X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,400
- 14,339
ukiota umekutana na raisi wa nchi....?? matharani rais samia ukawa unamfata nyuma na kama vile anakufahamu....inamaana gani...?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe utakuwa wa dini ileNi kweli kwamba ndoto, maono na njozi huja mara nyingi katika hali ya mafumbo sana ambayo kibinadamu ni ngumu kuelewa, lakini kwa msaada wa Mungu aliyefunua hayo huandaa na tafsiri halisi kuyahusu maono hayo ama ndoto na njozi hizo.
Nina wakaribisha katika tafsiri za Ndoto.
View attachment 2361631
Niliota watu wawili kazini wananifukuza nitoke mahala nilipo nirudi nyumbani kwetu mkoa BNi kweli kwamba ndoto, maono na njozi huja mara nyingi katika hali ya mafumbo sana ambayo kibinadamu ni ngumu kuelewa, lakini kwa msaada wa Mungu aliyefunua hayo huandaa na tafsiri halisi kuyahusu maono hayo ama ndoto na njozi hizo.
Nina wakaribisha katika tafsiri za Ndoto.
View attachment 2361631
Hata mm nimewai kuota Niko na rais wa kwsnya ruto namuakikishia kuwa ndie rais aje ajabu kweli ruto kawa raisukiota umekutana na raisi wa nchi....?? matharani rais samia ukawa unamfata nyuma na kama vile anakufahamu....inamaana gani...?
Wewe usinidanganye. Kwa zaidi ya muaka kumi naota naokota hela na haijwahi kutokea naokota hela kama kwenye hizo ndoto.Ni kweli kwamba ndoto, maono na njozi huja mara nyingi katika hali ya mafumbo sana ambayo kibinadamu ni ngumu kuelewa, lakini kwa msaada wa Mungu aliyefunua hayo huandaa na tafsiri halisi kuyahusu maono hayo ama ndoto na njozi hizo.
Nina wakaribisha katika tafsiri za Ndoto.
View attachment 2361631
Huyu mwamba alikuwa jabali la kutafsiri ndoto, sijui hata alipotelea wapi. Ndoto zangu nyingi alizonitafisria zilikuwa vilevile.na vipi ukiota unaona kweny mbingu Kuna uwazi mkubwa wa duara Kama tundu la kuweza kupita mtu au watu, hila Kuna jamaa mmoja humu alikuwa anaitwa Freedom tommorrow ,huyu mtu akitafsiri ndoto lazima hiwe vilevile, sijui amepotelea wapi
jamaa alikuwa yupo vizuri, labda katangulia mbele ya haki hatuwezi jua!Huyu mwamba alikuwa jabali la kutafsiri ndoto, sijui hata alipotelea wapi. Ndoto zangu nyingi alizonitafisria zilikuwa vilevile.
Ndoto hizo wanaota masikiniWewe usinidanganye. Kwa zaidi ya muaka kumi naota naokota hela na haijwahi kutokea naokota hela kama kwenye hizo ndoto.
Kipindi cha nyuma niliota sana napaa kama ndege vile ndoto hii huja mara moja moja
Hii inaashiria nini??
Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app