Kila mwanamke wa kisasa ana ndoto ya kupitia stage hii

Kila mwanamke wa kisasa ana ndoto ya kupitia stage hii

Katika maisha ya mwanamke wa kisasa, kuna stage imekuwa introduced inaitwa "Hoeing phase". Hii ni stage ambapo mwanamke anakuwa anataka kuwa huru kufanya yale yote ambayo jamii imekemea mwanamke kufanya au yale yote vitabu vya MUNGU vimepiga marufuku ili ajisikie kuwa ameishi kwa utimilifu maana bila kufanya hivyo maisha hayajakamilika kwake.

Mfano wa mambo yaliyopigwa marufuku na jamii na vitabu vya MUNGU ni

1. Kufanya umalaya yaani kulala na mwanaume zaidi ya m'moja au nje ya mume wa ndoa kwa sababu za kujaribu tu kuwa na mtu tofauti.

2. Kufanya Ukahaba yaani kutumia mwili kujipatia kipato au vitu ambavyo hawezi lipia kwa pesa yake mwenyewe na mara nyingi vinakuwa si vitu vya lazima kuwa navyo ila basi tu mradi kwenda na trend ya wakati husika.

3. Kuweka tattoo mwilini, kuvaa nywele bandia, kutia vipini hata sehemu zilizokatazwa kiimani.

4. Kuvaa nguo za kuachia maumbile yaonekane kwa lengo la kutamanisha wanaume ili wamfuate na kumtaka kingono.

5. Kuzurula mijini na kutoa macho kumangamanga kama binti aliyevunja ungo wiki mbili zilizopita.

6. Kumkana MUNGU kwa matendo na kumkiri shetani kama kiongozi wa nafsi kwa usiri na kwa hiyari.

7. Kuingiliwa na wanaume wengi kwa wakati m'moja baada ya kutumia kilevi cha kutoa aibu.

8. Kutengana na mume kwa muda na kukaa mbali na watoto for "sista hood" moment. Muda huu huwa wanaita vacation. Wanakuwa na kikundi cha marafiki mafenist a.k.a mafreemason wasiojua maana ya ndoa wala heshima ya familia, wanakuwa wasimbe wanaojifanya ni mabinti wa miaka 19 kumbe ni watu wazima wa miaka 27+ au hata 35+.

9. Kuzaa na mtu ambaye anajua kabisa kuwa ni irresponsible kuwa baba wa mtoto mfano, mume wa mtu, kijana ambaye hana appearance ya kuwa baba wa familia a.k.a wasuka rasta, wavaa mlegezo jeans kuchanika, tattoo shingoni, wazee wakushinda spaa akijitengeneza kucha na uso uwe soft kama wa mwanamke, mzee wa kuomba hela , kukaa kwenye apartments za dada, shemeji, au familia, etc, hawa ndio huwa wanaamua kuzaa nao sababu ni very cute, so adorable [emoji7] I want my baby to have your eyes, your lips.

10. Kutest maumbile ya madudu ya wanaume tofauti tofauti kila mwezi ili kugundua ladha wanazosema wanawake wenzake ambazo yeye hajawahi kuonja hata kama itarisk afya yake, ila hatojali.

11. Kutest kuingiliwa kinyume na maumbile sababu wanawake wenzake wamefanya na wanasema ni raha na ina faida kadhaa. (Ushenzi mtupu.)

12. Kucheza na hisia za mwanaume ambaye ana dhamira ya kufanya maisha ya ndoa nae na yupo tayari kwa commitments kwa kumpiga chenga za kitoto,deko zisizo na mbele wala nyuma, kuhairisha miadi kukataa proposals na kadhalika.
Deep down anakuwa anajua mwanaume ana upendo wa kweli ila anachagua kutompa nafasi anamuweka kwenye waiting list ili kwanza amalize "hoe phase" then akisha chakaa atamrejea baadae huko ndipo waongee maswala ya ndoa hapo aidha ana mtoto au watoto wa mwanaume au wanaume wengine, au umeshachakaa mwili hauna tena mvuto na ameshastuka kuwa soko lake (Sexual Market Value) imeanza declining phase na anapoteza attention kwa kasi sana.

13. Kupost picha, video, na captions zinazokwenda na trends za social network bila hata kujali wala kujua madhara yake siku za baadae. Ikiwamo pia na kujoin social networks kwa lengo la kuongeza market ya attention ya wanaume watakao mtazama na ikibidi kuwafanyia vitu wanavyotamania ili awashike akili na kuweza kupata chochote tokea kwao. Mitandao kama TikTok, Only Fans, Instagram inatumika sana kujinadi na kufanikisha "hoe phase" kwa kiwango kikubwa.



Whore phase kwasasa ni stage ambayo mabinti na wanawake wa kisasa wanaipa umuhimu sana, tofauti na mama na bibi zetu ambao waliiona kama ni abomination, Haramu na kwenda kinyume na maadili ya jamii na uanamke.
Hata miaka hiyo wapo wanawake ambao waliifanya kama kutoroka nyumbani kwenda club, kunywa pombe na vilevi etc mambo ambayo wazazi wakijua wanaweza patwa mshituko wa moyo.
Ila haikuwa extended kama na kwa kiwango kikubwa na cha kutisha kama cha sasa.
Whore phase kwasasa inafanywa with Passion na dedication kabisa na matendo yake yameongezeka level ya uchafu na wazi wazi na jamii ya wanaume Ma"simp" ndio wadhamini wa "hoe phase" wakikakikisha hawa mabinti na wanawake wanaojipitisha stage hii wanakuwa na security ya kufanya upuuzi wao kwa amani na kujiamini.
Mafeminist wamejitoa kuwa watetezi wa hizi laana na kutoongelea au kukemea popote huku wakijinadi kuwa wao mafeminist wapo kwaajiri ya kuteta ustawi wa mwanamke kumbe ndio washenzi mafreemason wa kwanza kwa kuudidimiza utu wa mwanamke kwa kumpotosha kuhusu value zake za asili.

