Kila nikifungua mitandao ya kijamii ni habari mbaya tu za Serikali

Mtafute fala mmoja anaitwa Lucas Msambwanda atakupa hizo habari za kufikirika
 
Ina maana huoni nyuzi za kaka yetu Lucas Mwasambwa? Au wewe ni mmoja wa wale msioitakia nchi mema?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…