Kila mwanamke wa kisasa ana ndoto ya kupitia stage hii

Kila mwanamke wa kisasa ana ndoto ya kupitia stage hii

Sawa kafate bikra hao... Yaani nakuambia ukweli ukisema uchunguze kila mtu anavyoishi hapa duniani ..Kuna watu hawana kazi, hawana biashara, ila wanaishi nyumba za Kodi laki 5 monthly, geto Lina kila kitu, na halii njaa.. so kila mtu ashinde mechi zake Sheria za nchi si hazivunjwi... Ukitaka tuishi kama Iran hapa utaishia kubaka watoto wa miaka 6 na kuwaita wake zako
Point yako ni ipi sasa,tusikemee uhovyo, tupigie kampeni uovu kuongezeka au ?
 
Walk your talk. Kama nikichofanya ni tatizo mbona unarudia the same thing unayokemea kwangu? [emoji848]

Kama una amini sina haki ya kumuelekeza mtu mwingine namna ya kuishi maisha yake, then wewe hapa unafanya nini muda huu? [emoji848]

You are being irrelevant.
Nakuambia coz ukifuatilia kila mtu anavyoishi hutamaliza na kila mtu anaendeshwa kwa tamaduni zake
 
Hii yote inatokana na mambo ya haki sawa.

Wanawake wana fedha, ajira, wana maamuzi halafu wana kiungo ambacho wanaume tunakitaka always.

Ukijumlisha yote haya mwanamke anakuwa na nguvu isiyodhibitika na ndo tatizo linapoanzia.
True mzee.
 
Kumbe huwa wana kawaida ya kutest namba 11
Utastaajabu ukiwasikia wanayojadili kuhusu hiyo kitu mzee. Mimi nilishuhudu mazungumzo yao kwa usiri wa hali ya juu. Wanaongelea kuweka kitunguu maji ile njia kama namna ya kukata harufu na kuzuia uchafu kutoka kama namna ya kulinda image yao. Ni fedheha mzee.
 
Back
Top Bottom