Kila nikianza mazoezi ya viungo baada ya wiki mbili au tatu naacha, nikijitahidi mwezi mmoja baadaye naacha

Kila nikianza mazoezi ya viungo baada ya wiki mbili au tatu naacha, nikijitahidi mwezi mmoja baadaye naacha

Mimi nilikua naruka kamba nikaacha ikabidi nilipie gym yaan naenda huku nimenuna!!

Na hapo ndiyo kwanza nina week mbili toka nilipie.

hapa nimesema ikiisha silipii tena sema nimepungua sasa sijui nitafumuka tena
hongera sanaaa, hiyo ya kulipia kuna shemu wangu analipa elfu 50 kwa mwezi, ameanza ila sasa namuona kaacha ila kapungua kidogo
 
Mimi nilikua naruka kamba nikaacha ikabidi nilipie gym yaan naenda huku nimenuna!!

Na hapo ndiyo kwanza nina week mbili toka nilipie.

hapa nimesema ikiisha silipii tena sema nimepungua sasa sijui nitafumuka tena
Mkuu hahaha usiache lipia tu baada utakuwa utamaduni utazoea
 
Miss Natafuta aliniambia kuwa yeye huwa hainamishwi basi nikakata tamaa kabisa mkuu!!
Kama hivi au hivi
325506_265613390135670_1370245888_o.jpg.cf.jpg
UTUPU%2B1.jpg.cf.jpg
 
Back
Top Bottom