Does "kila mwanamke wa kisasa" automatically means "wanawake wote wa kisasa"?Si umesema KILA au?
Tufanye umeshinda boss✌️Does "kila mwanamke wa kisasa" automatically means "wanawake wote wa kisasa"?
Ulisoma hesabu za set? [emoji848]
Unaona umuhimu wa masomo ya sekondari sasa?
What if nikikwambia kila mwanamke wa kisasa isipokuwa wale ambao wanaretain traditional values za mwanamke.
Kuwa na amani.Okay, i was just checking just in case i have offended you in anyway.
No, it's actually pompous putrid pitter pattering.No, its actually a "leftists woke whisperer" thread.
You are Sarcastically asking and am sarcastically declining. Check mate.Sawa society police....[emoji1787]tuambie Cha kufanya...ehe kitu Gani kingine ni uchafu according to you...oh great much know...
Hapa nachoona ni kitu Fulani kibaya coz hufanyi...not coz ni kibaya....jaribu kuongea kwa hoja sio kukimbilia dini zilizoletwa na mashua. Tell people wat is wrong with behaving differently from you. Sio kutoa vitisho. This goes to all ppo men, women, children . Kila mtu ni mlinzi wa mwili wake. Mambo ya kujudge people because they sin differently ni utoto.
Ndo maana kwenye bible yesu alisema "yule asie na dhambi arushe jiwe la kwanza"
You are entitled to your own opinions but no one is entitled to their own facts...., Na haiwezi kuwa factual ukiweka neno KILA (which means wote) kwenye kadamnasi ya watu ambao wapo tofauti na kuwaweka kwenye fungu moja... Sasa kama wewe na hao watu wako wanaokupongeza all the best ingawa wewe na watu wako no matter how many they are hamuwezi kubadilisha nyeusi ikawa nyeupeKushindwa kwako kudadavua na kuelewa kitu haimaanishi kuwa hakipo sawa, pengine level yako ya uelewa ipo chini ya ufahamu na uwezo wa mwandishi not necessarily umuelewe ndio ujumbe uwe sawa.
Sasa wewe unaona uzi unashida yet watu kibao wanakuja Dm wanapongeza nilichoandika kuniomba ushauri, who are you to tell me what i wrote is irrelevant na nimewagusa wengi? [emoji848]
It actually doesn't. I am just pointing out that your observation is fundamentally wrong since you do not have the capacity to observe what you claim to observe.Well kama mimi nawaona ni wote, wewe hauoni ni wote, which means we don't share the same view of reality, why does that affect your Peace of mind? [emoji848]
You sound woke and definitely delusional. Sasa ni swali gani hili unaniuliza kuwa nimeoa au kuolewa na huelewi jinsia yangu ni ipi?Umeoa?Umeolewa?(sababu sijui jinsia yako)....inamaana hii phase uliyo iongelea ina deal na wanawake tu???
Vipi kuhusu wanaume wanao zalisha na kukataa watoto,vipi kuhusu wanaume wanao waingilia wanawake kinyume na maumbile,vipi kuhusu wanaume wanaobaka na kulawiti watoto wadogo,vipi kuhusu "suger dady"....
Umesha jaribu kufikiria mwanaume anaharibu wapi na mwanamke anaharibu wapi...kabla ya kuandika chochote?!!!!!!
Phase hii haina wa kumzingizia.....it is for all..men and women!!!!!!
Kama pastor Christina ShushoThus hata mimama iliyovuka stage ipo bize kujiachia na kuvunja ndoa zao wengine wanasema waliolewa wadogo
Same one obvious sign of retarded brain being unable or slow in processing the clear and visible signs and indicators of negative behavior and choose to unsee it and bash the whistle blower.One obvious sign of an idiot is someone making a hasty generalization logical fallacy.
Pokea simu, pokea simu hiyo namba inaishia na 20 ni mimi 😹Njoo hapa mikasa naingia muda si mrefu.