Kwa namna umesema ni sawa na kusema at least ukinunua gari used kwa bei ya gari mpya unakuwa umepunguza usumbufu wa kujua ubora wa gari sababu atakaelitumia na kukuuzia atakupa ushuhuda wa ubora wa hilo gari baada ya kulitumia muda mrefu sana na kulichoka kisha akakuachia kwa bei kuzidi ya soko kwa model mpya ya gari hiyo hiyo uliyonunu.
So nikuulize swali, mfano akija mtu akakuuzia iphone 7 pro max iliyotumika tena na mtumiaji zaidi ya m'moja kwa bei sawa na ya Iphone 15 pro max mpya ya dukani, utanunua na kujiona umefanya maamuzi sahihi?
Yaani, utasema afadhali nimenunua hii iphone 7 pro max imetumika lakini ipo vema sana na aliye tumia amenihakikishia alinunua ikiwa mpya na ameithibitisha kuwa ni original na ina guarantee ya ubora. Sipendi kununua hizi za sasa nasikia unaweza lipia bei ya juu na ukauziwa za kichina ingawa ni mpya
Unaweza kuwa mwendawazimu kiasi hicho kwenye matumizi ya pesa yako uliyoitolea jasho kununua kitu used na cha zamani kwa bei ya juu sawa sawa na bei ya modeli mpya ya hicho cha zamani ikiwa mpya kabisa bila kutumika popote?
Ooh sijajua kwanini umeamua kutumia mfano huu wa kifaa ambao mostly muundo wake ni wakibiashara so the more kinavyotumika ndio the more kinavyopoteza ufanisi so probably siwezi kununua kifaa used kwa bei sawa na ya dukani wakati najua tayari kimeshatumika sana so ufanisi wake uko mashakani.
So mfano wako ukiuleta kwa upande huu utaingia kwenye upande wa umri maybe ila mimi sikuingia kwenye engo ya umri bali ya experience ndio maana ukiniletea dereva ambae ametoka kuhitimu pale NIT na yule ambae alishahitimu na akaifanyia kazi elimu yake kwa zaidi ya miaka kadhaa na akaanza kunihadithia ajari kadhaa ambazo aliwahi kuzipata akiwa kwenye majukumu yake basi mimi nitaenda na yeye bila kujali ya kwamba alishaangushaga gari coz naamini kwenye hizo ajari alizowahi kuzipata zimempa funzo na kumkomaza kama dereva.
Kwahiyo ni experience mkuu na sio uchakavu, coz wadada wengi wenye hizo tamaa tajwa hapo juu ni wale wa 20s ila wengi wakishaingia kwenye 30s akili zinawakaa sawa na wale wanaowahi kuolewa kwenye hiyo age ya 20s ndio huwa hawatabiriki ni lini watakengeuka kutamani kuyaishi hayo maisha tajwa hapo juu maana kuna wengine wanaweza kuacha familia zao hata 40s na wakaenda kuhangaika na maisha yanayofanywa na wajukuu zao heheheee
Well nina habari mbaya kwako then kama una apply formula ya experience ya dereva wa roli kwenye experience ya mahusiano ya awali ya mwanamke kwenye uhusiano mpya.
The longer the list ya wanaume aliyokuwa nayo mwanamke the damaged goods she'll be. Mwanamke aliyepita na wanaume kuanzia wawili tayari huyo ni damaged goods na kuna shortcomings utakutana nazo na utaishi nazo ukizijutia maisha yako yote.
Si kila kitu kina appreciate in value with time. Mfano bidhaa kama iPhone with time ina loose value kwenye soko sababu features zake zinaanza kuwa outdated kwa users.
Nimelinganisha iphone na mwanamke ambaye ana compete kwenye soko la uzuri na wanawake wenzake.
Mwanamke ni kama samaki mbichi, akiwekwa mezani anunuliwe kabla jioni haijafika. Akiringa kuuzika, akilala atachina na hatanunuliwa kwa bei nzuri tena kesho yake sababu ni samaki wa jana. Nani anataka samaki aliyechina kwa bei sawa na samaki wa leo?
Cha zaidi anaweza tupwa akaliwe na paka wa jalalani a.k.a kuolewa na mwanaume wa hovyo asiye na mbele wala nyuma.
Ukisema mwanamke aliyeliwa anakuja na experience nipe faida unazopata na experience ya mwanamke aliyeliwa sana. Me nitakupa baadhi.
