Kila ndoto ina sababu na kusudi, usije ukapuuza ndoto yako hata moja

Kila ndoto ina sababu na kusudi, usije ukapuuza ndoto yako hata moja

Ndoto hii inajirudia kwangu kwa zaidi ya miaka ishirini kwa scenario tofauti tofauti ni hivi
Naamka nikita kuoga ama kuna kuwa hakuna maji, bafuni hakuna nafasi ya kuoga ila kila siku ni visababu vya kunizuia kuoga
Hi ndoto naona Kama inanihadhirisha kitu fulani
 
na vipi ukiota unaona kweny mbingu Kuna uwazi mkubwa wa duara Kama tundu la kuweza kupita mtu au watu, hila Kuna jamaa mmoja humu alikuwa anaitwa Freedom tommorrow ,huyu mtu akitafsiri ndoto lazima hiwe vilevile, sijui amepotelea wapi
Inasimamia uhusiano wako na mtu. Una wasiwasi sana kwamba utasahau kitu. Unahisi hujajiandaa kuhusu hali fulani. Ndoto hii ni ishara ya maisha marefu, uimara, nguvu, uvumilivu na kutokufa. Utashinda kwa mafanikio tatizo ambalo lilikuwa linakupa wasiwasi mwingi. Pia ni sitiari ya umaridadi wa kiume, urasmi na kipaji cha hali ya juu. Unajisikia mkubwa kuliko maisha uliyo nayo. Unatafuta upendo na kukubalika. Ndoto hii ni mfano wa hamu yako ya kumaliza mradi au kuanzisha uhusiano. Unafurahia mambo rahisi maishani.
 
Inasimamia uhusiano wako na mtu. Una wasiwasi sana kwamba utasahau kitu. Unahisi hujajiandaa kuhusu hali fulani. Ndoto hii ni ishara ya maisha marefu, uimara, nguvu, uvumilivu na kutokufa. Utashinda kwa mafanikio tatizo ambalo lilikuwa linakupa wasiwasi mwingi. Pia ni sitiari ya umaridadi wa kiume, urasmi na kipaji cha hali ya juu. Unajisikia mkubwa kuliko maisha uliyo nayo. Unatafuta upendo na kukubalika. Ndoto hii ni mfano wa hamu yako ya kumaliza mradi au kuanzisha uhusiano. Unafurahia mambo rahisi maishani.
nawe hiwe kheri inshallah
 
Ndoto hii inajirudia kwangu kwa zaidi ya miaka ishirini kwa scenario tofauti tofauti ni hivi
Naamka nikita kuoga ama kuna kuwa hakuna maji, bafuni hakuna nafasi ya kuoga ila kila siku ni visababu vya kunizuia kuoga
Hi ndoto naona Kama inanihadhirisha kitu fulani
Huashiria utu wako, tabia yako na hali yako ya ndani ya ustawi. Unapanga kitu muhimu katika maisha yako. Unaogopa ukweli. Una upendo mwingi wa kuwapa wengine. Ni ishara ya matumaini yako au hofu yako ya jinsi mambo yatatokea. Unahisi kuwa unahukumiwa kwa njia fulani na unahitaji kujitetea. Ndoto hii inaonyesha ushawishi mbaya katika maisha yako. Unahitaji kuwa mtu wa kujitoa zaidi na kutoa misaada.
 
Ni ishara ya kupata hasara ikiwa wewe ni tajiri. Katika ndoto hii ikiwa wewe si katika watu wenye uwezo ni ishara kwamba mtu anayeota ndoto hii atapata utajiri, furaha na baraka.
thanks, na ukiota unapambana na nyoka mweusi ndani.
 
Vip ukiota unasafiri na ndugu yako halafu ghafla mnapoteana halafu badaye mnakuja kutana tena kwenye safari hiyo hiyo tena
 
Ukiota ndoto uko darasani na huku ushamaliza kitambo iko vip

Je ukiota unakimbia na watu wengi ikatokea ww Ni mshindi

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Moja ya ndoto sisipendi nikuota Niko darasan na wanafunz was fom 4 au wa 6 huwa nikiamka sipendi hyo ndoto


Na je ukiota unampiga mtot wako vibaya mno kippigo haswa huwa naota hi ndoto nampiga bint angu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Jana mchana mimeota nipo na rafiki yangu juu ya jiwe moja kubwa sana ambalo unaweza sema ni kamlima kadogo tulikua tuna kunywa kinywaji kipo kwenye kopo ghafla ukaja upepo kale kamlima kakaanza kutingishika tukataka kushuka lakini tulikuwa na hofu mana chini ni mbali ghafla akaja rafiki yetu mwingine akaubinua ule mlima na kusababisha tuanguke kufika chini rafiki yangu alikatika viganja vya mguu mimi nilipata kajeraha kadogo kwenye kisigino
.
Kama kuna mtaalamu naomba anijulishe inamaana gani
 
Kila wakati nalishwa mishkaki nakuwa napokea nakula
Leo nimemwota nipo kwenye gari nakata kona gari haitaki inakwenda kuparamia ukuta wa mtu na nipo na kijana ambaye huwa sina mazoea nae kadandia mlangoni mwa hiyo gari
Nb;hiyo gari mm sio dereva ila sikujua dereva ni nani!.
 