Kwa upande mwingine wanaume Masimp wanawapa assurance wanawake ya kuwa watakapomaliza upumbavu wao na kutaka kuwa serious wao watakuwa milango wazi kuwapokea na kuwa mume mwema huku wakisamehe madhambi yao yote waliyowahi wafanyia au uchafu waliofanya katika usichana wao na watabeba majukumu yote ikiwamo watoto ambao si wao.
Noted with thanks
 
Inaitwa kuifata dunia.ndoa kwao ni utumwa,maana ndoa ni ibada na wao hawataki Ibada kwa sababu shetani ndie kiongozi wao
Wamemkiri na kumkubali shetani na namna zake zote na wapo tayari kumtumikia. Unataka kujua shetani amewavaa hawa mabinti na wanatumika kisawa sawa, kaa na binti wa miaka 20 pisi kali ambaye yupo kwenye prime yake kila sehemu anahitajika, wachungaji wanambembeleza aende kanisani wamtomase matiti wakimuombea, malecturer wanampa SAP makusudi aende ofisini waombe mchezo, viongozi wanaweka rehani ofisi za utendaji wawateuwe ili wawe karibu nao, familia zao zinawaganda kama lulu ya thamani ili yoyote ataye taka kuwa nao awalipe sababu wao ndio wazaa chema.

Shetani nae hayupo mbali maana anajua kuwa akimkata akili huyu atawaangusha wengi sana. Ataangusha taasisi zitazompa nafasi sababu ya uzuri wake, ataangusha wanaume za watu wataomfuata, watakompenda watavunjwa mioyo kwa maumivu ya kuachwa na hiyo sumu itawabadili wanaume kuwa makatili na waharibifu kwa mabinti wasio na hatia huko mbeleni, picha za utupu na mitego zitawafanya mabinti wenye miili ya kawaida yenye mvuto wa wastani kumrejea MUNGU na vilio vya majuto ya kuzaliwa wa kawaida na kuhisi hawana thamani kwa wanaume, etc.

Shetani ana hila sana mzee.
 
Hii excuse wanaipenda kweli kweli.
Jumlisha na hakumpenda ila aliolewa kwa shida.
Hapo ni kutaka kupata nafasi ya kufanya hii hoe phase. Rejea kisa cha huyu muimba gospel. Jiulize kwann ametoka katika ndoa na umri umeenda, sababu anataka kuenjoy hoe phase.

Amevumilia sana kuona akina wema, irene uwoya, wakifanya umalaya na kufanikiwa na kuendelea kuvuta macho ya wanaume, yeye hapati hiyo privilege, amejificha ndoani. Anataka na yeye aone raha ya kulala na mwanaume mwingine nje ya mwanaume wake wa miaka 10+ .

Anataka aone utamu wa damu changa ya vijana wanao jua kuingia chumvini na kukupakia mkongo.

Hoe phase ikiisha utaona anavyorudi mikono nyuma huku ameufyata.
 
Kuna swali moja nalikumbuka "unapo muita yule malaya jinsia fulani kwani anafanya na mtu asiyekuwa malaya mwenzake"
So kwa mfano, mwizi amekuja kukuibia nyumbani kwako akakamatwa na kuadhibiwa, je na wewe uadhibiwe kwa kuweka mali zinazotamanisha wezi kuiba?

Kuna maswali unapouliza jitathimini unataka kusuggest nini acha kujificha kwenye kichaka cha ujinga ukijiona ni mwerevu.

Wewe unaonyesha wazi ni Simp, na upo hapa kutimiza wajibu wako. Nao ni kuwaambia wanawake wa kisasa kuwa wasiohofu, wanaume wajinga wa kuwatetea wapo wasisikilize maonyo ya wanaume wachache wanaokemea uovu wao.

Go on and be a simp, there's a hoe somewhere awaiting for your warm welcome when she's done with Hoeing phase.
 
Mwanamke akiamua kuifata dunia usishindane nae mwache azunguke nayo
Ni hatari sana kwa sasa kuoa mwanamke ambae ameruka stage atakuja zibukia kwenye ndoa kufanya yale aliyotakiwa kufanya akiwa form two
Kabisa. Na ndio maana tunawapa vijana shule ili wazipoteze muda wao na wanawake ambao wapo ulimwengu kufanya kazi ya yule muovu.

Kanuni ni ile ile. Mwanaume weka maisha yako katika mtiririko huu kama una mpango wa kufuaria wakati wako hapa duniani.

Kwanza ni MUNGU then unafuata +MWANAUME yaani wewe binafsi na mipango yako bila kumshirikisha mwanamke then inafuata +PURPOSE ya maisha yako /sababu ya wewe kuzaliwa (eg. BIASHARA, UVUMBUZI, UTUMISHI, UJASIRIAMALI) then upate +WATOTO sio lazima uoe ili kupata hawa watoto(usizae ukaachia watoto mwanamke) then +LEGACY ambayo itaacha mark yako nyuma ukishazeeka, then with or without a WIFE mwanamke anakuja kwenye maisha yako kutafuta maisha yake haji kukutengenezea future wewe na hiyo wameshaweka wazi tena wanasema bila hofu wala aibu why wewe uone vibaya kuweka wazi plan ya Maisha yako bila mwanamke= then utaweza kupata HAPPY RETIREMENT LIFE na sio kuwaza kupata kisukari na pressure na kufa ukishafika miaka 50 au 60 tu hapo.
 
Back
Top Bottom