Kila neno litaandikwa leo kuisifu Israel

Kila neno litaandikwa leo kuisifu Israel

canfi

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2022
Posts
1,368
Reaction score
1,477
Kufuatilia kifo cha kiongozi wa Hamas, tutaskia zile sifa za miaka yote juu ya uhodari wa IDF. Sifa za uongo kuhusu jeshi la Israel zitatawala sana wiki hii. Tutasahau kama wanashindana na kikundi kidogo cha Hamas ma ameshapoteza zaidi ya askali 500
 
Wew unajua kambi za kijeshi za Hamas zilipo utuonyeshe tumalize hii vita leo leo. Watu wanaishi kambi za wakimbizi na watoto wao...mara kwenye mashimo mara kwenye ma hospitals. Unazani hiyo tarehe 7/10/2023 wangevamia Russia wakauwa vile halafu wakachukua mateka ile Gaza ingekuwa na hali ganie sasa hivi? Israel ana huruma sana
 
Kufuatilia kifo cha kiongozi wa Hamas, tutaskia zile sifa za miaka yote juu ya uhodari wa IDF. Sifa za uongo kuhusu jeshi la Israel zitatawala sana wiki hii. Tutasahau kama wanashindana na kikundi kidogo cha Hamas ma ameshapoteza zaidi ya askali 500
Israel ni project ya westerners (NATO) hapo kando ya middle east ili kuchuma mafuta na rasilimi zilizopo tu hapo.

Believe me hilo taifa in reality halijawahi kuwepo bali tu ni mchongo wa wazungu kuwepo hapo kuvuruga amani ili wachukue mafuta.

Hawa waisrael mwitu akina The Mongolian Savage ni makenge tu ambao hawana jicho la tatu wao wako kama kile kibendera cha ccm kiliochanika kinayumbishwa na upepo tu.

Ngoja tutafikia mahali kule kwetu baharini wakipata sir port ya mizungu tutaambiwa hata tanga nyiker tuliitokea burundi tutoke turudi kwetu ili yachukue rasilimali zetu.

Akili mtu wangu. Huwezi elewa.
 
Israel ni project ya westerners (NATO) hapo kando ya middle east ili kuchuma mafuta na rasilimi zilizopo tu hapo.

Believe me hilo taifa in reality halijawahi kuwepo bali tu ni mchongo wa wazungu kuwepo hapo kuvuruga amani ili wachukue mafuta.

Hawa waisrael mwitu akina The Mongolian Savage ni makenge tu ambao hawana jicho la tatu wao wako kama kile kibendera cha ccm kiliochanika kinayumbishwa na upepo tu.

Ngoja tutafikia mahali kule kwetu baharini wakipata sir port ya mizungu tutaambiwa hata tanga nyiker tuliitokea burundi tutoke turudi kwetu ili yachukue rasilimali zetu.

Akili mtu wangu. Huwezi elewa.
Wee mkaldayo rudisha hao mbusii sisini.

Umbwaa

Allah ampe qauli thabeet kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein
 
Israel ni project ya westerners (NATO) hapo kando ya middle east ili kuchuma mafuta na rasilimi zilizopo tu hapo.

Believe me hilo taifa in reality halijawahi kuwepo bali tu ni mchongo wa wazungu kuwepo hapo kuvuruga amani ili wachukue mafuta.

Hawa waisrael mwitu akina The Mongolian Savage ni makenge tu ambao hawana jicho la tatu wao wako kama kile kibendera cha ccm kiliochanika kinayumbishwa na upepo tu.

Ngoja tutafikia mahali kule kwetu baharini wakipata sir port ya mizungu tutaambiwa hata tanga nyiker tuliitokea burundi tutoke turudi kwetu ili yachukue rasilimali zetu.

Akili mtu wangu. Huwezi elewa.
ww project ya nani??
 
Israel ni project ya westerners (NATO) hapo kando ya middle east ili kuchuma mafuta na rasilimi zilizopo tu hapo.

Believe me hilo taifa in reality halijawahi kuwepo bali tu ni mchongo wa wazungu kuwepo hapo kuvuruga amani ili wachukue mafuta.

Hawa waisrael mwitu akina The Mongolian Savage ni makenge tu ambao hawana jicho la tatu wao wako kama kile kibendera cha ccm kiliochanika kinayumbishwa na upepo tu.

Ngoja tutafikia mahali kule kwetu baharini wakipata sir port ya mizungu tutaambiwa hata tanga nyiker tuliitokea burundi tutoke turudi kwetu ili yachukue rasilimali zetu.

Akili mtu wangu. Huwezi elewa.
Usilalamike leta solution.
 
Kufuatilia kifo cha kiongozi wa Hamas, tutaskia zile sifa za miaka yote juu ya uhodari wa IDF. Sifa za uongo kuhusu jeshi la Israel zitatawala sana wiki hii. Tutasahau kama wanashindana na kikundi kidogo cha Hamas ma ameshapoteza zaidi ya askali 500
Yaani umejipofusha kujifanya pofu! wakati unafahamu majeshi YOOTE ya allah yapo Gaza!
 
Israel ni project ya westerners (NATO) hapo kando ya middle east ili kuchuma mafuta na rasilimi zilizopo tu hapo.

Believe me hilo taifa in reality halijawahi kuwepo bali tu ni mchongo wa wazungu kuwepo hapo kuvuruga amani ili wachukue mafuta.

Hawa waisrael mwitu akina The Mongolian Savage ni makenge tu ambao hawana jicho la tatu wao wako kama kile kibendera cha ccm kiliochanika kinayumbishwa na upepo tu.

Ngoja tutafikia mahali kule kwetu baharini wakipata sir port ya mizungu tutaambiwa hata tanga nyiker tuliitokea burundi tutoke turudi kwetu ili yachukue rasilimali zetu.

Akili mtu wangu. Huwezi elewa.
Hii naijua hii.Tulifundishwa madrasa.
 
Kufuatilia kifo cha kiongozi wa Hamas, tutaskia zile sifa za miaka yote juu ya uhodari wa IDF. Sifa za uongo kuhusu jeshi la Israel zitatawala sana wiki hii. Tutasahau kama wanashindana na kikundi kidogo cha Hamas ma ameshapoteza zaidi ya askali 500
Unafikiri hamas wangejitenga na raia wakawa na makambi yao ya kijeshi na kuvaa kombati za kijeshi waache kuvaa kiraia hii vita isingemaliza hata wiki
 
Kufuatilia kifo cha kiongozi wa Hamas, tutaskia zile sifa za miaka yote juu ya uhodari wa IDF. Sifa za uongo kuhusu jeshi la Israel zitatawala sana wiki hii. Tutasahau kama wanashindana na kikundi kidogo cha Hamas ma ameshapoteza zaidi ya askali 500
Kunywa juicy ya malimao mzee itakusaidia kupooza Uchungu ulio nao
 

Attachments

  • IMG_20240731_092524.jpg
    IMG_20240731_092524.jpg
    48.2 KB · Views: 1
  • IMG_20240731_064148.jpg
    IMG_20240731_064148.jpg
    54.6 KB · Views: 1
Wew unajua kambi za kijeshi za Hamas zilipo utuonyeshe tumalize hii vita leo leo. Watu wanaishi kambi za wakimbizi na watoto wao...mara kwenye mashimo mara kwenye ma hospitals. Unazani hiyo tarehe 7/10/2023 wangevamia Russia wakauwa vile halafu wakachukua mateka ile Gaza ingekuwa na hali ganie sasa hivi? Israel ana huruma sana
Sawa bhana
 
Back
Top Bottom