Kila mwanamke wa kisasa ana ndoto ya kupitia stage hii

Kila mwanamke wa kisasa ana ndoto ya kupitia stage hii

Kitendo gani ni uzinzi na kipi sicho na unatumia basis Gani kudefine
Haya maswali mbona ni ya chekechea? [emoji23][emoji23][emoji23]

Sasa wewe kanisani hauendi, msikitini hauendi then unataka kujadiliana maswala ya MUNGU, hebu acha mizaha.
 
Haya maswali mbona ni ya chekechea? [emoji23][emoji23][emoji23]

Sasa wewe kanisani hauendi, msikitini hauendi then unataka kujadiliana maswala ya MUNGU, hebu acha mizaha.
🤣🤣 Tumerudi kule kule...bac assume me ni mhindu...dini yangu ni Hinduism...haya uzinzi ni nini
 
[emoji1787][emoji1787] Tumerudi kule kule...bac assume me ni mhindu...dini yangu ni Hinduism...haya uzinzi ni nini
Wameelezea kwenye vitabu vyao. Hakuna dini ambayo haijafafanua uzizi ni kitu gani, sasa wewe hausomi[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nikajua nimeona mwenyewe tu kumbe tupo wengi, Mzee wa Logical Fallacy kakalishwa leo
Wapi mzee sema nilipokalishwa? [emoji848]

Nikisema lile pale ni jiwe kubwa na ni kweli kubwa, wewe ukaja ukasema mimi ni muongo, kuna mawe makubwa mikoani huko kuliko hilo ninalosema ni kubwa so it means nimesema uongo kusema ni jiwe kubwa, how is does that make my truth a fallacy? [emoji848]

So nimelist tabia na matendo pendwa wanayofanya mabinti wa kisasa na yapo tena kwa uwazi kabisa na uraiani watu wanayajua na kuyaona. Then anakuja mtu ananichallenge na kusema sio wanawake wote wapo hivyo, sasa how is that even relate with what am talking about?
 
Jibu swali... Usiassume...jibu we si much know... society police...jibu...
Nitakujibu kwa mujibu wa beliefs zako, wewe umeshika mfumo gani wa imani tuanzie hapo kwanza? [emoji848]
 
Sijui umeongea nini mzee. Mwanamke anaoa vipi? Halafu kama haujui uwe unauliza, mwanamke au mwanaume akifanyiwa ukatili ndoani serikali huwa na mamlaka ys kuvunja ndoa, so sheria ipo ni wewe tu haujui unachoongea. Hebu nenda kalale kama hauna hoja.
Kwanini usubiri ukatili ufanyike ndipo ndoa ivunjwe badala ya kubadili sheria ndoa ziwe za mkataba ili kama mkishindanwa mkataba unavunjwa na wanandoa wenyewe badala ya kuisumbua mahakama?
 
🤣Mnajua nyie watu ndo mnafanya dini ionekane imeundwa na mwanaume kwa ajili ya mwanaume....mara mwanaume akitaka apewe, mara mwanamke asionekane ngozi mwanaume atadisa...dini imetengenezwa kucontrol watu wasio na nguvu including wanawake. Cha kufanya ni kuwekeana mipaka na watu unaowajali na kuwafundisha maadili. Sio unaanza kukamia watu...je we ni bikra? Umeoa bikra? Hutamani wanawake mitandaoni? Sasa mna tofauti Gani. Tatizo wanaume tunapenda kuweka vigezo ambavyo sisi wenyewe hatupendi kufata na tukiambiwa tunakimbilia dini
Hapo kwenye dini futa weka Uislamu.
 
Hivi Kuna mwanamke anaweza kufanya yote hayo mbona mambo mazito mno
 
Back
Top Bottom