Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi sio mjuaji mana kila siku nataka kujifunza zaidi,pia hizo sifa zote sina na hata kama nianzo naimani katika hao 35 kuna watano wangezipendautakuwa na tabia chafu yani hata kwenye hatua ya kutongoza tu mtu anaona kabisaaa jamaa sio, majivuno, kujifanya mjuaji, kauli za hovyo, kukosa hekima, dharau yote haya nahisi yamekujaa
atume hapa hapa kama yule wa mkuyenge akiutafutia dawaWanasemaga ni "gundu" dawa yake ni kuoga na magadi au maji ya bahari.
Nakuja pm kuona picha kwanza mkuu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nipo pm tayari mkuu.Inaewezekana mkuu,karibu sana pm afu uone yanayonitokea yanaendana na mimi au lah
Hujui kupangilia vinaWakuu nipo katika kipindi kigumu sana katika maisha yangu,,ipo hivi
Mimi ni kijana mwenye elimu ya Bachelor degree toka jalalani.Toka naanza elimu yangu ya kidato cha 5 mpaka sasa ninapitia wakati mgumu sana sana ambao sidhani kama wenzangu mnapitia. Msichana yeyote nitakaye mtongoza basi lazima anikatalie hata awe wa kawaida.Kwa kipindi cha miaka miwili iliyopita nimetongoza zaidi ya wasichana 35 na wote wamenikatalia na ikitokea mmoja ameonesha nia basi kwenye kufanya mapenzi atakua mkali na kusema hana hisia na mwishowe habari inaishia hapo. Hadi jana nimetongoza na jibu limekua lile lile NO NO NO. Nimejaribu mbinu zote hadi za pesa lakini wapi hada pale jalalani penye maua mengi na shida nyingi kwa hayo maua ya kifedha lakini imeshindikana. Sina tatizo lolote kimuonekano hilo nawahakikishia na kama mtu anahitaji kufahamu hilo anichek pm.Naombeni msaada wenu wana j.f wote kwa ujumla kama kuna mtu kapitia hili janga na alilimaliza vipi maana sasa naona hali imekua mbaya zaidi
[emoji23]hamna.atume hapa hapa kama yule wa mkuyenge akiutafutia dawa
EeeeeehWanasemaga ni "gundu" dawa yake ni kuoga na magadi au maji ya bahari.
Nakuja pm kuona picha kwanza mkuu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
inawezekana asiwe kama unavyomdhania ila akawa amekosa kitu kimoja tu, confidence. halafu pia mtu ukiwa unakataliwa sana inaaffect akili, ukienda kumtongoza mwanamke unakua tayari umeshajikataa kabla hujakataliwa.utakuwa na tabia chafu yani hata kwenye hatua ya kutongoza tu mtu anaona kabisaaa jamaa sio, majivuno, kujifanya mjuaji, kauli za hovyo, kukosa hekima, dharau yote haya nahisi yamekujaa
Wengine wanataka kutoka wengine wanataka kuingia,its wonderful indeed...Wakuu nipo katika kipindi kigumu sana katika maisha yangu,,ipo hivi
Mimi ni kijana mwenye elimu ya Bachelor degree toka jalalani.Toka naanza elimu yangu ya kidato cha 5 mpaka sasa ninapitia wakati mgumu sana sana ambao sidhani kama wenzangu mnapitia. Msichana yeyote nitakaye mtongoza basi lazima anikatalie hata awe wa kawaida.Kwa kipindi cha miaka miwili iliyopita nimetongoza zaidi ya wasichana 35 na wote wamenikatalia na ikitokea mmoja ameonesha nia basi kwenye kufanya mapenzi atakua mkali na kusema hana hisia na mwishowe habari inaishia hapo. Hadi jana nimetongoza na jibu limekua lile lile NO NO NO. Nimejaribu mbinu zote hadi za pesa lakini wapi hada pale jalalani penye maua mengi na shida nyingi kwa hayo maua ya kifedha lakini imeshindikana. Sina tatizo lolote kimuonekano hilo nawahakikishia na kama mtu anahitaji kufahamu hilo anichek pm.Naombeni msaada wenu wana j.f wote kwa ujumla kama kuna mtu kapitia hili janga na alilimaliza vipi maana sasa naona hali imekua mbaya zaidi
Nini[emoji23]Eeeeeeh
Kwani unahisi mapenzi ni sura bro?ebu zinduka ndotoni bwana.Kwanza kupenda au kupendwa sio lazima wewe tafuta pesa tu.Siwezi weka picha yangu public