Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Miss Natafuta aliniambia kuwa yeye huwa hainamishwi basi nikakata tamaa kabisa mkuu!!Mis natafuta vipi humtaki na zigo lote lile
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miss Natafuta aliniambia kuwa yeye huwa hainamishwi basi nikakata tamaa kabisa mkuu!!Mis natafuta vipi humtaki na zigo lote lile
hongera sanaaa, hiyo ya kulipia kuna shemu wangu analipa elfu 50 kwa mwezi, ameanza ila sasa namuona kaacha ila kapungua kidogoMimi nilikua naruka kamba nikaacha ikabidi nilipie gym yaan naenda huku nimenuna!!
Na hapo ndiyo kwanza nina week mbili toka nilipie.
hapa nimesema ikiisha silipii tena sema nimepungua sasa sijui nitafumuka tena
Mkuu hahaha usiache lipia tu baada utakuwa utamaduni utazoeaMimi nilikua naruka kamba nikaacha ikabidi nilipie gym yaan naenda huku nimenuna!!
Na hapo ndiyo kwanza nina week mbili toka nilipie.
hapa nimesema ikiisha silipii tena sema nimepungua sasa sijui nitafumuka tena
nimeiona ila kaweka mchoro flani iviUnaijua hiyo id
Kama hivi au hiviMiss Natafuta aliniambia kuwa yeye huwa hainamishwi basi nikakata tamaa kabisa mkuu!!
[emoji53] [emoji23]Miss Natafuta aliniambia kuwa yeye huwa hainamishwi basi nikakata tamaa kabisa mkuu!!
Acha mkuu mazoezi ni witohongera sanaaa, hiyo ya kulipia kuna shemu wangu analipa elfu 50 kwa mwezi, ameanza ila sasa namuona kaacha ila kapungua kidogo
Uwiiiii!..mkuu acha kunitamanisha,tena wana chura!!Kama hivi au hiviView attachment 806152View attachment 806153
safari hii sitaki kuacha, nataka niendelee 4life [emoji23] [emoji23]Acha mkuu mazoezi ni wito
Mmmh sijui kama nitaweza.Mkuu hahaha usiache lipia tu baada utakuwa utamaduni utazoea
Hiyo namba naipenda sananimeiona ila kaweka mchoro flani ivi
Jitahidi mkuu, mimi bado nipo nipo nitapumzika nitaendelea mwakani mwezi wa 12.safari hii sitaki kuacha, nataka niendelee 4life [emoji23] [emoji23]
Yataka moyo, sijawahi fululiza miezi mitatu[emoji134]Hahaha hayo mambo yamenishinda mm
mkuu mmmh [emoji23] hizi mbonaKama hivi au hiviView attachment 806152View attachment 806153
[emoji12] [emoji12]Uwiiiii!..mkuu acha kunitamanisha,tena wana chura!!
Penye nia.....Mmmh sijui kama nitaweza.
ok, utapata tabu sanaaaJitahidi mkuu, mimi bado nipo nipo nitapumzika nitaendelea mwakani mwezi wa 12.
Yataka moyo, sijawahi fululiza miezi mitatu[emoji134]
sio woteee[emoji23] mie mbona ipo original
we endelea kutanua nguo tu