Kila mwanamke ninayemtongoza ananikataa

Kila mwanamke ninayemtongoza ananikataa

Try this one
C3MLj8pWIAAxiIu.jpeg
 
Basi jenga urafiki sana na mabaharia waliobobea ambao husifika kwa ukicheche ukijifunza mbinu anazotumia kupata Wanawake wengi kwa wakati wowote anaotaka na bila shaka utafanikiwa tu sababu "ndege wafananao huruka kundi moja"
Wakati nipo chuo, yupo baharia wangu mmoja BAED mtu wa ukelewe alikuwa ni shida anazichapa 24/7 chuo hadi mtaani.
 
acha kiwa mkweli sana..uwongo unasaidia
Wakuu nipo katika kipindi kigumu sana katika maisha yangu, ipo hivi:

Mimi ni kijana mwenye elimu ya Bachelor degree toka jalalani. Toka naanza elimu yangu ya kidato cha 5 mpaka sasa ninapitia wakati mgumu sana sana ambao sidhani kama wenzangu mnapitia. Msichana yeyote nitakaye mtongoza basi lazima anikatalie hata awe wa kawaida. Kwa kipindi cha miaka miwili iliyopita nimetongoza zaidi ya wasichana 35 na wote wamenikatalia na ikitokea mmoja ameonesha nia basi kwenye kufanya mapenzi atakua mkali na kusema hana hisia na mwishowe habari inaishia hapo.

Hadi jana nimetongoza na jibu limekua lile lile NO NO NO. Nimejaribu mbinu zote hadi za pesa lakini wapi hadi pale jalalani penye maua mengi na shida nyingi kwa hayo maua ya kifedha lakini imeshindikana. Sina tatizo lolote kimuonekano hilo nawahakikishia na kama mtu anahitaji kufahamu hilo anicheki pm.

Naombeni msaada wenu wana JF wote kwa ujumla kama kuna mtu kapitia hili janga na alilimaliza vipi maana sasa naona hali imekua mbaya zaidi.
 
Basi jenga urafiki sana na mabaharia waliobobea ambao husifika kwa ukicheche ukijifunza mbinu anazotumia kupata Wanawake wengi kwa wakati wowote anaotaka na bila shaka utafanikiwa tu sababu "ndege wafananao huruka kundi moja"
Kweli,ila nina mabaharia wengi tuu wanawaweka kweli kweli,kuna mmoja anatokea swax ni balaa
 
sawa kaka ila kitu kimoja jaribu kuwa smart yaani sio kuigiza hapana uanze (kama sio) na pia kwenye kuongea uwe na stahi usilazimishe msichana kama akikwambia nitakujibu na pia uwe unamfuata msichana ana kwa ana kama hamko umbali ambao hamuwezi kukutana
mimi sii mzoefu kana kwamba ninafuata wanawake wengi hapana ila nilichoona kitu cha kwanza msichana au mwanamke ana kuhukumu kwa muonekano wako wa kwanza kwake na unavyo ongea
Sawa mkuu nitaufanyia kazi
 
Fanya akuamini... kwa vitendo, care, penda anachopenda, msaidie... kuwa mtulivu unavyokuwa nae, usiwe mkweli 100 per cent - usiongope, usiwe over emotion juu ya mwili wake ingawa unavyoongea au kutembea nae jaribu kumshika mkono ku reduce distance (NB- usimlazimishe), be normal usi pretend wala usijikweze.
Usikurupuke kutongoza tongoza tu, wengine hawapendi kusikia hayo maneno after all wameshasikia sana hivyo hakuna jipya what is matter huwe na approach yako.
Sijui umenisikia au niongeze sauti.
Kwani mkuu Zero IQ anafanyaje kwenye kiwanda chake cha kuzichakata, hatupe uzoefu.
Yani niwe normal si ndio
 
Back
Top Bottom