha nia basi kwenye kufanya mapenzi atakua mkali na kusema hana hisia na mwishowe habari inaishia hapo. Hadi jana nimetongoza na jibu limekua lile lile NO NO NO. Nimejaribu mbinu zote hadi za pesa lakini wapi hada pale jalalani penye maua mengi na shida nyingi kwa hayo maua ya kifedha lakini imeshindikana. Sina tatizo lolote kimuonekano hilo nawahakikishia na kama mtu anahitaji kufahamu hilo anichek pm.Naombeni msaada wenu wana j.f wote kwa ujumla kama kuna mtu kapitia hili janga na alilimaliza vipi maana sasa naona hali imekua mbaya zaidi
Bachelor degree toka jalalani,utakuwa huna hela,hufungui walet. kwahiyo unataka kutuambia hata vyuoni hujawahi kuosha rungu na ma mates''vyuoni totoz'
 
Mmhhhh pole sana. ....wewe unadhani una tatizo gani labda? ?? Jiasses kwanza make pesa unayo muonekano fresh...kitandani je? ?? Usafi wa nje? ???


Cc Smart911
 
Wakuu nipo katika kipindi kigumu sana katika maisha yangu,,ipo hivi

Mimi ni kijana mwenye elimu ya Bachelor degree toka jalalani.Toka naanza elimu yangu ya kidato cha 5 mpaka sasa ninapitia wakati mgumu sana sana ambao sidhani kama wenzangu mnapitia. Msichana yeyote nitakaye mtongoza basi lazima anikatalie hata awe wa kawaida.Kwa kipindi cha miaka miwili iliyopita nimetongoza zaidi ya wasichana 35 na wote wamenikatalia na ikitokea mmoja ameonesha nia basi kwenye kufanya mapenzi atakua mkali na kusema hana hisia na mwishowe habari inaishia hapo. Hadi jana nimetongoza na jibu limekua lile lile NO NO NO. Nimejaribu mbinu zote hadi za pesa lakini wapi hada pale jalalani penye maua mengi na shida nyingi kwa hayo maua ya kifedha lakini imeshindikana. Sina tatizo lolote kimuonekano hilo nawahakikishia na kama mtu anahitaji kufahamu hilo anichek pm.Naombeni msaada wenu wana j.f wote kwa ujumla kama kuna mtu kapitia hili janga na alilimaliza vipi maana sasa naona hali imekua mbaya zaidi
Mkuu... Iliwah kuwa case ya mwanangu Tukiwa versity. Ye idadi Yake ilifika 50+, ila wana tulikuwa tunaona mwana anakwama wap...alikuwa anadharau... Anakurupuka sana.. Ana haraka balaa...mbaya zaid pamoja na character hizo alikuwa Anazingua madem wanaojielewa
 
Kwanini unaulilia ukimwi na magonjwa ya zinaa?
Huko jalalani ulienda kusomea ujinga?
Hakika wewe ni Certified fool
We utakuwa na matatizo .


Nachukia watu wanaoamini kuwa elimu ndo kila kitu.wanakuwa watu wa ajabu kwenye maisha ya kawaida
 
Back
Top Bottom