Nipe Elimu kidogo hapo mkuu, hiyo ni Kwa mujibu wa nani au umerejea wapi?Kurudia kwako hakubadilishi ukweli kuwa neno Malaya hutumika kumaanisha mwanamke ambaye analala na wanaume hovyo kwa starehe za mwili. Na sio mwanaume.
1. Aliyezaliwa miaka ya kuanzia 1980's kuja 2000
2. Ambaye anakwenda na trends za kisasa
3. Ambaye hatambui wala mila na desturi za asili yetu ya afrika anaishi kwa mlengo wa magharibi pekee.
Na mwanaume je mwanaume anavyosemwa huyu kaka nimalaya jamani yaani anajinsia mbiliKurudia kwako hakubadilishi ukweli kuwa neno Malaya hutumika kumaanisha mwanamke ambaye analala na wanaume hovyo kwa starehe za mwili. Na sio mwanaume.
Kaka yangu UMESEMA ila kwa ubishi sasa😀Na mimi sikusema wanawake wote wa kisasa
Hivi kama kichwa tu cha habari kinaleta sintofahamu kuna umuhimu wa mtu kukupa benefit of a doubt na kuanza kuzungumia sentensi ya mwisho ? Kama kweli una peremende ambayo umeifunika na michunga je ni kosa la mtu unayempa akikwambia kwamba product yako ni chungu ?Kichwa cha uzi kinatoa observation yako kuhusu kila mwanamke, umejuaje mawazo ya kila mwanamke?
Si umesema KILA au?SMDH [emoji1751]
So niliposema mwanamke wa kisasa kwa tafasiri yako ni kuwa wanawake wa kisasa wote hiyo ndio haiba yao? [emoji848]
This is a clickbait thread.Hivi kama kichwa tu cha habari kinaleta sintofahamu kuna umuhimu wa mtu kukupa benefit of a doubt na kuanza kuzungumia sentensi ya mwisho ? Kama kweli una peremende ambayo umeifunika na michunga je ni kosa la mtu unayempa akikwambia kwamba product yako ni chungu ?
Kama watu wame attack uzi wako ambao huenda una mawazo mazuri au una mawazo mazuri kichwani mwako (ambayo haujayaweka wazi) basi ni kosa lako kushindwa ku represent mawazo yako as far as the heading is concerned your statement is void ab initio....
Vita ya nini?Unaanza kunitia mashaka sasa?
Mbona kama unaanza kujihami and hata sijatangaza vita uelekeo wako?
Are you declaring war with me? [emoji848]
Huyo kiongozi ukiangalia matendo yake ya hadharani na kuyalist ni sawa.Unajua nashindwa kukuelewa? Unaongelea kwamba mimi nawaongelea wanawake kwamba nabashiri matendo yao au naongelea wanawake wa kisasa kwa kuwatazama wanachofanya na kukiongelea? [emoji848]
So mfano wewe, ukiwa ni kiongozi wa serikalini then unatembea na wake za watu, unakula rushwa, unaiba pesa za serikalini, unatumia vibaya madaraka yako.
Mimi nikija kulist hizi tabia zako na kusema tabia za fulani ambaye ni kiongozi wa serikalini amefanya hili na hili na hili, hapo nakuwa nasoma mawazo yako au nakuwa nimeibua matendo yako ya hovyo hadharani kwa kuyalist kutokana na mwenendo wako wa wazi wazi na sio kuhisi akili yako inawazaje? [emoji848]
Sawa society police....🤣tuambie Cha kufanya...ehe kitu Gani kingine ni uchafu according to you...oh great much know...Huwezi kuelewa spirit ya kiume kama tu umeniuliza swali ambalo jibu lake unatakiwa uwe nalo hata kabla haujaona nukta ya sentence nilipoongelea spirit ya kiume. Hivi nikakuonyesha logo ya Mercedes Benz au Ferrari halafu ukaniuliza ni kitu gani hicho nimekuonyesha na tunaongelea magari si nitakuwa napoteza muda wangu na mtu ambaye hata hazitambui famous car brands za dunia.
2. Nakusaidia tu marekani na uingereza na Canada kwa mfano, je unajua zipo hali gani kwasasa kiuchumi ukilinganisha na miaka ya kuanzia 1980 kurudi nyuma? Kabisa unaweza sema wapo katika level bora ukilinganisha na miaka ya nyuma? Na unajua madhara ya ushoga katika hayo mataifa? Halafu mbona kama unatetea ushoga? [emoji848]
3. So, ushoga kutokuwa halali au halali how will that affect matokeo yake eneo la maambukizi ya magonjwa ya zinaa as long as watu wanaendelea kuambukizana huko wanapofanya kizani, kwan hata huko walipohalalisha wanafanyia nje, si wanafanya vyumbani mwao, how is that even relevant hapa?
4. By shoga i meant 100% shoga kama akina james delicious. Sio bisexuals ambao anafamilia nadhani huwa wanawapa jina la mchicha mwiba au basha. Sasa sijui unajua impact ya reverse intercourse kwenye sperm production. Usinilete kwenye huo mjadala please go do your homework usinipe kazi ya kusoma uchafu tena i had a rough time digesting the knowledge.
