mi Pia huwa sina muendelezo wa kufanya mazoezWazoefu mnipe kautaratibu inakuaje mna dumu kufanya mazoezi mwaka mzima bila kuacha? au mnatumia mbinu gani?
MAZOEZI NI AFYA
mkuu nimekuelewa ubarikiwe sanaSeti malengo ya unachotaka kukifikia ndani ya muda fulani. Iwe katika mfumo wako jogging, squats na sit ups.
Jua kua mazoezi ni wito. Usiwe na zile za kusubiri upigiwe simu ndiyo uende mazoezini.
Train kwa mtindo wa kujichallenge, yaani ongeza idadi ya unachofanya kila baada ya muda fulani. Siku tatu au wiki.
Train kwa kuadvance kidogo kidogo. Usiruke kwenye deal ndefu kabla.
Natumaini unacheki unachokula na kunywa.
Ukijiona hutaki kutoka ndani ila unataka kufanya mazoezi cheki hapa.
Jinsi ya kutengeneza mwili bila kuingia Gym
ya viungo mzee djJaman mazoezi yapi
hahaha tupo wengi humu mie kesho alfajiri naanza[emoji23]Mkuu bora wewe.
Mimi nna rafiki yangu kila siku anasema ataanza wiki ijayo[emoji23] [emoji23]
mmmh [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hata mimi bora nilipe halafu usiende.
asubuhi pale alfajiri, au jion mida ya 12,Unawaza kuyafanya mda gani?
Ukipata company itasaidia sana.
mkuu nishauri sasa mbona wanivunja moyooHakuna damu ya mazoezi wala ubongo wa pushapu, tatizo ni wewe mwenyewe na uvivu wako pia huna ratiba ya kueleweka ya mazoezi
nipe hyo app mkuuAisee huwa ngumu kweli Mimi Nina ka app kakunikumbusha,ila alarm yake naichukia kweli,angekuwa mtu ningeshagombana[emoji23] [emoji23]
Poa poa 1kushya viungo mzee dj
we endelea kutanua nguo tuHahaha poleni jamani mazoezi nacho kipaji
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kipaji haswa hasa pale baby kakuambia anapenda mwanaume mwenyewe six pack [emoji23] [emoji23]
sio woteee[emoji23] mie mbona ipo originalHahaha kumbe mnafanyaga mazoezi kwa ajili ya six pack woiii
[emoji23]Ukipewa sharti la hivyo utaitafuta tu siksi paki[emoji23] [emoji23]
Siku hizi umekuwa mtoto mzuri![emoji28][emoji28][emoji28]Poa poa 1kush
sasa hapa nlipo sijui nani anapiga haya mazoezFanya utafute partner uwe unafanya nae zoezi hapo hutaacha utaendelea hata kwa shingo upande ..
Lkn kama uko peke yako na ni mvivu mvivu kama mimi basi kila baada ya week utakuwa unaacha
Acha utani mtoto mzuri tena!Siku hizi umekuwa mtoto mzuri![emoji28][emoji28][emoji28]
kumbeeeer[emoji23] [emoji23]mi Pia huwa sina muendelezo wa kufanya mazoez
mkuu mi nahisi ni kawaida.. maana hata jeshin huwa tunapigishwa jaramba miez michache tu baada ya hapo ni we mwenyewe tu.