Dannis
JF-Expert Member
- Jan 21, 2016
- 1,603
- 1,702
Matani mazoezi ni muhimu kwa binadamu, unajua ukiniona utahisi ni miaka 20 coz mwili hauzeeki...Duuh! Ntakutafuta aisee Mtani.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Matani mazoezi ni muhimu kwa binadamu, unajua ukiniona utahisi ni miaka 20 coz mwili hauzeeki...Duuh! Ntakutafuta aisee Mtani.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Karibu, kama tight haipo shaka ondoa utaikuta hukuhuku😀😛🙂Eti eeeee.
Haya basi niko njiani jumamosi naja. [emoji85] [emoji85] [emoji85]
Hahahaaa. Jamaani eti umenitukana lol.Hajar hapa nimekutukana kimoyomoyo ujue, yaani ulikua muda wote unaombea Brazil isichomoe! Ona sasa bila ya Brazil kuna World Cup tena hapo?
Hayo siyo mambo yakoWazoefu mnipe kautaratibu inakuaje mna dumu kufanya mazoezi mwaka mzima bila kuacha? au mnatumia mbinu gani?
MAZOEZI NI AFYA
Hahaaa. Wacha weee. Hivyo huzeeki mwenyewe.Matani mazoezi ni muhimu kwa binadamu, unajua ukiniona utahisi ni miaka 20 coz mwili hauzeeki...
[emoji23]Sesten Zakazaka natumai na weye ni mzoefu wa hiki kitu.
Msaidie mleta uzi kama unalifahamu hili sababu na mie niko ka yeye nikifanya wiki basi nishapata uvivu naacha.
Karibu. [emoji12] [emoji12]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] leo nimeanza tena, ntajitahidi nisiache, mwili uko poaMimi nakianza naenda vizuri napungua najiskia mwepesi kisha kizuizi kama ubize wa kazi unanishika najikuta nimeacha. Ubaya ukianza tena maumivu yanaanza upya.
[emoji23] hadi leo nishajifunzaHahahaaa. Mleta uzi uko ka mie aisee.
Ila kwa uzi wako na mie nitajifunza kitu hapa.
ok mkuuuNenda kacheze mchezo unaoupenda Mara kadhaa kwa wk. Michezo ni mizuri sababu huoni Kama unafanya mazoezi ukiwa unacheza
Hahaaa. Basi nitabeba raba tu kwani najua na fulana nitapata pia na ikikosekana basi ile yako ya Brazil au ya Simba utanipatia. [emoji85] [emoji85]Karibu, kama tight haipo shaka ondoa utaikuta hukuhuku😀😛🙂
asubuhi ndo vzuriMda upi ni mzuri kwa mazoezi kati ya asubuhi na jioni?
mkuu tukomae sasa tusiacheHili tatizo hata mm ninalo,,nikipiga tizi wiki 2 basi naruka miez 2 af naanza upya
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu masihara haya,Tafuta mwanamke mwenyewe msambwanda mpenda mazoezi hakika tatizo litakwisha
Sent from my SM-J120F using JamiiForums mobile app
Hivyo najua kuanzia Wiki ijayo hautakuwa chauvivu tena [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] hadi leo nishajifunza
ndiyo, sasa nimeanza kwa hari mpyaaaWatafit wanasema 80 ya watu huacha mazoezi baada ya mwez mmoja had miwili...hii husababishwa na fatiki sababu ya mabadiliko yanayatokea mwili so unakuwa unajihisi uchovu lakin ndio muda inabidi ujilazimishe ili mwili uweze ku adopt hayo mazingira so inabidi ukomae hivyo hivyo baafae itakuwa tabia.!.. Ninae kushauri hapa na mimi huwa naacha kama wewe ipa najua natakiwa nifanye nini kujisukuma kwenye mazoezi ni wito
Sent from my D2502 using JamiiForums mobile app
Chochote unachopenda lazima kikuvutie tofaut na hapo ni adhabu[emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu masihara haya,
[emoji23] [emoji23]Unaacha kwasababu kiakili umeyachukulia kama adhabu lakini ukipatwa na tatizo na daktari akakwambia mazoezi tu ndio suluhisho la tatizo lako, utayageuza lishe na hautochoka.
tuko mbalimbalSema sasa upatikanaji wa Kikundi hicho ndo tabu
Uzee shida wacha niendelee kuwa kijana nafaidi vingi.Hahaaa. Wacha weee. Hivyo huzeeki mwenyewe.
Inabid iwe hvyo asee,mi kuanzia wiki ijayo ni naanza upya, tena napoish kuna kamlima flani hv nataka niwe nakapandisha kwa spidi raundi zangu 5 au 10 zitatoshamkuu tukomae sasa tusiache