SimbaMpole123
JF-Expert Member
- Apr 23, 2023
- 5,501
- 4,956
Aya nimekuelewa mkuuSorry mimi niliquote huko juu sikujui ni nani aliandika hivyo ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aya nimekuelewa mkuuSorry mimi niliquote huko juu sikujui ni nani aliandika hivyo ?
Nimesema wapi sipendi wanawake?Sasa mbona haupendi wanawake? [emoji848]
Wanasema dunia inaharibika sio kwasababu watu wabaya au shetani ana nguvu ni kwasababu watu wazuri wanakaa kimya wakitazama wabaya wakifanya yao.Hizo ndo kauli zenu nyie wamama wa kisasa na hii madam inawahusu.
Wewe ni wapi umesoma hiyo kitu? [emoji848]Hata ukristo...kwenye bible eti ukimbaka mwanamke unatakiwa utoe mahari unamuoa... mwanamke akibakwa afu hajapiga kelele kuskika na watu, mtaa mzima unawapiga mawe kama wezi...
[emoji1787]Kuna mistari mungu anaamuru waisraeli wachukue kila kitu waue watu wote isipokuwa wanawake bikra wawachukue wafanye wanavyotaka...
Bro usinifanye niendelee
Unawachukia maana unawasema wanawake as if huo umalaya wanafanya peke yao.Unatengeneza hoja yako ambayo mjadala wake sio huu. So ningekuwa mfano nina chuki na wanawake unadhani ningeshindwa kuja kuandika uzi hapa wa namna ninavyowachukia wanawake? [emoji848] Kwasababu namuogopa nani?
Wewe ndio wale raia huku mtaani ambao wakimuona mtu mwenye gari anatembea kwa mguu mnasema amefilisika kauza gari kumbe mtu amemiss kupanda daladala.
hahahahahahahahahhaha nimekaukia mbavu zangu jamaniUmesahau na hii stage
View attachment 3050600
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unajua kuna watu ni wabishi. Unamwambia hii ni sumu usile itakuua yeye anaanza kukwambia mboka wanaoshea ng'ombe hawafi? [emoji23][emoji23][emoji23] Yaani huyo bwana ni kihiyo hadi basi.Mfano uliotoa haufai kwa mwanamke, unafanya vice versa.
Mfano wa dereva mwenye experience ni mfano ambao unaofaa kwa mwanamme na mfano wa gari au simu iliyotumika unaofaa kwa mwanamke.
Mwanamme akakuwa better kwa experiences nyingi alizozipitia. Mwanamke anaharibika kutokana na experiences alizozipitia.
Wewe ukiletewa kajara na binti mbichi mwenye bikra, utamchagua nani?
Nenda kaoe mwanamke anayejiuza bar ambaye ana miaka 30+ na kambadikishe kuwa mke Bora kama utaweza.
Wewe ukiletewa mwanamke bikra na mwanamke malaya , unatakiwa kuchukua mke, utachukua yupi? [emoji848][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwa nini mwanamke awe simu iliyotumika...je mwanaume aliyebikra na ambae sio hawana tofauti kimaadili....acheni kutetea ujinga wenu...lyf haipo hivyo... Ka we Malaya usilazimishe wanawake wawe bikra
Ndio shida ya kukua nyumba isiyo na wazazi wenye kuhimiza watoto kufanya ibada na kumjua MUNGU vema na neno lake. Mwisho wake ndio huu kuwa na watu ambao hawajui hata baya ni lipi zuri ni lipi.Zote mbili zimetengenezewa mwanaume...amri kumi za mungu zinataja usionee wivu jirani yako na mali zake humo Kuna ng'ombe, mke, mtumwa, wote hao asa uniambie why hawajataja mme... Sio kosa lai jamii zote tumepitia hivyo ila ndo kutumia vitabu hivi kama maadili wakati ndo vinaruhusu unyanyasaji wa kijinsia, ubakaji, utumwa wa kingono, etc ... Ni upumbavu
So hebu tukuelewe vizuri, wewe unachotaka kusema ni kipi juu ya wanawake ukizingatia hizo hoja za kwenye uzi hapo juu, tufanye mambo yasiwe mengi sana. Wewe una maoni gani juu ya zile tabia pale juu?Uliza ulaya walikuwa wanawafanya nini wanawake waliowahisi kuwa wachawi...uliza wanawake walipata rights za kuvote au kuown property lini...uliza Sheria za ubakaji ziliwekwa lini ...ndo maana nasema kila jamii imepitia hizi stage
Ukiona mwanamke anakosea halafu mtu mwingine anakuwa mkali kumkemea then wewe badala ya kuunga mkono unaanza mshambulia yule mkemeaji kuwa anamshambulia mwanamke, na kwamba kila mtu ana uhuru wa kufanya lolote, kesho na keshokutwa yule mwanamke akaharibikiwa na kuanza kuteseka kutokana na mwenendo wake ule ule ambao wewe ulitetea kipindi akikemewa, je wewe na yule aliyekuwa akimkemea ni nani kati yenu alikuwa akimtakia mema huyu mwanamke na katika hilo ni yupi ana upendo wa kweli na huruma na mwanamke? [emoji848]Nimesema wapi sipendi wanawake?
Soma biblia vizuri....google bible verse about rape, sexual slavery uzione afu zibitisha kwenye bible yakoWewe ni wapi umesoma hiyo kitu? [emoji848]
Nakuambia soma biblia yako vizuri tatizo wakristo hamsomi biblia zenu mnasomewa Jesus loves you na pastor wako unasema umesoma biblia...Kuna verses hata pastor wako hawezi kukusomeaAmechukua mistari ya Quran anasema ni ya Bible. [emoji23][emoji23][emoji23]
Nimesoma Katika kujifunza dini na kuzielewaSasa si umesoma Quran wewe au?
Sina mpango wa ndoaWewe ukiletewa mwanamke bikra na mwanamke malaya , unatakiwa kuchukua mke, utachukua yupi? [emoji848]