Kila nikiingiwa na hofu natokwa manii. Je, ni hali ya kawaida au ugonjwa?

Kila nikiingiwa na hofu natokwa manii. Je, ni hali ya kawaida au ugonjwa?

Ilinitokea mtihani wa form Six ndani ya chumba cha mtihani piga maswali hayapigiki, ghafla kitu kikaruka, zikamwagika.

Baada ya kumwaga akili ikatulia na nikamalizia pepa vizuri kabisa.

Hivyo ni namna fulani automatically ya mwili kukwambia "rafiki ebu tulia, ondoa tension/stress, haya rudi sasa kwenye utulivu wa mwili/akili ,calmness",ambayo ndio level nzuri zaidi ya kusolve mambo.

Kwa wanaofanya meditation, hii ni meditation inayofanywa na subconscious mind bila control yako. Baada ya hapo hali ya utulivu wa kipekee utokea.
Kumbe eee? nilikuwa sijui kama ni meditation
 
Hiyo ni hali ya kawaida, hata mimi ilishawahi kunitokea kipindi niko shule nafanya mtihani, msimamizi akitaja dakika za majeruhi bado dakika 5,4,3,2 au 1 halafu ukute sijamaliza maswali na mtihani ulikuwa jiwe basi najikuta mzee baba kashafanya yake kutokana na hofu

duh kumbe siko pekeyangu hata mimi ili wainitokea mala kadhaa kwenye mtian kipindi wakitaja dakika za mwisho kutupiga stop huku nimebanwa mkojo na hofu ya kumalizia ma swal sio sili bas wazungu uku chini walikua wana chomoka badala ya mkojo
 
Habari zenu wana Jf

Nina tatizo moja hivi yaani kila nikiaanza kuingiwa na hofu huwa najikuta shatoa manii napiizii yanatoka yenyewe automatically nashindwa kujizuia jamani hii ni tatizo au ni hali ya kawaida??.
Wewe una nyota ya fisi maji
 
Zinatoka kimyakimya au unaisikia na ladha...?
Ikitoka na ladha si atapata shambulio la aibu.
Ile ladha ni tamu kinyama hadi viwete huwa wanasimama baada ya muda nguvu zinamuishia.
 
Ilinitokea nilipokuwa nafanya mtihani wa fom four nilijimwagia na utam nikausikia, ni hali ya paniki ambayo imezidi sana
 
Back
Top Bottom