Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama mimi nina msongo wa mawazo basi na wewe utakuwa nao pia. Maana wagonjwa hujuana kwa dalili wanazopitia.Pole sana.
Ndio maana una msongo wa mawazo umekuja kutapika huku JF.
Alaumiwe bibi na babu yako kwa malezi mabaya ya mama yako.
Ila huwezi jua labda pia umaskini ulikithiri kwenye familia yenu.
Hii technique ya kujifanya kuwa na hekima na kukubali yaishe huwa naiona ni ya kizamani sana.Kuna sehemu na mimi niliwaza hivihivi nikanyanyua tu mikono juu yaishe.
Unaongea na huyo anijibie hoja zangu au unajaribu kufanya kitu gani? [emoji848] Am here u can dialogue na mimi, why communicate my thoughts with someone else?Nahisi anachotaka kusema na alichosema sio kitu kimoja ila hajashtukia
Anajaribu kutetea jambo ambalo hata akiulizwa faida zake hawezi nyoosha maelezo.Kaka, HAKUNA asiyetaka au kutamani kufanya maovu (uzinzi, uasherati, ufisadi, uchawi, ulozi, ufiraji , husuda na mengine yote yalotajwa na MTUME PAULO-WAGALATIA 5:19-21). Hata hivyo, mwili (binadamu) unao uwezo wa kujizuia kupitia roho wa MUNGU (utashi). Isingekuwa hivyo, maovu yangekuwa mchanga wa bahari kwa wingi. Hakuna asiye na tamaa asilani ila self discipline ndiyo hutuzuwia kuufuata moyo muda wote.
Hawa ndio wanafanya ulimwengu unakuwa na mambo ya hovyo, watu wenye maadili wakikemea wanaleta ligi, ila waulize wanafanya nini kukemea uovu, ni maziro brain tu yanayo manga manga hapa mjini.Siku utapoona connection ya mdogo ako wa kike akiliwa kiboga baada ya kuleweshwa pombe ndio utakapoelewa
Lengo lao watu tukae kimya ili uovu usambae then baadae waje kusema wanaume hatukuchukua hatua kumbe tulikuwa tunaandika magazeti kila siku.Watu wanaongea kirahisi rahisi wakifikiria wanawake wanaolengwa ni makahaba wanaowanunua uko kitambaa cheupe hawajui hata dada zao, wadogo zao wa kike nao ni jinsia KE.
Wanayofanya wanawake ni machafu kwa kusema kweli. wanawake wanatumia vibaya uhuru na utetezi wanaoupata kutoka kwenye mamlaka, jamii na asasi za kiraia.
Hawa wanajiita ferminists ni wa kupigwa breki, sio wanawake wa kupewa popularity kwenye media wala social networks, hawa ni virusi hatari sana kwa mustakabali wa jamii.
Jibu swali...kosa langu niniSasa hapo unataka kujua nini?
Una uhakika ni wako?Tuanze na... Uzinzi...
Mi Nina demu wangu...nimemla...kosa langu nini
Nina mahusiano nae...na mi ni mwanaume wake...jibu swali...kosa langu ni lipiUna uhakika ni wako?
nani kakupa?
Kwa utafiti gani ulioufanya? We umechanganyikiwa na ndoa yako hujui ulisemaloMbona hao wanawake wa kisasa ni asilimia ndogo sana hata 1% hawafiki, ila uzito mkubwa uko kwenye hao wake zetu wamajumbani ni hatari kuliko hao wa kisasa, omba mungu usitendewe.
Ujumbe umeshakufikia. You know your place now. Ukiona naweka hoja zangu ubaoni usishoboke nazo. Hizi mada zinachangiwa na wanawake na wanaume, ukike ukike na unajimix kama mwanaume sitaki hizo pigo za kiwaki zinanitoa kwenye mwendo.Mama yako kakufundisha kutumia dildo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kumbe binti ndio tabia yenu hiyo kusagana na mama yako.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]