Kila mwanamke wa kisasa ana ndoto ya kupitia stage hii

Kila mwanamke wa kisasa ana ndoto ya kupitia stage hii

Nina mahusiano nae...na mi ni mwanaume wake...jibu swali...kosa langu ni lipi
Ulishajijibu kwa kutamka "demu wako" badala ya mke wako. Huyu binti kama hujamuoa kimila au kidini au kiserikali, bado yupo chini ya kongwa la wazazi na huna maamuzi juu yake. Unasema ni wako mkiwa mmejificha peke yenu huko kajificheni. Hebu nenda nyumbani kwao na uoneshe mbele ya Kaka au Baba yake kuwa wewe ndo unambandua, hapo ndipo utashuhudia wivu wa Baba kwa binti yake na wivu wa Kaka kwa Dadake. Katika MWANZO 34, Jiji lilifutwa kwa wivu tu. Kingine ni kuzingatia kanuni za kawaida za maadili katika jamii zetu ili kuzilinda tunu za Taifa letu.

PILI, hata kama huyu demu wako ana miaka 60 na anajitegemea; kwa bahati mbaya akakata kamba unao uwezo wa kushughulikia maziko yake? Ndugu zake tu ndo watakaohusika na kila kitu na wewe utakuwa ni jirani tu aliyehudhuria msibani.

Kosa lipo na DHAMBI ni hiyo.
 
Ujumbe umeshakufikia. You know your place now. Ukiona naweka hoja zangu ubaoni usishoboke nazo. Hizi mada zinachangiwa na wanawake na wanaume, ukike ukike na unajimix kama mwanaume sitaki hizo pigo za kiwaki zinanitoa kwenye mwendo.

Usipende kujichekesha sehemu ambapo hakuna comedy. Hapa ni serious. Soma tokea juu huko watoto wa kiume walivyokuwa wanarusha punchlines na hoja za kiume hadi nikawa nachechemea.

Wewe unakuja unaniletea pigo za upinde mimi siwaki na hizo culture za akina delicious, nikalie mbali sodoma na Gomorra breed.
Temana na mimi. Unaleta pigo za kiwaki halafu unataka uonekane mwanaume.
We chupi tu husumbui.

Unaniletea u slay queen hapa na vi broken vyako.

Shauri zako mi sichekeshi fala wewe.
 
Siku utapoona connection ya mdogo ako wa kike akiliwa kiboga baada ya kuleweshwa pombe ndio utakapoelewa
Pata kwanza ajira ndio utaelewa utamu wa pesa, ukiwa huna pesa lazima uwe mtu wa makasiriko na kujilalamikisha 😂
 
Hawa ndio wanafanya ulimwengu unakuwa na mambo ya hovyo, watu wenye maadili wakikemea wanaleta ligi, ila waulize wanafanya nini kukemea uovu, ni maziro brain tu yanayo manga manga hapa mjini.

Huyo unaweza kuta anabaka hata watoto huyo.
Inaonesha maisha yamekuchakaza sana, unakemea uovu kwa watu wazima wanaotumia miili yao 🤣🤣🤣🙌
Ukiwa huna hela min skirt utaona ni ukahaba wakati ni vazi ofisini lol😂
 
Katika maisha ya mwanamke wa kisasa, kuna stage imekuwa introduced inaitwa "Hoeing phase". Hii ni stage ambapo mwanamke anakuwa anataka kuwa huru kufanya yale yote ambayo jamii imekemea mwanamke kufanya au yale yote vitabu vya MUNGU vimepiga marufuku ili ajisikie kuwa ameishi kwa utimilifu maana bila kufanya hivyo maisha hayajakamilika kwake.

Mfano wa mambo yaliyopigwa marufuku na jamii na vitabu vya MUNGU ni

1. Kufanya umalaya yaani kulala na mwanaume zaidi ya m'moja au nje ya mume wa ndoa kwa sababu za kujaribu tu kuwa na mtu tofauti.

2. Kufanya Ukahaba yaani kutumia mwili kujipatia kipato au vitu ambavyo hawezi lipia kwa pesa yake mwenyewe na mara nyingi vinakuwa si vitu vya lazima kuwa navyo ila basi tu mradi kwenda na trend ya wakati husika.

