Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwezi fanya mazoezi peke yako tafuta kampan maana utafanya kidogo utakata tamaa jaribu kutafuta mtu awe anakusimamia au kukuongoza na jiwekee muda wa mazoezi haani ukiingia chumba cha mzoezi utakaa mda gani hadi umalize kama utafanya hivyo ndani ya wiki yakikuingia vizuri kuacha hilo sahau maana mwili unakuwa unadai hata ikifika mda wa mazoezi kunahali fulani unajisikia hadi uanze kufanya ndo inatoweka uaani kiufupi ukiyazoea utaenjoy sanaWazoefu mnipe kautaratibu inakuaje mna dumu kufanya mazoezi mwaka mzima bila kuacha? au mnatumia mbinu gani?
MAZOEZI NI AFYA
yaliyomo yamo, mmmh chura kama kawa?[emoji23]Hiyo namba naipenda sana
Mzma lakiniYataka moyo, sijawahi fululiza miezi mitatu[emoji134]
Duu poleni sana mimi mwanzoni nilikuwa kama nyie ila kwa sasa nimekuwa mwalimuyaaan sijui nifanyeje? uko kama mm
kanga hazitafunga sasaYataka moyo, sijawahi fululiza miezi mitatu[emoji134]
Hata wewe unaweza kutia mchango wako hapaNgoja waje wazoefu
weka mbinu kiongoziDuu poleni sana mimi mwanzoni nilikuwa kama nyie ila kwa sasa nimekuwa mwalimu
Mie mzima dj, habari za masiku?Mzma lakini
Yaani acha tu.kanga hazitafunga sasa
yaan mie asa nikipeleka kanga hazimtoshi,, tenge ndo zinamfaa,, akivaa kanga awe chumbani tu,, [emoji23]Yaani acha tu.
Kwanza mazoezi ukitaka kufanikiwa ni kujituma kwa kujitoa hasahasa na ukichoka usiseme nimechoka jilazimishe na jipe moyo kuwa namaliza sasa hivi hivyo hivyo siku wiki mwezi mwaka mwili unafungukaweka mbinu kiongozi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]yaan mie asa nikipeleka kanga hazimtoshi,, tenge ndo zinamfaa,, akivaa kanga awe chumbani tu,, [emoji23]
tupo wengiMimi huwa napiga kama mwezi hivi af naanza kuacha taratibu sijui sababu ni nini
ok mkuuKwanza mazoezi ukitaka kufanikiwa ni kujituma kwa kujitoa hasahasa na ukichoka usiseme nimechoka jilazimishe na jipe moyo kuwa namaliza sasa hivi hivyo hivyo siku wiki mwezi mwaka mwili unafunguka
ok, nami ntaanza hivoMimi nlikuwa hivyo zamani lkn nikatafuta sehem ya kukimbia ambayo nitakutana na watu wa kunipa hamasa....UDSM imekuwa sehem sahihi sn mwaka wa 2 huu kila siku jioni nakimbia 5km
yaaan[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kazi ipo, pambana tu.