Kila mwenye umri wa miaka 40+asome huu ujumbe unamhusu kwa asilimia million!

Kila mwenye umri wa miaka 40+asome huu ujumbe unamhusu kwa asilimia million!

Kufa kupo pale pale....sema labda kupunguza hivyo ili kupunguza masumbuko wakati wa kukielekea kifo....lakini sio kulinda uhai.
 
Vp suala la service? Eeh mara. Ngapi kwa wiki...na muda upi unafaa zaidi?labda alfajiri au usiku.......🙂
 
Naunga mkno uzi ila nanyongeza kidogo hapo.

Ukifika 35 anza kuikimbia nyama nyekundu

Jambo lingine fanya ngono salama walau mara 3 kwa wiki, hili ni jambo muhimu, kuna watu wanateseka na udhoofu wa afya ya mwili na akili simply kwa sababu hawafanyi ngono salama.

Ukiweza nunua PlayStation, mpira au kifaa chochote cha michezo uwe unacheza na familia yako, watu wengi wana misongo ya mawazo simply kwa sababu wameacha kucheza wakifikiri michezo ni kwa ajili ya watoto tu. Watoto hawana stress si kwasababu hawana majukumu (in fact na wao wana majukumu, kufaulu mtihani wa Grade One ni jukumu pia) ila hawana stress sababu wanacheza sana.

Chunguza watoto, mtoto mwenye furaha na mchangamfu mwenye afya ya nuru ni yule anayecheza zaidi. Nyima mtoto kucheza uone atavyokuwa na stress.

Mimi ni hayo tu wakuu.
 
Naunga mkno uzi ila nanyongeza kidogo hapo.

Ukifika 35 anza kuikimbia nyama nyekundu

Jambo lingine fanya ngono salama walau mara 3 kwa wiki, hili ni jambo muhimu, kuna watu wanateseka na udhoofu wa afya ya mwili na akili simply kwa sababu hawafanyi ngono salama.

Ukiweza nunua PlayStation, mpira au kifaa chochote cha michezo uwe unacheza na familia yako, watu wengi wana misongo ya mawazo simply kwa sababu wameacha kucheza wakifikiri michezo ni kwa ajili ya watoto tu. Watoto hawana stress si kwasababu hawana majukumu (in fact na wao wana majukumu, kufaulu mtihani wa Grade One ni jukumu pia) ila hawana stress sababu wanacheza sana.

Chunguza watoto, mtoto mwenye furaha na mchangamfu mwenye afya ya nuru ni yule anayecheza zaidi. Nyima mtoto kucheza uone atavyokuwa na stress.

Mimi ni hayo tu wakuu.
Wanaopenda kuchezea k je?!!!
 
WEKA TABIA YA KUPIMA MARA KWA MARA[emoji116][emoji116]

1. Shinikizo la damu
2. Kiwango Cha damu Sukari/kisukari
3. Kiwango Cha lehemu/Cholesterol

PUNGUZA
1. Chumvi
2. Sukari
3. wanga
4. Maziwa
5. Vyakula vilivyosindikwa
6. Mafuta mengi

Tumia zaidi:
1. Mbogamboga
2. Nafaka
3. Maharage
4. Mbegu
5. Mayai
6. Mafuta ya asili Kama zaituni, samaki, Nazi na yatokanaoyo na mbegu ...)
7. Matunda

VITU VITATU UNAVYOPASWA KUVISAHAU:
1. Umri wako
2. Yaliyopita zamani
3. Majuto yako

VITU VITATU MUHIMU SANA:
1. Marafiki zako
3. Mawazo yako chanya
4. Nyumbani kwako kuzuri.

MAMBO MATATU YA MSINGI:
1. Tabasam/cheka daima
2. Fanya mazoezi nyumbani kwako
3. Angalia na uweke sawa/(balance) uzito wako

VITU SABA VYA KUZINGATIA SANA:
1. Usisubiri kiu ili unywe maji
2. Usisubiri kusinzia ndipo ulale
3. Usisubiri mpaka uchoke ndipo upumzike
4. Usisubiri mpaka uumwe ndipo ukapime afya yako
5. Usisubiri muujiza utokee ndipo uanze kumwamini Mungu
6. Usijidharau/usikate tamaa
7. Amini kuwa kila Jambo linawezekana na kesho yako itakuwa nzuri zaidi ya leo...

MUNGU AKUKUBARIKI[emoji120]

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Bora hatujakatazwa kitimoto
 
WEKA TABIA YA KUPIMA MARA KWA MARA[emoji116][emoji116]

1. Shinikizo la damu
2. Kiwango Cha damu Sukari/kisukari
3. Kiwango Cha lehemu/Cholesterol

PUNGUZA
1. Chumvi
2. Sukari
3. wanga
4. Maziwa
5. Vyakula vilivyosindikwa
6. Mafuta mengi

Tumia zaidi:
1. Mbogamboga
2. Nafaka
3. Maharage
4. Mbegu
5. Mayai
6. Mafuta ya asili Kama zaituni, samaki, Nazi na yatokanaoyo na mbegu ...)
7. Matunda

VITU VITATU UNAVYOPASWA KUVISAHAU:
1. Umri wako
2. Yaliyopita zamani
3. Majuto yako

VITU VITATU MUHIMU SANA:
1. Marafiki zako
3. Mawazo yako chanya
4. Nyumbani kwako kuzuri.

MAMBO MATATU YA MSINGI:
1. Tabasam/cheka daima
2. Fanya mazoezi nyumbani kwako
3. Angalia na uweke sawa/(balance) uzito wako

VITU SABA VYA KUZINGATIA SANA:
1. Usisubiri kiu ili unywe maji
2. Usisubiri kusinzia ndipo ulale
3. Usisubiri mpaka uchoke ndipo upumzike
4. Usisubiri mpaka uumwe ndipo ukapime afya yako
5. Usisubiri muujiza utokee ndipo uanze kumwamini Mungu
6. Usijidharau/usikate tamaa
7. Amini kuwa kila Jambo linawezekana na kesho yako itakuwa nzuri zaidi ya leo...

MUNGU AKUKUBARIKI[emoji120]

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Sasa si bora ungeandika kwa kifupi tu kwamba kila mwenye miaka 40 ajiue!
 
Back
Top Bottom