1. Uke wake unakuwa wa baridi sababu joto la uke ni matokeo ya kupanda kwa mapigo ya moyo, ambayo huagizwa na ubongo kupeleka damu kwa wingi kwenye uke ili kuupa joto ambalo hutumika kupasha uume wa mwanaume msisimko ili nao uweze kurequest flow kubwa ya damu kutoka kwenye ubongo wake ns kuweza kupelekeana moto. Mwanamke aliyeingiliwa sana hana tofauti na mwanamke mzee au ajuza eneo hili anakuwa wa baridi huko chini so hautafurahia kulala nae.
2. Hakunaga one shoe size fits all feet type of shoes. Kiatu kizuri ni kile kinachovaa mguu wako vema na hata kikikupwaya ukivalia soksi unaweza tembelea. Maumbile ya mwanamke aliyepitiwa na wanaume mara nyingi hukosa sifa ya kushika uume vema hata kama yalitanuka kwa muda fulani. MUNGU amemuumbia mwanamke alijifungua mtoto au watoto ila halali hovyo na Wanaume nje ya mumewe namna ya maumbile yake kujirudia na still yakatoa joto zuri la kumsisimua mwanaume sababu ya ile hali ya mwili wake kuguswa na mwanaume huyo tu ila amemnyima mwanamke kahaba /malaya uwezo wa uke wake kuweza kumpa joto mwanaume na kumfanya asisimke. Ni scientifically proven na studies zilifanywa india huko.
3. Mwanamke akiliwa sana anakuwa mentally unavailable kudeal na leadership ya mwanaume m'moja so kichwani mwake yeye anamilikiwa na wanaume wote waliomla awali hata ufanyaje hutaweza wafuta hawa watu.
4. Reputation ya mwanamke akiyeliwa sana huwa ina precedes her, tegemea siku ndugu, rafiki, au jirani yako, pengine hata coworkers au associate aseme anamjua mkeo kutoka tukio fulani la ngono. Utajiskiaje kujua mkeo alishawahi kuliwa na rafiki yako before hamjakutana?
5. Heshima kwa watoto. Mwanaume mwenye akili hutafuta mke mzuri na mtulivu ila baba mwenye hekima huwatafutia watoto wake mama bora. Hiyo aibu ya mkeo kulala na wanaume wengi unayoifumbia macho, kuna siku watoto wako watasikia wazee (age mates wako) wakizungumzia namla mama yao alivyokuwa analiwa kipindi fulani na mwana fulani. Watoto watakudharau sana baba yao kwa kutozingatia utu wao na kuwachagulia mama used ambaye hakujiweka katika position ya heshima for her future kids.
Nadhani hizi points chache zinakutosha kusukutulia akili yako.
Hahahaaa umenifanya nicheck hapo kwenye kusukutulia akili.
Umeandika kwa fusuli ila bado ninashaka na hizi point zako kwa maana kwanza hizi point zako zimelalia sana upande wa makahaba kwahiyo ni labda zimetoka nje ya tunachokijadili hapa au pengine mimi sijaielewa hii mada kwa uzuri.
Nilidhani mwanamke tunaemzungumzia hapa ni yule ambae anataka kuwa free, yaani hataki kuwa chini ya himaya ya mtu kwahiyo kama anataka kwenda out anaenda kama anataka kusafiri anasafiri kama amelitamani penzi la Thecoder basi anamtafuta wanaenda kuhave fun, yaani hivyo yani.
But wewe umetoa point za mwanamke ambae ameamua kujiuza ila sio yule anaetamani apitie mambo kadha wa kadha kama ulivyotaja kule kwa bandiko la uzi huu.
Na kingine kwa point yako ya kwamba mwanamke akilala na mwanaume zaidi ya mmoja basi kichwa yake inakua na wote hao, hii nayo haina nguvu kwa maana sikuhizi watu kuoa mwanamke ambae sio bikra ni jambo la kawaida mno na ni ngumu kujua tangu atolewe bikra hadi amekutana na wewe ameshalala na wanaume wangapi, kwahiyo kwa point yako hii ni sawa na kuuaminisha uma humu kwamba wake zao kwa asilimia kubwa wanaangukia kwenye hizo sifa tajwa hapo juu.
Wanawake ni binadamu wa kawaida kwahiyo tusiwachukulie kwamba labda wanaudhaifu saaaana na pia nisisitize kwamba sipingani na huu uzi ila imani yangu bado iko pale pale kwamba mwanamke ambae ameshaishi maisha ya uhuru na kupitia zile stage zote ambazo alikua anazitamani kupitia akimaliza na akaamua sasa nataka kuolewa bila shinikizo la mtu yeyote huyu lazima atulie kwenye ndoa coz hana asicho kijua.
Nikuibie tu siri mkuu mwanamke wa hivyo ndio namtaka mimi.