Kila nikianza mazoezi ya viungo baada ya wiki mbili au tatu naacha, nikijitahidi mwezi mmoja baadaye naacha

Umesahau na Mods nao wadumu jamaani.

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Na kweli Hajar na Mods nao wadumuuu, maana wasije wakaona tumewafanyia mtima nyongo na wao wakatulipizia wakatuhamishia Kenya....Wadumu Mods wa JF
 
Yani humu kunanipaga raha sana..kuna wakati unakutana na comment humu unajikuta tu unacheka kama umekaa na mtu pembeni huishia kukushangaa tu
Mie huwa inanitokea sana yaani hadi wameshanizowea ninaokuwa nao karibu sababu naweza cheka hasaaa.

Kisha nawaambia Mitandao hii huwa inavichekesho mnoo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…