Kila mwanamke wa kisasa ana ndoto ya kupitia stage hii

Kila = each (selective)

Wote = all (inclusive)

Upo serious kabisa kunichallenge na matumizi ya haya maneno. Na nimekuelezea basi mwambie abadili. Kichwa cha habari sasa sijui kisemeje.
 

Hayo ni kwa mujibu wa maelezo yako, nataka kujua zaidi kuhusu hichi ulichokiandika. Umekuja na tafsiri yako ya ukisasa, kisha ukaweka tabia zao na kutaka kupachika wanawake hizo tabia. Hauoni unapotosha jamii?

Sio common kukuta mwanamke wa hiyo miaka akifanya hivyo vitu lakini wapo, hali kadhalika kuna wanawake wamezaliwa miaka ya 1980 na hawana hizi sifa umeziweka hapa hata moja.

unatolea mfano niende online nijihakikishie watu ntakaowakuta huko, kweli niende bar kisha nishangae kukuta walevi? Eboh

Nafikiri umeamua kuja na jina jipya la makahaba kama wanawake wa kisasa. Lazima wote watakua na hizo sifa.
 

Kama ni kwa maamuzi ya kila mtu anaweza kusema chochote basi tubaki na tafsiri za kila mmoja anavyoelewa.
Uasherati (tendo la ndoa nje ya ndoa)
Uzinzi (tendo la ndoa kwa waliokwnye ndoa na mtu asiye mwanandoa mwenza)
Ukahaba (Kufanya tendo la ndoa kwa kujipatia kipato na mtu asiye mwanadoa mwenza)
Umalaya (tendo la ndoa mtu zaidi ya mmoja asiye mwanandoa mwenza)
 
It actually doesn't. I am just pointing out that your observation is fundamentally wrong since you do not have the capacity to observe what you claim to observe.

You just make up shit.
If i stay in a small town of 100, 000 people situated in the middle of a country with a total population of 55,000,000 people including those 100, 000 people in my town, who every day drink heavily by 99% of them not including me.

And i make a statement online which then viewed by most of 55,000,000 population, and i say, "Watu wa hii inchi ni walevi sana". And you, living outside and far from my small town. Will that statement be factual to you, or will it be me making a fundamentally wrong observation because you don't seem to notice anyone drinking around you like the way i notice no body being sober around me? [emoji848]
 

Matumizi mabaya according to who?
 
Kama nimechunguza wanawake 100 au 1000 wa kisasa nikisema wanawake wa kisasa nitakuwa sahihi not necessarily niwataje kwa majina wanawake 1000 nitamaliza leo?

And why wewe ukazie kuwa ni wote wakati niliyeandika uzi sijaweka huo msisitizo unaotaka wewe uwepo ili ufanikishe ajenda yako? [emoji848]
 
Sawa, basi baki na hiyo maana kama ninachokwambia unakataa. Na pia mjane ni mwanaume aliyefiwa na mkewe, na pia baba aliyefiwa na mke na watoto anaitwa Yatima. Au sio? [emoji848]
 

''Kila mwanamke wa kisasa ana ndoto ya kupitia stage hii''

Wakati unaandika hivi ulitarajia kitu gani?
 
Sawa, basi baki na hiyo maana kama ninachokwambia unakataa. Na pia mjane ni mwanaume aliyefiwa na mkewe, na pia baba aliyefiwa na mke na watoto anaitwa Yatima. Au sio? [emoji848]

Ni wapi huko hiyo mifano ya yatima na wajane inatumika?
 
Ooh sijajua kwanini umeamua kutumia mfano huu wa kifaa ambao mostly muundo wake ni wakibiashara so the more kinavyotumika ndio the more kinavyopoteza ufanisi so probably siwezi kununua kifaa used kwa bei sawa na ya dukani wakati najua tayari kimeshatumika sana so ufanisi wake uko mashakani.

