Kila mwanamke ninayemtongoza ananikataa

Kila mwanamke ninayemtongoza ananikataa

utakuwa na tabia chafu yani hata kwenye hatua ya kutongoza tu mtu anaona kabisaaa jamaa sio, majivuno, kujifanya mjuaji, kauli za hovyo, kukosa hekima, dharau yote haya nahisi yamekujaa
Mimi sio mjuaji mana kila siku nataka kujifunza zaidi,pia hizo sifa zote sina na hata kama nianzo naimani katika hao 35 kuna watano wangezipenda
 
Wakuu nipo katika kipindi kigumu sana katika maisha yangu,,ipo hivi

Mimi ni kijana mwenye elimu ya Bachelor degree toka jalalani.Toka naanza elimu yangu ya kidato cha 5 mpaka sasa ninapitia wakati mgumu sana sana ambao sidhani kama wenzangu mnapitia. Msichana yeyote nitakaye mtongoza basi lazima anikatalie hata awe wa kawaida.Kwa kipindi cha miaka miwili iliyopita nimetongoza zaidi ya wasichana 35 na wote wamenikatalia na ikitokea mmoja ameonesha nia basi kwenye kufanya mapenzi atakua mkali na kusema hana hisia na mwishowe habari inaishia hapo. Hadi jana nimetongoza na jibu limekua lile lile NO NO NO. Nimejaribu mbinu zote hadi za pesa lakini wapi hada pale jalalani penye maua mengi na shida nyingi kwa hayo maua ya kifedha lakini imeshindikana. Sina tatizo lolote kimuonekano hilo nawahakikishia na kama mtu anahitaji kufahamu hilo anichek pm.Naombeni msaada wenu wana j.f wote kwa ujumla kama kuna mtu kapitia hili janga na alilimaliza vipi maana sasa naona hali imekua mbaya zaidi
Hujui kupangilia vina
 
kuna mazingira kuwa hujiamini na wewe mwenyewe unajikataa kitendo tu cha kukiita chuo ulichosoma ni jalala ni dalili ya kujikataa hivyo wanawake wenye akili hawawezi kupenda mwanaume anayejikweza na kujiona mnzuri kuliko wao.
jifanyie SWOT kisha rudi tena.
 
utakuwa na tabia chafu yani hata kwenye hatua ya kutongoza tu mtu anaona kabisaaa jamaa sio, majivuno, kujifanya mjuaji, kauli za hovyo, kukosa hekima, dharau yote haya nahisi yamekujaa
inawezekana asiwe kama unavyomdhania ila akawa amekosa kitu kimoja tu, confidence. halafu pia mtu ukiwa unakataliwa sana inaaffect akili, ukienda kumtongoza mwanamke unakua tayari umeshajikataa kabla hujakataliwa.
mi namshauri awe mchangamfu tu aweke pending kidogo swala la kutongoza, aanze kujenga mazoea ya kirafiki na wasichana then hilo zoezi la kupata mwanamke litakua simple kwake
 
Wakuu nipo katika kipindi kigumu sana katika maisha yangu,,ipo hivi

Mimi ni kijana mwenye elimu ya Bachelor degree toka jalalani.Toka naanza elimu yangu ya kidato cha 5 mpaka sasa ninapitia wakati mgumu sana sana ambao sidhani kama wenzangu mnapitia. Msichana yeyote nitakaye mtongoza basi lazima anikatalie hata awe wa kawaida.Kwa kipindi cha miaka miwili iliyopita nimetongoza zaidi ya wasichana 35 na wote wamenikatalia na ikitokea mmoja ameonesha nia basi kwenye kufanya mapenzi atakua mkali na kusema hana hisia na mwishowe habari inaishia hapo. Hadi jana nimetongoza na jibu limekua lile lile NO NO NO. Nimejaribu mbinu zote hadi za pesa lakini wapi hada pale jalalani penye maua mengi na shida nyingi kwa hayo maua ya kifedha lakini imeshindikana. Sina tatizo lolote kimuonekano hilo nawahakikishia na kama mtu anahitaji kufahamu hilo anichek pm.Naombeni msaada wenu wana j.f wote kwa ujumla kama kuna mtu kapitia hili janga na alilimaliza vipi maana sasa naona hali imekua mbaya zaidi
Wengine wanataka kutoka wengine wanataka kuingia,its wonderful indeed...
 
Back
Top Bottom