FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Mkikosa hoja mnakimbilia kwenye "mdini". kwani kuwa na dini ni dhambi?Mdini huyu niwa kupuuza tuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkikosa hoja mnakimbilia kwenye "mdini". kwani kuwa na dini ni dhambi?Mdini huyu niwa kupuuza tuu
Mtafute fala mmoja anaitwa Lucas Msambwanda atakupa hizo habari za kufikirikaNina miaka 4 sijawahi kuona habari njema ya maendeleo kwa wananchi, kila siku habari mbaya tu.
Nipeni link ya habari nzuri ya maendeleo miaka 4 hii hata nifarijike.
Na huzuni tu, nipeni 1 good news for the past 4 years nisome nifurahi kuwa nipo na Serikali yangu.
Kura yangu inaniuma sana.
Kura yangu ya kwanza, nilikuwa sijui wapiga kura wanateseka hivi.
Ina maana huoni nyuzi za kaka yetu Lucas Mwasambwa? Au wewe ni mmoja wa wale msioitakia nchi mema?Nina miaka 4 sijawahi kuona habari njema ya maendeleo kwa wananchi, kila siku habari mbaya tu.
Nipeni link ya habari nzuri ya maendeleo miaka 4 hii hata nifarijike.
Na huzuni tu, nipeni 1 good news for the past 4 years nisome nifurahi kuwa nipo na Serikali yangu.
Kura yangu inaniuma sana.
Kura yangu ya kwanza, nilikuwa sijui wapiga kura wanateseka hivi.