3. Kuweka tattoo mwilini, kuvaa nywele bandia, kutia vipini hata sehemu zilizokatazwa kiimani.

4. Kuvaa nguo za kuachia maumbile yaonekane kwa lengo la kutamanisha wanaume ili wamfuate na kumtaka kingono.

5. Kuzurula mijini na kutoa macho kumangamanga kama binti aliyevunja ungo wiki mbili zilizopita.

6. Kumkana MUNGU kwa matendo na kumkiri shetani kama kiongozi wa nafsi kwa usiri na kwa hiyari.

7. Kuingiliwa na wanaume wengi kwa wakati m'moja baada ya kutumia kilevi cha kutoa aibu.

8. Kutengana na mume kwa muda na kukaa mbali na watoto for "sista hood" moment. Muda huu huwa wanaita vacation. Wanakuwa na kikundi cha marafiki mafenist a.k.a mafreemason wasiojua maana ya ndoa wala heshima ya familia, wanakuwa wasimbe wanaojifanya ni mabinti wa miaka 19 kumbe ni watu wazima wa miaka 27+ au hata 35+.

9. Kuzaa na mtu ambaye anajua kabisa kuwa ni irresponsible kuwa baba wa mtoto mfano, mume wa mtu, kijana ambaye hana appearance ya kuwa baba wa familia a.k.a wasuka rasta, wavaa mlegezo jeans kuchanika, tattoo shingoni, wazee wakushinda spaa akijitengeneza kucha na uso uwe soft kama wa mwanamke, mzee wa kuomba hela , kukaa kwenye apartments za dada, shemeji, au familia, etc, hawa ndio huwa wanaamua kuzaa nao sababu ni very cute, so adorable [emoji7] I want my baby to have your eyes, your lips.

10. Kutest maumbile ya madudu ya wanaume tofauti tofauti kila mwezi ili kugundua ladha wanazosema wanawake wenzake ambazo yeye hajawahi kuonja hata kama itarisk afya yake, ila hatojali.

11. Kutest kuingiliwa kinyume na maumbile sababu wanawake wenzake wamefanya na wanasema ni raha na ina faida kadhaa. (Ushenzi mtupu.)

12. Kucheza na hisia za mwanaume ambaye ana dhamira ya kufanya maisha ya ndoa nae na yupo tayari kwa commitments kwa kumpiga chenga za kitoto,deko zisizo na mbele wala nyuma, kuhairisha miadi kukataa proposals na kadhalika.
Deep down anakuwa anajua mwanaume ana upendo wa kweli ila anachagua kutompa nafasi anamuweka kwenye waiting list ili kwanza amalize "hoe phase" then akisha chakaa atamrejea baadae huko ndipo waongee maswala ya ndoa hapo aidha ana mtoto au watoto wa mwanaume au wanaume wengine, au umeshachakaa mwili hauna tena mvuto na ameshastuka kuwa soko lake (Sexual Market Value) imeanza declining phase na anapoteza attention kwa kasi sana.

13. Kupost picha, video, na captions zinazokwenda na trends za social network bila hata kujali wala kujua madhara yake siku za baadae. Ikiwamo pia na kujoin social networks kwa lengo la kuongeza market ya attention ya wanaume watakao mtazama na ikibidi kuwafanyia vitu wanavyotamania ili awashike akili na kuweza kupata chochote tokea kwao. Mitandao kama TikTok, Only Fans, Instagram inatumika sana kujinadi na kufanikisha "hoe phase" kwa kiwango kikubwa.



Whore phase kwasasa ni stage ambayo mabinti na wanawake wa kisasa wanaipa umuhimu sana, tofauti na mama na bibi zetu ambao waliiona kama ni abomination, Haramu na kwenda kinyume na maadili ya jamii na uanamke.
Hata miaka hiyo wapo wanawake ambao waliifanya kama kutoroka nyumbani kwenda club, kunywa pombe na vilevi etc mambo ambayo wazazi wakijua wanaweza patwa mshituko wa moyo.
Ila haikuwa extended kama na kwa kiwango kikubwa na cha kutisha kama cha sasa.
Whore phase kwasasa inafanywa with Passion na dedication kabisa na matendo yake yameongezeka level ya uchafu na wazi wazi na jamii ya wanaume Ma"simp" ndio wadhamini wa "hoe phase" wakikakikisha hawa mabinti na wanawake wanaojipitisha stage hii wanakuwa na security ya kufanya upuuzi wao kwa amani na kujiamini.
Mafeminist wamejitoa kuwa watetezi wa hizi laana na kutoongelea au kukemea popote huku wakijinadi kuwa wao mafeminist wapo kwaajiri ya kuteta ustawi wa mwanamke kumbe ndio washenzi mafreemason wa kwanza kwa kuudidimiza utu wa mwanamke kwa kumpotosha kuhusu value zake za asili.