5. Huo ni mtazamo wako ila haina uhusiano na uhalisia maana mimi sijatengeneza majibu.
6. Kama kwako MUNGU ni tofauti mimi kwangu naangalia unachofanya. Kama alichokukataza wewe ndicho nilichokatazwa mimi then we call him by different names but he's the same God.
7. How does even this apply in this discussion? [emoji848]
8. Kama haujawahi ona wasimbe ambao wanakesha kwa mwamposa tu wakiomba ndoa, bado sijasema kwa mama rwakatale wale wa upepo wa kisurisuri na makanisa mengine ya upako, hapo sijakupeleka misikitini ukaone matangazo ya request za ndoa wanawake wanaomba kwa masheikh, mufti na maimamu, bado kitaa huku, sasa sijui mwenzetu umeamua tu kushindwa kuona.
Hadi unajihami kusema hautetei ushoga ina maana tayari umeweza baini red flags zako mwenyewe. Yaani una achia hewa chafu halafu unawahi kutangaza kuwa kama mtu atanusa hewa kali asije kusema wewe umechafua hewa, huoni tayari unajiweka katika list ya mtuhumiwa namba moja? [emoji848]
Umeoa?Umeolewa?(sababu sijui jinsia yako)....inamaana hii phase uliyo iongelea ina deal na wanawake tu???Katika maisha ya mwanamke wa kisasa, kuna stage imekuwa introduced inaitwa "Hoeing phase". Hii ni stage ambapo mwanamke anakuwa anataka kuwa huru kufanya yale yote ambayo jamii imekemea mwanamke kufanya au yale yote vitabu vya MUNGU vimepiga marufuku ili ajisikie kuwa ameishi kwa utimilifu maana bila kufanya hivyo maisha hayajakamilika kwake.
Mfano wa mambo yaliyopigwa marufuku na jamii na vitabu vya MUNGU ni
1. Kufanya umalaya yaani kulala na mwanaume zaidi ya m'moja au nje ya mume wa ndoa kwa sababu za kujaribu tu kuwa na mtu tofauti.
2. Kufanya Ukahaba yaani kutumia mwili kujipatia kipato au vitu ambavyo hawezi lipia kwa pesa yake mwenyewe na mara nyingi vinakuwa si vitu vya lazima kuwa navyo ila basi tu mradi kwenda na trend ya wakati husika.
3. Kuweka tattoo mwilini, kuvaa nywele bandia, kutia vipini hata sehemu zilizokatazwa kiimani.
4. Kuvaa nguo za kuachia maumbile yaonekane kwa lengo la kutamanisha wanaume ili wamfuate na kumtaka kingono.
5. Kuzurula mijini na kutoa macho kumangamanga kama binti aliyevunja ungo wiki mbili zilizopita.
6. Kumkana MUNGU kwa matendo na kumkiri shetani kama kiongozi wa nafsi kwa usiri na kwa hiyari.
7. Kuingiliwa na wanaume wengi kwa wakati m'moja baada ya kutumia kilevi cha kutoa aibu.
8. Kutengana na mume kwa muda na kukaa mbali na watoto for "sista hood" moment. Muda huu huwa wanaita vacation. Wanakuwa na kikundi cha marafiki mafenist a.k.a mafreemason wasiojua maana ya ndoa wala heshima ya familia, wanakuwa wasimbe wanaojifanya ni mabinti wa miaka 19 kumbe ni watu wazima wa miaka 27+ au hata 35+.
9. Kuzaa na mtu ambaye anajua kabisa kuwa ni irresponsible kuwa baba wa mtoto mfano, mume wa mtu, kijana ambaye hana appearance ya kuwa baba wa familia a.k.a wasuka rasta, wavaa mlegezo jeans kuchanika, tattoo shingoni, wazee wakushinda spaa akijitengeneza kucha na uso uwe soft kama wa mwanamke, mzee wa kuomba hela , kukaa kwenye apartments za dada, shemeji, au familia, etc, hawa ndio huwa wanaamua kuzaa nao sababu ni very cute, so adorable [emoji7] I want my baby to have your eyes, your lips.
10. Kutest maumbile ya madudu ya wanaume tofauti tofauti kila mwezi ili kugundua ladha wanazosema wanawake wenzake ambazo yeye hajawahi kuonja hata kama itarisk afya yake, ila hatojali.
11. Kutest kuingiliwa kinyume na maumbile sababu wanawake wenzake wamefanya na wanasema ni raha na ina faida kadhaa. (Ushenzi mtupu.)
12. Kucheza na hisia za mwanaume ambaye ana dhamira ya kufanya maisha ya ndoa nae na yupo tayari kwa commitments kwa kumpiga chenga za kitoto,deko zisizo na mbele wala nyuma, kuhairisha miadi kukataa proposals na kadhalika.
