Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] lolMimi huwa napiga kama mwezi hivi af naanza kuacha taratibu sijui sababu ni nini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] lolMimi huwa napiga kama mwezi hivi af naanza kuacha taratibu sijui sababu ni nini
Duuh! Ntakutafuta aisee Mtani.Mkuu acha uvivu, mimi nilianza mazoezi two years ago,
Nilikuwa siwez kupiga hata push ups 3 but now napiga mpaka 100
Mie mzima sana tu.[emoji23] [emoji23] [emoji23] swahiba mzima
Hahahaaa. Mie pia nilishashindwa jamaani.Hahaha dada niache siwezi kabisa mm
Nimewaachia wenye vipaji vyao kwa kweli.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Umeona eenh
Mazoezi ni tabia au utamaduni, kama utamaduni huo haikujijenga kwako kua mfanya mazoezi wa mara kwa mara ni rahisi sana kuingia uvivu kila unapoanza, inabidi ujilazimishe sana na ikiwezekana jaribu kua unafanya mazoezi na kikundi ambacho mtakua mnahamasishana, ila mazoezi ni muhimu HASA KWA WANAUME, umenielewa Hajar?Sesten Zakazaka natumai na weye ni mzoefu wa hiki kitu.
Msaidie mleta uzi kama unalifahamu hili sababu na mie niko ka yeye nikifanya wiki basi nishapata uvivu naacha.
Karibu. [emoji12] [emoji12]
Hahahaaaa. Nimecheka Best.Mda upi ni mzuri kwa mazoezi kati ya asubuhi na jioni?
[emoji23] [emoji23] asante swahiba. Pole na weweMie mzima sana tu.
Pole kwa kushindwa na mazoezi. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wewe unaweza mazoezi ya 6*6 eti..??Ngoja waje wazoefu
Nimewaachia wenye vipaji vyao kwa kweli.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahhahah hiko ni kipaji kabisaHahahaaa. Mie pia nilishashindwa jamaani.
Yaani unaweza kuta wiki nafululiza ila baada ya hapo najikuta tu hamu ya mazoezi inakwisha. [emoji23] [emoji23]
Wewe unaweza mazoezi ya 6*6 eti..??
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sawa ahsante[emoji23] [emoji23] asante swahiba. Pole na wewe
Nani shemeji yako..[emoji36] [emoji36] [emoji36]Ewaaaaa hayo hayo shemeji yangu ndio nayawez tena nayafanya vizuri sana
Hahaahh.. Sijakukimbia bhn soka ndo lilivyo jamaa waliupiga mwingi sana ila bahati haikuwa yao. Now nmehamia paris kwa mkopo[emoji3][emoji3]Hahahaaaa. Nimecheka Best.
Mie naona jioni ndio poa kutokana na mihangaiko ya kutwa nzima ambayo inataka ianzwe asubuhi.
Pia Ahsante kwa kunikimbia best baada ya kupokea kichapo. [emoji12] [emoji12]
Nani shemeji yako..[emoji36] [emoji36] [emoji36]
Hahahaaa. Nimekuelewa sana Sesten.Mazoezi ni tabia au utamaduni, kama utamaduni huo haikujijenga kwako kua mfanya mazoezi wa mara kwa mara ni rahisi sana kuingia uvivu kila unapoanza, inabidi ujilazimishe sana na ikiwezekana jaribu kua unafanya mazoezi na kikundi ambacho mtakua mnahamasishana, ila mazoezi ni muhimu HASA KWA WANAUME, umenielewa Hajar?
Upo sahihi kabisa Vi rendrauko wapi ww
unajua mkiwa kama kumi ivi na nyimbo zenu za hamasa mnafika hata chalinze