ninosi
Senior Member
- Jun 30, 2022
- 151
- 333
Kila nikiandika nafuta.. Kila nikiandika nafuta.. Kila nikiandika nafuta..
Hili nimeshindwa kulifuta.. Eeeh Mwenyezi Mungu muumba mbingu na aridhi, binadamu na mimea (ikiwemo mizizi kama mihogo) naomba uendelee kumlinda na kumpa afya tela Triple C kwani kila akiwa uwanjani Taifa zima (na hata dunia yote) wote tunafurahi. Nasema Amen nikiamini umetenda.
NB: Tangu ligi imeanza, hakuna timu iliyowahi kumfunga Ruvu Shooting goli zaidi ya 2. Nyinyi mnaowalumu Ruvu Shooting mlipo kutana nao matokeo yalikuaje?!
Nakala...
Hili nimeshindwa kulifuta.. Eeeh Mwenyezi Mungu muumba mbingu na aridhi, binadamu na mimea (ikiwemo mizizi kama mihogo) naomba uendelee kumlinda na kumpa afya tela Triple C kwani kila akiwa uwanjani Taifa zima (na hata dunia yote) wote tunafurahi. Nasema Amen nikiamini umetenda.
NB: Tangu ligi imeanza, hakuna timu iliyowahi kumfunga Ruvu Shooting goli zaidi ya 2. Nyinyi mnaowalumu Ruvu Shooting mlipo kutana nao matokeo yalikuaje?!
Nakala...