Kila nikianza mazoezi ya viungo baada ya wiki mbili au tatu naacha, nikijitahidi mwezi mmoja baadaye naacha

Kila nikianza mazoezi ya viungo baada ya wiki mbili au tatu naacha, nikijitahidi mwezi mmoja baadaye naacha

waongo wale degedege ulaya toka lini tena mwanamichezo? siku ile watu walikaba nafasi tu, akawa hapati mipira mingi
Na France ilikua imetimia, kina Marcel Desaily, Frank Lebouf, Christopher Dugary, Didier Deschamps, Zidane n.k...kocha wao Aime Jacquies ukichangia na uwanja wa nyumbani ilikua ni shughuli pevu kwa Brazi
 
pale ndo kocha alipopagawa kabisa nikaona kabisa jahazi lao linazama, alafu kale ka navas jesus sijui anakapangia nn, unajua kapewa jukum nzito mno namba 9 vile viatu hata adriano vilimpwaya,, angalau angemwamini fermino ingekaa poa
Nilikua najua anytime atamtoa Jesus aingie Firmino, na tatizo jingine la Brazil kutokua na namba tisa wa asili kama walivyokua kina de Lima na Romario wa miaka hiyo inawagharimu sana
 
Back
Top Bottom