So mfano wako ukiuleta kwa upande huu utaingia kwenye upande wa umri maybe ila mimi sikuingia kwenye engo ya umri bali ya experience ndio maana ukiniletea dereva ambae ametoka kuhitimu pale NIT na yule ambae alishahitimu na akaifanyia kazi elimu yake kwa zaidi ya miaka kadhaa na akaanza kunihadithia ajari kadhaa ambazo aliwahi kuzipata akiwa kwenye majukumu yake basi mimi nitaenda na yeye bila kujali ya kwamba alishaangushaga gari coz naamini kwenye hizo ajari alizowahi kuzipata zimempa funzo na kumkomaza kama dereva.

Kwahiyo ni experience mkuu na sio uchakavu, coz wadada wengi wenye hizo tamaa tajwa hapo juu ni wale wa 20s ila wengi wakishaingia kwenye 30s akili zinawakaa sawa na wale wanaowahi kuolewa kwenye hiyo age ya 20s ndio huwa hawatabiriki ni lini watakengeuka kutamani kuyaishi hayo maisha tajwa hapo juu maana kuna wengine wanaweza kuacha familia zao hata 40s na wakaenda kuhangaika na maisha yanayofanywa na wajukuu zao heheheee
Hahahaaa umenifanya nicheck hapo kwenye kusukutulia akili.

Umeandika kwa fusuli ila bado ninashaka na hizi point zako kwa maana kwanza hizi point zako zimelalia sana upande wa makahaba kwahiyo ni labda zimetoka nje ya tunachokijadili hapa au pengine mimi sijaielewa hii mada kwa uzuri.

Nilidhani mwanamke tunaemzungumzia hapa ni yule ambae anataka kuwa free, yaani hataki kuwa chini ya himaya ya mtu kwahiyo kama anataka kwenda out anaenda kama anataka kusafiri anasafiri kama amelitamani penzi la Thecoder basi anamtafuta wanaenda kuhave fun, yaani hivyo yani.

But wewe umetoa point za mwanamke ambae ameamua kujiuza ila sio yule anaetamani apitie mambo kadha wa kadha kama ulivyotaja kule kwa bandiko la uzi huu.

Na kingine kwa point yako ya kwamba mwanamke akilala na mwanaume zaidi ya mmoja basi kichwa yake inakua na wote hao, hii nayo haina nguvu kwa maana sikuhizi watu kuoa mwanamke ambae sio bikra ni jambo la kawaida mno na ni ngumu kujua tangu atolewe bikra hadi amekutana na wewe ameshalala na wanaume wangapi, kwahiyo kwa point yako hii ni sawa na kuuaminisha uma humu kwamba wake zao kwa asilimia kubwa wanaangukia kwenye hizo sifa tajwa hapo juu.

Wanawake ni binadamu wa kawaida kwahiyo tusiwachukulie kwamba labda wanaudhaifu saaaana na pia nisisitize kwamba sipingani na huu uzi ila imani yangu bado iko pale pale kwamba mwanamke ambae ameshaishi maisha ya uhuru na kupitia zile stage zote ambazo alikua anazitamani kupitia akimaliza na akaamua sasa nataka kuolewa bila shinikizo la mtu yeyote huyu lazima atulie kwenye ndoa coz hana asicho kijua.

Nikuibie tu siri mkuu mwanamke wa hivyo ndio namtaka mimi.
 
Ni wapi huko hiyo mifano ya yatima na wajane inatumika?
Ulikuwa haujawahi kuona miaka ya nyuma kabla ya neno mgane kutumika, wanaume waliofiwa na wanawake zao walikuwa wanawaitaje?
 
Stop SIMPING. Wewe acha kuwa simple minded hivyo hadi unajibinya haki zako. Mabinti bikra wapo na wanapatikana bila shida sema wewe huna jeuri ya kuwinda ila unaweza vilivyonyongwa au mizoga.

Wewe una assume kila mwanaume anaepata mwanamke basi ni used, jambo ambalo si kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…