Tony Cipriano
JF-Expert Member
- Nov 17, 2022
- 2,139
- 5,109
duuh afadhali sijaona mahali umeandika kuhusu pombe mtaalam, tuendelee kukutana kwenye vikao vyetu vya maendeleo. Yule mupe yule muruke
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mara 3 ni jambo jema zaidi. Muda ni wowote unaowapendeza.Vp suala la service? Eeh mara. Ngapi kwa wiki...na muda upi unafaa zaidi?labda alfajiri au usiku.......🙂
Mkuu yaani hata m-power na songesha?!!!!!🤣🤣🤣🤣🤣EPUKA;
1. Mikopo
Enzi za sekondari nilijichukulia sheria mikononi sana.5:upungufu wa nguvu za kiume utokanao na nyeto la ujana
Wanaopenda kuchezea k je?!!!Naunga mkno uzi ila nanyongeza kidogo hapo.
Ukifika 35 anza kuikimbia nyama nyekundu
Jambo lingine fanya ngono salama walau mara 3 kwa wiki, hili ni jambo muhimu, kuna watu wanateseka na udhoofu wa afya ya mwili na akili simply kwa sababu hawafanyi ngono salama.
Ukiweza nunua PlayStation, mpira au kifaa chochote cha michezo uwe unacheza na familia yako, watu wengi wana misongo ya mawazo simply kwa sababu wameacha kucheza wakifikiri michezo ni kwa ajili ya watoto tu. Watoto hawana stress si kwasababu hawana majukumu (in fact na wao wana majukumu, kufaulu mtihani wa Grade One ni jukumu pia) ila hawana stress sababu wanacheza sana.
Chunguza watoto, mtoto mwenye furaha na mchangamfu mwenye afya ya nuru ni yule anayecheza zaidi. Nyima mtoto kucheza uone atavyokuwa na stress.
Mimi ni hayo tu wakuu.
Nimecheka kwa sauti🤣🤣🤣🤣duuh afadhali sijaona mahali umeandika kuhusu pombe mtaalam, tuendelee kukutana kwenye vikao vyetu vya maendeleo. Yule mupe yule muruke
Ni wao tu waamue tu, muhimu kucheza michezoWanaopenda kuchezea k je?!!!
Bora hatujakatazwa kitimotoWEKA TABIA YA KUPIMA MARA KWA MARA[emoji116][emoji116]
1. Shinikizo la damu
2. Kiwango Cha damu Sukari/kisukari
3. Kiwango Cha lehemu/Cholesterol
PUNGUZA
1. Chumvi
2. Sukari
3. wanga
4. Maziwa
5. Vyakula vilivyosindikwa
6. Mafuta mengi
Tumia zaidi:
1. Mbogamboga
2. Nafaka
3. Maharage
4. Mbegu
5. Mayai
6. Mafuta ya asili Kama zaituni, samaki, Nazi na yatokanaoyo na mbegu ...)
7. Matunda
VITU VITATU UNAVYOPASWA KUVISAHAU:
1. Umri wako
2. Yaliyopita zamani
3. Majuto yako
VITU VITATU MUHIMU SANA:
1. Marafiki zako
3. Mawazo yako chanya
4. Nyumbani kwako kuzuri.
MAMBO MATATU YA MSINGI:
1. Tabasam/cheka daima
2. Fanya mazoezi nyumbani kwako
3. Angalia na uweke sawa/(balance) uzito wako
VITU SABA VYA KUZINGATIA SANA:
1. Usisubiri kiu ili unywe maji
2. Usisubiri kusinzia ndipo ulale
3. Usisubiri mpaka uchoke ndipo upumzike
4. Usisubiri mpaka uumwe ndipo ukapime afya yako
5. Usisubiri muujiza utokee ndipo uanze kumwamini Mungu
6. Usijidharau/usikate tamaa
7. Amini kuwa kila Jambo linawezekana na kesho yako itakuwa nzuri zaidi ya leo...
MUNGU AKUKUBARIKI[emoji120]
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Hii ni maada nyingine mkuuSomo wako Mfalme Suleiman alikuwa na wake wengi na pia aliishi parefu na hekima tele...
hapo unashaurije ndugu mtaalamu.?
Ahsante sana mkuu [emoji120]Daah we jamaa umetuelimisha
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]duuh afadhali sijaona mahali umeandika kuhusu pombe mtaalam, tuendelee kukutana kwenye vikao vyetu vya maendeleo. Yule mupe yule muruke
Sasa si bora ungeandika kwa kifupi tu kwamba kila mwenye miaka 40 ajiue!WEKA TABIA YA KUPIMA MARA KWA MARA[emoji116][emoji116]
1. Shinikizo la damu
2. Kiwango Cha damu Sukari/kisukari
3. Kiwango Cha lehemu/Cholesterol
PUNGUZA
1. Chumvi
2. Sukari
3. wanga
4. Maziwa
5. Vyakula vilivyosindikwa
6. Mafuta mengi
Tumia zaidi:
1. Mbogamboga
2. Nafaka
3. Maharage
4. Mbegu
5. Mayai
6. Mafuta ya asili Kama zaituni, samaki, Nazi na yatokanaoyo na mbegu ...)
7. Matunda
VITU VITATU UNAVYOPASWA KUVISAHAU:
1. Umri wako
2. Yaliyopita zamani
3. Majuto yako
VITU VITATU MUHIMU SANA:
1. Marafiki zako
3. Mawazo yako chanya
4. Nyumbani kwako kuzuri.
MAMBO MATATU YA MSINGI:
1. Tabasam/cheka daima
2. Fanya mazoezi nyumbani kwako
3. Angalia na uweke sawa/(balance) uzito wako
VITU SABA VYA KUZINGATIA SANA:
1. Usisubiri kiu ili unywe maji
2. Usisubiri kusinzia ndipo ulale
3. Usisubiri mpaka uchoke ndipo upumzike
4. Usisubiri mpaka uumwe ndipo ukapime afya yako
5. Usisubiri muujiza utokee ndipo uanze kumwamini Mungu
6. Usijidharau/usikate tamaa
7. Amini kuwa kila Jambo linawezekana na kesho yako itakuwa nzuri zaidi ya leo...
MUNGU AKUKUBARIKI[emoji120]
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app