Swali zuri.vipi afya ya kinywa mkuu iko sawa?
Mkuu pole. Ila huwa nashangaa kimtindo maana hili suala limekuwa rahisi nowadaysNashukuru kwa ushauri mkuu,ila hayo yote nimeyafanya na nilikua bench karibia mwaka mzima na nikazoeana wasichana wengi sana ila nilipo anza tu mtongozo,NO zikaanza
pole sana yaani hata wanawake wa kirangi wanachoma betri?Mkuu, Strength Weaknesess,Opportunities na Threats nishazitathimini na kuona hamna jambo lolote la ujuaji na kujiona zaidi ya kua normal kama viumbe wengine,,nadhani kuna something extra
[emoji50][emoji50]Usiende tafwazwali.
Sio kuzuri huko
Kwamba inawezekana ubavu wake ulitolewa ndiyo nikaumbwa Mimi siyo[emoji23][emoji23][emoji23]Fursa yako iko wazi mkuu..[emoji23][emoji23]
Hujui kutongoza mkuu, haiwezekan kwa hili ya kawaida wanawake wawil wakukatae, yani Joan akukatae uende kwa Prisca nae akatae? Itakua unafeli kwenye kutongozaMkuu, Strength Weaknesess,Opportunities na Threats nishazitathimini na kuona hamna jambo lolote la ujuaji na kujiona zaidi ya kua normal kama viumbe wengine,,nadhani kuna something extra
Yaani ushakwenda???[emoji50][emoji50]
Yale YaleKwanini unaulilia ukimwi na magonjwa ya zinaa?
Huko jalalani ulienda kusomea ujinga?
Hakika wewe ni Certified fool
Bachelor degree toka jalalani,utakuwa huna hela,hufungui walet. kwahiyo unataka kutuambia hata vyuoni hujawahi kuosha rungu na ma mates''vyuoni totoz'Wakuu nipo katika kipindi kigumu sana katika maisha yangu,,ipo hivi
Mimi ni kijana mwenye elimu ya Bachelor degree toka jalalani.Toka naanza elimu yangu ya kidato cha 5 mpaka sasa ninapitia wakati mgumu sana sana ambao sidhani kama wenzangu mnapitia. Msichana yeyote nitakaye mtongoza basi lazima anikatalie hata awe wa kawaida.Kwa kipindi cha miaka miwili iliyopita nimetongoza zaidi ya wasichana 35 na wote wamenikatalia na ikitokea mmoja ameonesha nia basi kwenye kufanya mapenzi atakua mkali na kusema hana hisia na mwishowe habari inaishia hapo. Hadi jana nimetongoza na jibu limekua lile lile NO NO NO. Nimejaribu mbinu zote hadi za pesa lakini wapi hada pale jalalani penye maua mengi na shida nyingi kwa hayo maua ya kifedha lakini imeshindikana. Sina tatizo lolote kimuonekano hilo nawahakikishia na kama mtu anahitaji kufahamu hilo anichek pm.Naombeni msaada wenu wana j.f wote kwa ujumla kama kuna mtu kapitia hili janga na alilimaliza vipi maana sasa naona hali imekua mbaya zaidi
Hapana. Siwezi kwenda.Yaani ushakwenda???
unamfuata ndani uoongoo ?[emoji23]hamna.
Hamnaa hhahaNini[emoji23]
Mkuu... Iliwah kuwa case ya mwanangu Tukiwa versity. Ye idadi Yake ilifika 50+, ila wana tulikuwa tunaona mwana anakwama wap...alikuwa anadharau... Anakurupuka sana.. Ana haraka balaa...mbaya zaid pamoja na character hizo alikuwa Anazingua madem wanaojielewaWakuu nipo katika kipindi kigumu sana katika maisha yangu,,ipo hivi
Mimi ni kijana mwenye elimu ya Bachelor degree toka jalalani.Toka naanza elimu yangu ya kidato cha 5 mpaka sasa ninapitia wakati mgumu sana sana ambao sidhani kama wenzangu mnapitia. Msichana yeyote nitakaye mtongoza basi lazima anikatalie hata awe wa kawaida.Kwa kipindi cha miaka miwili iliyopita nimetongoza zaidi ya wasichana 35 na wote wamenikatalia na ikitokea mmoja ameonesha nia basi kwenye kufanya mapenzi atakua mkali na kusema hana hisia na mwishowe habari inaishia hapo. Hadi jana nimetongoza na jibu limekua lile lile NO NO NO. Nimejaribu mbinu zote hadi za pesa lakini wapi hada pale jalalani penye maua mengi na shida nyingi kwa hayo maua ya kifedha lakini imeshindikana. Sina tatizo lolote kimuonekano hilo nawahakikishia na kama mtu anahitaji kufahamu hilo anichek pm.Naombeni msaada wenu wana j.f wote kwa ujumla kama kuna mtu kapitia hili janga na alilimaliza vipi maana sasa naona hali imekua mbaya zaidi
We utakuwa na matatizo .Kwanini unaulilia ukimwi na magonjwa ya zinaa?
Huko jalalani ulienda kusomea ujinga?
Hakika wewe ni Certified fool
Ndioo. Lazima nione picha ya mtoa mada.[emoji23][emoji23][emoji445]unamfuata ndani uoongoo ?
Eeeeh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu kweli elimu yako imekusaidia sana
Tangazo lako ndio bora kuliko yote niliyowahi kuyaona hapa[emoji23][emoji23][emoji23],,akili nyingii