1. Spirit ya uanaume ni ipi na unaithibitishaje
2. Nchi zilizoendelea zina viongozi Bora na maendeleo Bora na yameruhusu ushoga. Andiko lako ni batili.
3. Maambukizi ya magonjwa ya zinaa ni makubwa nchi ambazo hazina ushoga kihalali kuliko zenye ushoga kihalali...batili tena.
4. Una uhakika Gani wa kisayansi kwamba shoga hazai...hatoi manii? Manii hazina sperms? Kuna watu wana watoto na wake na ni mashoga na wengine ni mastaa kabisa... Batili
5. Hayo matatizo Yanamkuta mtu yoyote yule....so batili
6. Mungu wa dini Gani, dini uliyoletewa na wazungu na waarabu kwenye meli au dini zipi hizo.... Mungu wako sio mungu wa kila mtu. Imani ni tofauti mtu na mtu..
7. [emoji1787]So wewe kunyonya mate ya binadamu mwenzako ni usafi sawa... Nimekuelewa batili...
8. Nani kakosa wanaume...niambie sehemu hata moja duniani ambapo wanawake wamekosa wanaume. Wanawake wana probability kubwa ya kutokuwa single kuliko wanaume coz wapo wanaume wenye wanawake wengi, wapo wanawake wasiotaka mahusiano, wapo wasagaji pia...
Batili...
Sitetei ushoga au tabia yoyote ila naonyesha mtu anavyoongea kwa hisia tu akidhani kila mtu yupo darasa la pili.
Huwezi kuelewa spirit ya kiume kama tu umeniuliza swali ambalo jibu lake unatakiwa uwe nalo hata kabla haujaona nukta ya sentence nilipoongelea spirit ya kiume. Hivi nikakuonyesha logo ya Mercedes Benz au Ferrari halafu ukaniuliza ni kitu gani hicho nimekuonyesha na tunaongelea magari si nitakuwa napoteza muda wangu na mtu ambaye hata hazitambui famous car brands za dunia.
2. Nakusaidia tu marekani na uingereza na Canada kwa mfano, je unajua zipo hali gani kwasasa kiuchumi ukilinganisha na miaka ya kuanzia 1980 kurudi nyuma? Kabisa unaweza sema wapo katika level bora ukilinganisha na miaka ya nyuma? Na unajua madhara ya ushoga katika hayo mataifa? Halafu mbona kama unatetea ushoga? [emoji848]
3. So, ushoga kutokuwa halali au halali how will that affect matokeo yake eneo la maambukizi ya magonjwa ya zinaa as long as watu wanaendelea kuambukizana huko wanapofanya kizani, kwan hata huko walipohalalisha wanafanyia nje, si wanafanya vyumbani mwao, how is that even relevant hapa?
4. By shoga i meant 100% shoga kama akina james delicious. Sio bisexuals ambao anafamilia nadhani huwa wanawapa jina la mchicha mwiba au basha. Sasa sijui unajua impact ya reverse intercourse kwenye sperm production. Usinilete kwenye huo mjadala please go do your homework usinipe kazi ya kusoma uchafu tena i had a rough time digesting the knowledge.
5. Huo ni mtazamo wako ila haina uhusiano na uhalisia maana mimi sijatengeneza majibu.
6. Kama kwako MUNGU ni tofauti mimi kwangu naangalia unachofanya. Kama alichokukataza wewe ndicho nilichokatazwa mimi then we call him by different names but he's the same God.
7. How does even this apply in this discussion? [emoji848]
8. Kama haujawahi ona wasimbe ambao wanakesha kwa mwamposa tu wakiomba ndoa, bado sijasema kwa mama rwakatale wale wa upepo wa kisurisuri na makanisa mengine ya upako, hapo sijakupeleka misikitini ukaone matangazo ya request za ndoa wanawake wanaomba kwa masheikh, mufti na maimamu, bado kitaa huku, sasa sijui mwenzetu umeamua tu kushindwa kuona.
Hadi unajihami kusema hautetei ushoga ina maana tayari umeweza baini red flags zako mwenyewe. Yaani una achia hewa chafu halafu unawahi kutangaza kuwa kama mtu atanusa hewa kali asije kusema wewe umechafua hewa, huoni tayari unajiweka katika list ya mtuhumiwa namba moja? [emoji848]