Kwa upande mwingine wanaume Masimp wanawapa assurance wanawake ya kuwa watakapomaliza upumbavu wao na kutaka kuwa serious wao watakuwa milango wazi kuwapokea na kuwa mume mwema huku wakisamehe madhambi yao yote waliyowahi wafanyia au uchafu waliofanya katika usichana wao na watabeba majukumu yote ikiwamo watoto ambao si wao.
Piga spanner hawa wa kisasa, then Dj walete na wakienyeji 🤣🤣😂
 
Inaonesha maisha yamekuchakaza sana, unakemea uovu kwa watu wazima wanaotumia miili yao [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]
Ukiwa huna hela min skirt utaona ni ukahaba wakati ni vazi ofisini lol[emoji23]
Acha ulimbukeni wa maisha. Unahisi kila mtu ana shida kwasababu anakuja kuleta kero au maoni yake hapa mtandaoni? [emoji848]
 
Ulishajijibu kwa kutamka "demu wako" badala ya mke wako. Huyu binti kama hujamuoa kimila au kidini au kiserikali, bado yupo chini ya kongwa la wazazi na huna maamuzi juu yake. Unasema ni wako mkiwa mmejificha peke yenu huko kajificheni. Hebu nenda nyumbani kwao na uoneshe mbele ya Kaka au Baba yake kuwa wewe ndo unambandua, hapo ndipo utashuhudia wivu wa Baba kwa binti yake na wivu wa Kaka kwa Dadake. Katika MWANZO 34, Jiji lilifutwa kwa wivu tu. Kingine ni kuzingatia kanuni za kawaida za maadili katika jamii zetu ili kuzilinda tunu za Taifa letu.

PILI, hata kama huyu demu wako ana miaka 60 na anajitegemea; kwa bahati mbaya akakata kamba unao uwezo wa kushughulikia maziko yake? Ndugu zake tu ndo watakaohusika na kila kitu na wewe utakuwa ni jirani tu aliyehudhuria msibani.

Kosa lipo na DHAMBI ni hiyo.
🤣🤣🤣Eti mafichoni....watu wangapi mpaka wanazalisha wanawake na wazazi wanajua na wanakaa nyumba moja na hawajaoana....unaongelea ndoa...ndoa ambazo wanawake wanatoka na vitoto na wanaume wanafira wanachuo. Ndoa ambazo kila kukicha Kuna Uzi za "mke wa mtu ananitaka nimbandue au la"...
🤣Kama ndoa ndo kummiliki mtu nitwishe... Kuna watu wengine wana mahusiano mazuri tena watoto wa secondary kuliko ndoa zenu hizi...ndoa mnafungia kanisani kesho kutwa unakuta mme wa mtu club saa nane usiku kwenye gari anakula ndogo ..
Tuweni serious.
Bado hujaelezea kosa langu ni lipi mi na demu wangu kutumia miili yetu tulivyokubaliana bila kumuuzi mtu. Mambo ya jiji kufutwa cjui ni hekaya za abunuasi hizo tushazikataa..
 
Wamemkiri na kumkubali shetani na namna zake zote na wapo tayari kumtumikia. Unataka kujua shetani amewavaa hawa mabinti na wanatumika kisawa sawa, kaa na binti wa miaka 20 pisi kali ambaye yupo kwenye prime yake kila sehemu anahitajika, wachungaji wanambembeleza aende kanisani wamtomase matiti wakimuombea, malecturer wanampa SAP makusudi aende ofisini waombe mchezo, viongozi wanaweka rehani ofisi za utendaji wawateuwe ili wawe karibu nao, familia zao zinawaganda kama lulu ya thamani ili yoyote ataye taka kuwa nao awalipe sababu wao ndio wazaa chema.

Shetani nae hayupo mbali maana anajua kuwa akimkata akili huyu atawaangusha wengi sana. Ataangusha taasisi zitazompa nafasi sababu ya uzuri wake, ataangusha wanaume za watu wataomfuata, watakompenda watavunjwa mioyo kwa maumivu ya kuachwa na hiyo sumu itawabadili wanaume kuwa makatili na waharibifu kwa mabinti wasio na hatia huko mbeleni, picha za utupu na mitego zitawafanya mabinti wenye miili ya kawaida yenye mvuto wa wastani kumrejea MUNGU na vilio vya majuto ya kuzaliwa wa kawaida na kuhisi hawana thamani kwa wanaume, etc.