Leo nimeota nmetoka kuoga nikakutana na dogo yuko na bunduki aina ya pistol. Akawa anajaribu kunipiga ila katika hali isio kawaida nikawa nazikwepa risasi zake hatimae nikamtight nikampokonya bastola hio.

Punde si punde nikashtuka nageuka kumekucha sasa sijajua maana ya hii ndoto ni nini.
 
Kila wakati nalishwa mishkaki nakuwa napokea nakula
Leo nimemwota nipo kwenye gari nakata kona gari haitaki inakwenda kuparamia ukuta wa mtu na nipo na kijana ambaye huwa sina mazoea nae kadandia mlangoni mwa hiyo gari
Nb;hiyo gari mm sio dereva ila sikujua dereva ni nani!.
Dah hio imenikumbusha game la mazombi wanadandia gari 😂😂😂 wacha nili download leo
 
Leo nimeota nmetoka kuoga nikakutana na dogo yuko na bunduki aina ya pistol. Akawa anajaribu kunipiga ila katika hali isio kawaida nikawa nazikwepa risasi zake hatimae nikamtight nikampokonya bastola hio.

Punde si punde nikashtuka nageuka kumekucha sasa sijajua maana ya hii ndoto ni nini.
PUNGUZA KUANGALIA MUV ZA KIHINDI
.
HAHAHA UTANI TU.
 
Mkuu [mention]Ibun Sirin [/mention] naomba nisaidie Jana usiku nimeota pacha wangu amefariki na nilikuwa nahimia sana na nikawa nalia kwanini, sijakuwa nae kwa muda uo (kwasababu nilipo Mimi na yeye ni mbali sana) nimewaza sana baada y’a kuhamka kujua maana y’a ndoto hiyo lakini nimeshindwa. Naomba nisaidie kunielezea tafadhali.
Natanguliza shukrani.
 
Nawasalimu kwa jina la jamhuri ya Muungano wa Tanzania, moja kwa moja niende kwenye mada,

Inshort nimekuwa ni mtu wa kusafiri safiri kikazi, hivyo nimebahatika kuzitembelea baadhi ya nchi za Africa zisizopungua kumi, safari ya mwisho nimekaa Nairobi mwezi mmoja, then nikarudi nyumbani kama siku tatu zimepita sasa.

Cha ajabu na kustaabisha nimekuwa nikiota nimekaa na Raisi wa Kenya anaemaliza muda wake pamoja na huyu mwingine anaeingia Ikulu, tukipiga story mtu tatu na kukumbatiana kwa vicheko, na kizuri zaidi wananimpa mpaka technique walizotumia kumumaliza kabisa Baba yule aliyeenda mahakamani kupinga matokea.

Baada ya hapo tunapiga selfie na picha za kutosha then tunaagana kila mtu anaelekea upande wake, nikishtuka nakuta nipo kitandani tu nimelala, hii imetokea mara ya pili leo. Kwa wenye kujua, hii ndoto inamaanisha nini?

Turudi nyuma kidogo, Mwaka 2020 mwezi wa tano kulikua na event pale dodoma ya chama kikubwa tu cha wafanyakazi, alikuwepo hayati (Raisi) aliyetangulia mbele za haki na PM wa sasa, pia na viongozi wengi ne wengi wa serikali wakati huo mkuu wa wilaya akiwa ni huyu Naibu Waziri wa wizara fulani.

Baada ya event ile nilikumbwa na ndoto mfuatano za kukutana na kuzungumza na bwana yule (hayati) mambo nyeti yanayoihusu nchi, huku tukifurahi pamoja na kupeana hugs za hapa na pale, na si ndoto ya mara moja, mpaka bwana yule alipotangulia mbele za haki, na ilibidi nifike msibani kwa kua nilihisi kuna msukumo ndani yangu wa kufanya hivyo.

Na nimekuwa nikisumbuka na ndoto nyingine nyingi za kukutana na kuzungumza na viongozi wakubwa wakati in reality si kweli.

Naombeni tafadhali mwenye kujua tafsiri ya ndoto hizi anisaidie, nashindwa kuelewa maana yake, nimebaki kuwaza tu hiki ni nini na kwanini watu potential tu?

mkuu Ibun Sirin msaada tutani
 
Back
Top Bottom