D
Deleted member 485868
Guest
Kabisa yani.. Jf jumba lenye fullpackage...ukitaka stress umejitakia mwenyeweJF ni stress free zone, hata ukija nazo utaziacha mlangoni yna4, maisha yenyewe ndio hayahaya shangweka tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa yani.. Jf jumba lenye fullpackage...ukitaka stress umejitakia mwenyeweJF ni stress free zone, hata ukija nazo utaziacha mlangoni yna4, maisha yenyewe ndio hayahaya shangweka tu
Mmmmh! Hiyo kesho wala haifiki, njooni kwanza na Hajar mpime uzito halafu tujue tuanze na zoezi lipi la harakaHahahaha nitaanza kesho
Umeona eeh! Welcome allKabisa yani.. Jf jumba lenye fullpackage...ukitaka stress umejitakia mwenyewe
Hahahaha...Mimi na Dada angu tutakuja baadaeMmmmh! Hiyo kesho wala haifiki, njooni kwanza na Hajar mpime uzito halafu tujue tuanze na zoezi lipi la haraka
HahahahaaTudumu tudumu sababu hadi tunajiunga vifurushi vya mwezi au Wiki wiki ilimradi tu bando lisiwe Mzozo tupate kuja jf.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] tudumu jamaani.
Hii mizani sijui itasalimika mtakapoitandia kupima kilo! Nawaza mwenyewe kwa sauti tu hapaHahahaha...Mimi na Dada angu tutakuja baadae
Haswaaaaaa. Huku ukiwa na stress basi umezitaka.Kabisa yani.. Jf jumba lenye fullpackage...ukitaka stress umejitakia mwenyewe
Hahaaaa. Lol.Mmmmh! Hiyo kesho wala haifiki, njooni kwanza na Hajar mpime uzito halafu tujue tuanze na zoezi lipi la haraka
Ewaaaaaaaaa. Baadae tutamzukia.Hahahaha...Mimi na Dada angu tutakuja baadae
Me mwenyewe nimelifikiria sana hiloHii mizani sijui itasalimika mtakapoitandia kupima kilo! Nawaza mwenyewe kwa sauti tu hapa
Yaani kilo zikizidi tu tiba ya haraka ya mazoezi inaanza mara mojaEwaaaaaaaaa. Baadae tutamzukia.
Halafu mzani wenyewe wa kichina sasa🙁🙁Me mwenyewe nimelifikiria sana hilo
Tutakupa hasara
Anawaza mzani wake kama utasalimika au lahEwaaaaaaaaa. Baadae tutamzukia.
Hahahaaaa. Bora umeona mbali SestenHii mizani sijui itasalimika mtakapoitandia kupima kilo! Nawaza mwenyewe kwa sauti tu hapa
Uwiiiii bora tusije tuHalafu mzani wenyewe wa kichina sasa🙁🙁
Umeonaeee.Me mwenyewe nimelifikiria sana hilo
Tutakupa hasara
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Anawaza mzani wake kama utasalimika au lah
Yaani hapo mshapata sababu ya kukimbia mazoezi, hebu njooni nyie wadadaUwiiiii bora tusije tu
Mtachakachua mkipima wenyeweUmeonaeee.
Tutapima wenyewe tukienda tutamtajia tu.
Bora tupime wenyewe tuUmeonaeee.
Tutapima wenyewe tukienda tutamtajia tu.