Shetani ana hila sana mzee.
Cha kushangaza, Hao mabinti walioko kwenye hoe phase ndo wanaenda sana church na kujinasibu ni watu wa mungu. Wanatumia dini kama kichaka cha kuficha maovu yao, ila deep down kila uchafu wanafanya. Hizi dini zinatumika vibaya, bora tukomae na Mila/Desturi zetu
 
Vp kqmq hakufikq
Mwanamke akiamua kuifata dunia usishindane nae mwache azunguke nayo
Ni hatari sana kwa sasa kuoa mwanamke ambae ameruka stage atakuja zibukia kwenye ndoa kufanya yale aliyotakiwa kufanya akiwa form two
form two
 
Cha kushangaza, Hao mabinti walioko kwenye hoe phase ndo wanaenda sana church na kujinasibu ni watu wa mungu. Wanatumia dini kama kichaka cha kuficha maovu yao, ila deep down kila uchafu wanafanya. Hizi dini zinatumika vibaya, bora tukomae na Mila/Desturi zetu
Mila na desturi ndizo zina nguvu ya kudhibiti huu uovu. Dini zinawalea sana.
 
Hatua ya muhimu kupita zote, ambayo mwanamke hapaswi kuiruka! Unapaswa kuiishi....

Ni HESHIMA!.....Heshima kwa mwanaume yeyote yule!

Fanya upumbavu wote ulimwenguni, umalaya, ukahaba,uaesherati,uzinzi rukaruka uwezavyo!

Lakini usisahau kuiishi hii hatua ya heshima! Kwa mwanaume yeyote yule.

Heshima ni Coating ya majeraha na mawaa yako yote! uliyoyapitia/uliyoyafanya...pindi tu utakapoamua kuachana na yote na kuwa mtu mpya.

Ukimheshimu mwanaume...umeishika dunia yake,...unatembea na dunia yake...

Ni vigumu saana kumuomba mwanaume mnaeheshimiana... akufanyie kitu halafu akatae...

Hata kama liko nje ya uwezo wake..atalifanya ili akuridhishe.. kuilipa gharama ya heshima yako kwake.
 
Hatua ya muhimu kupita zote, ambayo mwanamke hapaswi kuiruka! Unapaswa kuiishi....

Ni HESHIMA!.....Heshima kwa mwanaume yeyote yule!

Fanya upumbavu wote ulimwenguni, umalaya, ukahaba,uaesherati,uzinzi rukaruka uwezavyo!

Lakini usisahau kuiishi hii hatua ya heshima! Kwa mwanaume yeyote yule.

Heshima ni Coating ya majeraha na mawaa yako yote! uliyoyapitia/uliyoyafanya...pindi tu utakapoamua kuachana na yote na kuwa mtu mpya.

Ukimheshimu mwanaume...umeishika dunia yake,...unatembea na dunia yake...

Ni vigumu saana kumuomba mwanaume mnaeheshimiana... akufanyie kitu halafu akatae...

Hata kama liko nje ya uwezo wake..atalifanya ili akuridhishe.. kuilipa gharama ya heshima yako kwake.
Umesema ukweli sana. Ndio maana mabinti wa sasa wanashangaa na kujiuliza kuwa mbona mama zao miaka ya nyuma wakiwa wameshapata watoto kutoka mahusiano ya awali waliweza kufanikiwa haraka sana kupata ndoa na kudumu hadi uzee unawafika?

Wao kwa upande wao ingawa hawajawahi kuolewa au hata kuwa na mtoto au watoto mbona wanaachika haraka sana na hawadumu kabisa katika ndoa wanapofanikiwa kufunga ndoa.

Na wakiwa na watoto ndio kabisa wanaume wanawakwepa kama mgonjwa wa ebola.

Siri ni Heshima na Utii. Aliyewadanganya hapa ndie amewapoteza na kuwaingiza chaka. Watajifunza ila itakuwa too late. Mwanamke ambaye ana utii na heshima na kutambua kuwa mwanaume ni kiongozi wake na anatakiwa kuwa chini ya mamlaka yake tayari anakuwa ameshajiweka akilini na moyoni mwa mwanaume.

Zamani mwanaume anasafiri anaacha mke nyumbani na hana wasi wasi wowote akiwa mbali sababu mwanamke anasimamia majukumu ya familia. Now days, kaa na mwanamke mbali hata kwa kwenda mjini kwenye mishe unarudi usiku utakuta bodaboda,dereva wa uber,bosi wake wa kazi,yule mume wa mtu anayefanya kazi bank na kadhalika wamemla wamekuachia mifupa.
 
Back
Top Bottom