Kila nikianza mazoezi ya viungo baada ya wiki mbili au tatu naacha, nikijitahidi mwezi mmoja baadaye naacha

Kila nikianza mazoezi ya viungo baada ya wiki mbili au tatu naacha, nikijitahidi mwezi mmoja baadaye naacha

Wazoefu mnipe kautaratibu inakuaje mna dumu kufanya mazoezi mwaka mzima bila kuacha? au mnatumia mbinu gani?

MAZOEZI NI AFYA
mi Pia huwa sina muendelezo wa kufanya mazoez

mkuu mi nahisi ni kawaida.. maana hata jeshin huwa tunapigishwa jaramba miez michache tu baada ya hapo ni we mwenyewe tu.
 
Kwanza penda mazoezi, hili jambo na nia ya kufanya mazoezi itoke moyoni.

Fikiria matokeo ya mazoezi katika mwili wako, Fikiria mwili Unavyokuwa relaxed baada ya zoezi, Fikiria utakavyoweza kudhibiti adui yako, Fikiria Utakavyokuwa na sex body n.k

Fanya mazoezi siku inapoanza, asubuhi, ukiwa na nguvu zako.... Sio jioni, mwili ukiwa umechoka

Fanya mazoezi kwa mtindo wa mchezo (namna inayokufanya ufanye mazoezi huku unafurahia). Mfano kama ni mchezaji wa mpira, cheza mpira na hapo utakuwa Umefanya mazoezi ya kukimbia, kuruka, kunyosha viungo n.k

Best luck brother
 
Seti malengo ya unachotaka kukifikia ndani ya muda fulani. Iwe katika mfumo wako jogging, squats na sit ups.

Jua kua mazoezi ni wito. Usiwe na zile za kusubiri upigiwe simu ndiyo uende mazoezini.

Train kwa mtindo wa kujichallenge, yaani ongeza idadi ya unachofanya kila baada ya muda fulani. Siku tatu au wiki.

Train kwa kuadvance kidogo kidogo. Usiruke kwenye deal ndefu kabla.

Natumaini unacheki unachokula na kunywa.

Ukijiona hutaki kutoka ndani ila unataka kufanya mazoezi cheki hapa.

Jinsi ya kutengeneza mwili bila kuingia Gym
mkuu nimekuelewa ubarikiwe sana
 
Fanya utafute partner uwe unafanya nae zoezi hapo hutaacha utaendelea hata kwa shingo upande ..
Lkn kama uko peke yako na ni mvivu mvivu kama mimi basi kila baada ya week utakuwa unaacha
sasa hapa nlipo sijui nani anapiga haya mazoez
 
mi Pia huwa sina muendelezo wa kufanya mazoez

mkuu mi nahisi ni kawaida.. maana hata jeshin huwa tunapigishwa jaramba miez michache tu baada ya hapo ni we mwenyewe tu.
kumbeeeer[emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom