FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Unaongelea Kariakoo au unaongelea soko la Kariakoo?link?? wakina mama wa kariakoo tu wamechukuliwa nafasi zao sokoni na matajiri.
collateral ya mikopo hii ni nini?? program hii inaanza lini?? I need something nione kweli. my government is doing something positive and it can be shown.
Ulivyoandika unaonesha hata Kariakoo huifahamu.
Kwa kukujuza tu; kuna eneo linaitwa Kariakoo, kuna mtaa unaitwa Kariakoo na kuna soko linaitwa Kariakoo.
Unachoongelea wewe ni kipi katika hivyo vitatu?