Kila naekutana nae tukipima ana ngoma!Hadi naogopa tendo

Kila naekutana nae tukipima ana ngoma!Hadi naogopa tendo

Huwa unapima kabla ya kufanya au baada ya kufanya ?
Maana kama huwa unakimbilia kupima,basi hao wote walikuwa wapenzi watazamaji
 
Kula mbunye mkuu, ARV zipo haulipii hata senti
Imefila mwisho sasaa.....wanaondoka misaada ya dawa za bure tb hiv ukoma chanjo watoto.....tutakufa sana.....dose hiv mwezi ni 350k utaweza maisha yako
 
Back
Top Bottom