1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,552
- 13,090
- Thread starter
-
- #341
hajar nawe bila shaka kanga hazikutoshi,, labda uziunganishe mbili kwa mpigo [emoji23] taulo ndo kabisa halifungi ni kulitupia beganiHahaaa. Lol.
Jitahidi mdogo wangu sababu mie dada yako nlishashindwa pia.
Nakaa vizuri tu..aiseeh ivi katika bodaboda unakaa kweli?[emoji23]
Aisee this time nimedhamiria, na nachotaka ni kutumia muda mfupi mana ukifanya muda mrefu ndo unaingiwa na uvivuBasi ni vema ukaendelea bila kuingia uvivu ukakatisha tena mkuu
Hahaaa. Ila yataka moyo bana mie nilijikuta nayaacha tu.Hahahh..nitajitahidi Dada angu ingawa sio rahisi
Kwema lakini?
Ila Mimi nitaanza upya maana naona hali si shwariHahaaa. Ila yataka moyo bana mie nilijikuta nayaacha tu.
Kwema kabisa namshukuru Allah. Sijui kwako ndugu?
kuna siku ivo ivo ndo nimeanza hayo mazoezi maumivu hayajapoa shem wako akaja kutoka safari, usiniulize nn kilitokea hapo maana maumivu juu ya maumivu kesho yake[emoji23]Kweli mkuu maana ukicheka kwa sauti utapata tabu sana, kuinama napo ni shida yani shida juu ya tabu.
Na France ilikua imetimia, kina Marcel Desaily, Frank Lebouf, Christopher Dugary, Didier Deschamps, Zidane n.k...kocha wao Aime Jacquies ukichangia na uwanja wa nyumbani ilikua ni shughuli pevu kwa Braziwaongo wale degedege ulaya toka lini tena mwanamichezo? siku ile watu walikaba nafasi tu, akawa hapati mipira mingi
subutuuuu,, pale kilingeni kwa bodaboda nahisi wakikuona kwa mbali wanaanza kupiga miluzi fyuuuu fyuuuu[emoji23]Nakaa vizuri tu..
haswaaaaa,,Na France ilikua imetimia, kina Marcel Desaily, Frank Lebouf, Christopher Dugary, Didier Deschamps, Zidane n.k...kocha wao Aime Jacquies ukichangia na uwanja wa nyumbani ilikua ni shughuli pevu kwa Brazi
Nilikua najua anytime atamtoa Jesus aingie Firmino, na tatizo jingine la Brazil kutokua na namba tisa wa asili kama walivyokua kina de Lima na Romario wa miaka hiyo inawagharimu sanapale ndo kocha alipopagawa kabisa nikaona kabisa jahazi lao linazama, alafu kale ka navas jesus sijui anakapangia nn, unajua kapewa jukum nzito mno namba 9 vile viatu hata adriano vilimpwaya,, angalau angemwamini fermino ingekaa poa
[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] ukisikia Matani ndio haya jamaani lol.hajar nawe bila shaka kanga hazikutoshi,, labda uziunganishe mbili kwa mpigo [emoji23] taulo ndo kabisa halifungi ni kulitupia begani
Hahahahahahaha...weh kiumbe umenifanya nimecheka kwa sauti kubwa huku...hahahahaasubutuuuu,, pale kilingeni kwa bodaboda nahisi wakikuona kwa mbali wanaanza kupiga miluzi fyuuuu fyuuuu[emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nakaa vizuri tu..
Dah! Belgium sijui kama nitaweza....Ufaransa walitupiga 98 hawa wametutoa 2018, ngoja niingie nikiwa neutral tu wote hao si watu wazuriShangilia Belgium banaaa. [emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41]
Hahahaa. Anza tu mdogo ake mi tatizo langu linakuwaga uzito tu.Ila Mimi nitaanza upya maana naona hali si shwari
Uku kwema tu Dada angu
Hahahaaa. Ila we mchokozi lol.subutuuuu,, pale kilingeni kwa bodaboda nahisi wakikuona kwa mbali wanaanza kupiga miluzi fyuuuu fyuuuu[emoji23]
Ka mie mdogo wangu nimecheka sana aisee.Hahahahahahaha...weh kiumbe umenifanya nimecheka kwa sauti kubwa huku...hahahahaa
Uniletee hilo jibu bilakukosa eehNgoja yna4 aje akujibu ka ye amebongeka sana.
Mie jibu langu nakuletea mwenyewe. [emoji85] [emoji85] [emoji125] [emoji125] [emoji125]