Kila nikiingiwa na hofu natokwa manii. Je, ni hali ya kawaida au ugonjwa?

aisee kuna watu wanaumwa jamani duh.
 

sasa unakojoa bila mashine kudinda ? au inadinda kwanza ? huu ugonjwa mkatibiwe jaman
 
Ni hali ya kawaida ata mimi imenitokea O level na ata wakati niko Chuo
 
Mi haswaa nikiwa naendesha gari,nikifika spidi kuanzia 120 kuendelea najikuta nshamwaga wazungu
 
hali hii pia imenitokea sana hasa nilipokuwa nafanya UE dah
 
Sorry,,,Nina swali hapo,,Wakati zinatoka unakua unajiskia utamu?? Kama zinapotoka Wakati wa sex?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…