Kila neno litaandikwa leo kuisifu Israel

Kila neno litaandikwa leo kuisifu Israel

Israel ni project ya westerners (NATO) hapo kando ya middle east ili kuchuma mafuta na rasilimi zilizopo tu hapo.

Believe me hilo taifa in reality halijawahi kuwepo bali tu ni mchongo wa wazungu kuwepo hapo kuvuruga amani ili wachukue mafuta.

Hawa waisrael mwitu akina The Mongolian Savage ni makenge tu ambao hawana jicho la tatu wao wako kama kile kibendera cha ccm kiliochanika kinayumbishwa na upepo tu.

Ngoja tutafikia mahali kule kwetu baharini wakipata sir port ya mizungu tutaambiwa hata tanga nyiker tuliitokea burundi tutoke turudi kwetu ili yachukue rasilimali zetu.

Akili mtu wangu. Huwezi elewa.
Hahahahaa
 
Tujadili ya kwetu,watanzania tuna matatizo mengi sana.
 
Unafikiri hamas wangejitenga na raia wakawa na makambi yao ya kijeshi na kuvaa kombati za kijeshi waache kuvaa kiraia hii vita isingemaliza hata wiki
Anajitoa ufahamu ili ajilize kwamba wanawwke na watoto wanauwawa.Na asisahau kuwa kuna viongozi wa Hamas wanatembea kila mahali wakiwa wamezungukwa na mateka kutoka Israeli kama kinga yao wasiuawe kirahisi na IDF.
 
Back
Top Bottom