Kumbe eee? nilikuwa sijui kama ni meditationIlinitokea mtihani wa form Six ndani ya chumba cha mtihani piga maswali hayapigiki, ghafla kitu kikaruka, zikamwagika.
Baada ya kumwaga akili ikatulia na nikamalizia pepa vizuri kabisa.
Hivyo ni namna fulani automatically ya mwili kukwambia "rafiki ebu tulia, ondoa tension/stress, haya rudi sasa kwenye utulivu wa mwili/akili ,calmness",ambayo ndio level nzuri zaidi ya kusolve mambo.
Kwa wanaofanya meditation, hii ni meditation inayofanywa na subconscious mind bila control yako. Baada ya hapo hali ya utulivu wa kipekee utokea.
wewe haijawahi kukukuta mzee.....ni kitimtim
basi ndio maanamkuu niwe mkweli haijawah kunikuta aisee
Hiyo ni hali ya kawaida, hata mimi ilishawahi kunitokea kipindi niko shule nafanya mtihani, msimamizi akitaja dakika za majeruhi bado dakika 5,4,3,2 au 1 halafu ukute sijamaliza maswali na mtihani ulikuwa jiwe basi najikuta mzee baba kashafanya yake kutokana na hofu
Wewe una nyota ya fisi majiHabari zenu wana Jf
Nina tatizo moja hivi yaani kila nikiaanza kuingiwa na hofu huwa najikuta shatoa manii napiizii yanatoka yenyewe automatically nashindwa kujizuia jamani hii ni tatizo au ni hali ya kawaida??.
Ikitoka na ladha si atapata shambulio la aibu.Zinatoka kimyakimya au unaisikia na ladha...?