Kila neno litaandikwa leo kuisifu Israel

Hahahahaa
 
Tujadili ya kwetu,watanzania tuna matatizo mengi sana.
 
Unafikiri hamas wangejitenga na raia wakawa na makambi yao ya kijeshi na kuvaa kombati za kijeshi waache kuvaa kiraia hii vita isingemaliza hata wiki
Sasa ùjasusi wao uko wap
 
Unafikiri hamas wangejitenga na raia wakawa na makambi yao ya kijeshi na kuvaa kombati za kijeshi waache kuvaa kiraia hii vita isingemaliza hata wiki
Anajitoa ufahamu ili ajilize kwamba wanawwke na watoto wanauwawa.Na asisahau kuwa kuna viongozi wa Hamas wanatembea kila mahali wakiwa wamezungukwa na mateka kutoka Israeli kama kinga yao wasiuawe kirahisi na IDF.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…