Deep down anakuwa anajua mwanaume ana upendo wa kweli ila anachagua kutompa nafasi anamuweka kwenye waiting list ili kwanza amalize "hoe phase" then akisha chakaa atamrejea baadae huko ndipo waongee maswala ya ndoa hapo aidha ana mtoto au watoto wa mwanaume au wanaume wengine, au umeshachakaa mwili hauna tena mvuto na ameshastuka kuwa soko lake (Sexual Market Value) imeanza declining phase na anapoteza attention kwa kasi sana.
13. Kupost picha, video, na captions zinazokwenda na trends za social network bila hata kujali wala kujua madhara yake siku za baadae. Ikiwamo pia na kujoin social networks kwa lengo la kuongeza market ya attention ya wanaume watakao mtazama na ikibidi kuwafanyia vitu wanavyotamania ili awashike akili na kuweza kupata chochote tokea kwao. Mitandao kama TikTok, Only Fans, Instagram inatumika sana kujinadi na kufanikisha "hoe phase" kwa kiwango kikubwa.
Whore phase kwasasa ni stage ambayo mabinti na wanawake wa kisasa wanaipa umuhimu sana, tofauti na mama na bibi zetu ambao waliiona kama ni abomination, Haramu na kwenda kinyume na maadili ya jamii na uanamke.
Hata miaka hiyo wapo wanawake ambao waliifanya kama kutoroka nyumbani kwenda club, kunywa pombe na vilevi etc mambo ambayo wazazi wakijua wanaweza patwa mshituko wa moyo.
Ila haikuwa extended kama na kwa kiwango kikubwa na cha kutisha kama cha sasa.
Whore phase kwasasa inafanywa with Passion na dedication kabisa na matendo yake yameongezeka level ya uchafu na wazi wazi na jamii ya wanaume Ma"simp" ndio wadhamini wa "hoe phase" wakikakikisha hawa mabinti na wanawake wanaojipitisha stage hii wanakuwa na security ya kufanya upuuzi wao kwa amani na kujiamini.
Mafeminist wamejitoa kuwa watetezi wa hizi laana na kutoongelea au kukemea popote huku wakijinadi kuwa wao mafeminist wapo kwaajiri ya kuteta ustawi wa mwanamke kumbe ndio washenzi mafreemason wa kwanza kwa kuudidimiza utu wa mwanamke kwa kumpotosha kuhusu value zake za asili.
Kwa upande mwingine wanaume Masimp wanawapa assurance wanawake ya kuwa watakapomaliza upumbavu wao na kutaka kuwa serious wao watakuwa milango wazi kuwapokea na kuwa mume mwema huku wakisamehe madhambi yao yote waliyowahi wafanyia au uchafu waliofanya katika usichana wao na watabeba majukumu yote ikiwamo watoto ambao si wao.
Sasa tukianza kuulizana kwa mujibu wa nani utaanza kunipa kazi ya kuanza kukuchimbulia vyanzo vys kihistoria kukuelezea jambo simple tu ambalo ulitakiwa uelewe maana yake na kujua matumizi sahihi.Nipe Elimu kidogo hapo mkuu, hiyo ni Kwa mujibu wa nani au umerejea wapi?
Sidhani kama ni common kumkuta mwanamke wa miaka ya sabini, sitini, hamsini au miaka ya arobaini na saba anafanya matendo niliyolist hapo.Kwahiyo hizi tabia zote ni za wanawake wote wanaoangukia kwenye hizo sifa tatu, sahihi?
Mwanamke wa kisasa ni aliyena mrengo wa kimagharibi, anaenda na trends, na amezaliwa kuanzia 1980 kuja 2000 ndio wote wapo kwenye hili kundi lenye hizi tabia zote umeziweka hapa?
Uko wapi....😹[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unajua we mwehu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni matumizi mabaya ya maneno kwan ndio neno la kwanza kutumika vibaya?Na mwanaume je mwanaume anavyosemwa huyu kaka nimalaya jamani yaani anajinsia mbili
Wapi onyesha ushahidi mbona rahisi tu kunibana.Kaka yangu UMESEMA ila kwa ubishi sasa[emoji3]View attachment 3050946
Kushindwa kwako kudadavua na kuelewa kitu haimaanishi kuwa hakipo sawa, pengine level yako ya uelewa ipo chini ya ufahamu na uwezo wa mwandishi not necessarily umuelewe ndio ujumbe uwe sawa.Hivi kama kichwa tu cha habari kinaleta sintofahamu kuna umuhimu wa mtu kukupa benefit of a doubt na kuanza kuzungumia sentensi ya mwisho ? Kama kweli una peremende ambayo umeifunika na michunga je ni kosa la mtu unayempa akikwambia kwamba product yako ni chungu ?
Kama watu wame attack uzi wako ambao huenda una mawazo mazuri au una mawazo mazuri kichwani mwako (ambayo haujayaweka wazi) basi ni kosa lako kushindwa ku represent mawazo yako as far as the heading is concerned your statement is void ab initio....