GenuineMan
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 6,260
- 14,470
HAkuna ukweli.Naskia ngoma hata ukimeza ARVs magonjwa ya maudhi hayaishi! mara leo homa, kichwa kuuma, mara kuarisha arisha yaaaani hakuna kupoa πππ
Aiseeeπ
oya Dogo Trump keshapiga marufuku misaada yote ya UKIMWI dunia nzimaKula mbunye mkuu, ARV zipo haulipii hata senti
Nakwambia hapo uanze kupata shida ya figo,ini maana zile dawa n kali sanaUkimwi nitishio kubwa Sana ,,kumeza vidonge kila siku mpaka umauti unakupata so mchezo
Stoo ARV zipo za kutosha mkuu!oya Dogo Trump keshapiga marufuku misaada yote ya UKIMWI dunia nzima
Huja jibu swali.mkuuNikikua nawatamani kingono ile mbaya
ndio wapoHuja jibu swali.mkuu
una jua madhara ya kutumia hizo dawa kwa muda mrefu?Stoo ARV zipo za kutosha mkuu!
Mpaka zikiisha China atakuwa keshaleta chanjo au Tiba kabisa
Zoez ganEndelea kupima hadi utakapompata aliye salama, vinginevyo achana na zoezi hilo.
Sio kuokoteza! Sasa hao unao waona ni safi ndio wana miliki kiwanda sasa!Inawezekana pia unaokoteza okoteza tu chafuchafu ndio maana sample yako unakutana na waathirika pekee.
Sasa kitu gani hakina madhra mkuu?una jua madhara ya kutumia hizo dawa kwa muda mrefu?
mwaka mzima unatumia tu
Nadhani ujielimishe kuhusu dawa
Hutaki kufa kumbe ah hupendi leboAiseeeπ
mbona umetuma video ya lesbian
Kutulia,,, kua na mpenzi mmoja ,Sasa kitu gani hakina madhra mkuu?
Wewe ndiyo uelimishwe mkuu!
Umemjibu vizuri...naona yupo hapa kupotosha watu.....hakuna kitu kisicho na madharaSasa kitu gani hakina madhra mkuu?
Wewe ndiyo uelimishwe mkuu!
Tako kama looteπππNikikua nawatamani kingono ile mbaya