Kila nikijaribu kumsamehe/kuwasamehe nashindwa

Kila nikijaribu kumsamehe/kuwasamehe nashindwa

Mimi nilipo huku watu wakitaka kuhama au kuupgrade vitu vya ndani, huwa wanaacha TV, sofa , na vitu vingine nje. Mimi TV yangu niligawa bosi, gari ya kwanza huku nilipo nilipewa bure.

Kuna jirani yangu hapa, katupa TV yake kwenye dustbin jana. Ningekupigia picha uone.

Labda exposure ndio inanifanya nionekane nina dharau. Labda exposure ndio inanifanya nione kuchepuka ni kosa, haijalishi kalifanya nani. Labda exposure, ndio inanifanya niwe na mtazamo huu. Labda exposure ndio inanifanya niweze kucritique hii story kwa jicho hilo.

Vyovyote vile, sitaki argument za matusi. Ukinitukana tena, nakureport.


Kama huko mnatupa TV Kwenye dustbin na sisi huku tunatupa wali uliobaki Kwenye dustbin , ant we even???
 
Umeshinda mkuu Akanyambasira, wasalimie Kamachumu.
Huna lolote exposure exposure my ass, kumbe gari ulipewa, wanaume mwenzako wanajisifi Kununua gari we unajisifu kupewa, we ni.....au? Kwa kifupi hata ueleweki maana kila ukireply unakuja na mengine, acha kubadili gia angani.
 
Msamehe tu uwe huru moyoni mwako hata hivo s ushaamua kuendelea na maisha yako sasa kinachoufanya ushindwe kuwasamehe ni nn??

Acha dunia iwafunze barabara ww lea wanao tu wakikua watamtafta mama yao wakipenda lakini wasamehe
Story ni ndefu.
NIME ISOMA YOTE.
Hawa wanawake ni shidaaaa.

BORA ALI KATAA SHULE,
ANGELIPATA AJIRA YAKE, UNGE JUTA MKUU.
 
Kidogo nitakuwa tofauti na kila mtu humu.

Kwanza nianze kwa kukwambia pumbavu! Pumbavu sana! Pumbavu tena!
Ukitembea na mchepuko mkeo alikua kakukosea nini? Umefanya kazi ya kuweka akili kwenye Mali ukasahau watoto wanahitaji malezi ya baba na mama na si ya bibi. Nikweli mkeo alikosea kwa hatua alizochukua baada ya wewe kutenda kosa ila unajua mkeo ni zaidi ya wewe unavyomwona mkeo? Huyo binti unaejivunia mzuri anamwita mkeo mama! Nafikiri unajua maana ya neno mama.

No matter what kwa wanao huyo ni mama yao, ukizingatia upendo wako kwa wanao utaanza na kulijua hilo utajua watoto wanahitaji uwepo wa mama kama wanavyohitaji uwepo wa baba pia. Nyote wawili hamjui watoto wanataka nini mnawaza Mali za dunia na starehe zenu, ndio maana yeye alikua bize na biashara kuliko watoto na wewe ulikua busy na kumvua chupi mchepuko pumbavu sana! Ndoa na iheshimiwe nakwambia hili kutoka moyoni pumbavu sana!

Kuna kitu kinaitwa malipizi ya dhambi hivyo ulikua kwenye malipizi ya dhambi na kadhalika mkeo nae kawa kwenye malipizi ya dhambi zake. Hakuna mtu mwenye haki kwenye hii dunia mrudushe mkeo kwako na chukua wanao mkae nao. Kubwa tu siku zote unapohama hama na mkeo shetani yuko mtaani anasaka wafwasi wake. Ndoa ni ndoa na ni above your emotions.

Samahani kama utahisi sielewi uliyopitia. Pumbavu sana.
Nilikuwa na mawazo kama yako lakini sikutaka mapovu ya watu na mabishano......

Nikawaza ina maana nimeona mimi tu tofauti!?
Mvunja ndoa ni mwanandoa,ndoa na iheshimiwe jamani....
 
Kidogo nitakuwa tofauti na kila mtu humu.

Kwanza nianze kwa kukwambia pumbavu! Pumbavu sana! Pumbavu tena!
Ukitembea na mchepuko mkeo alikua kakukosea nini? Umefanya kazi ya kuweka akili kwenye Mali ukasahau watoto wanahitaji malezi ya baba na mama na si ya bibi. Nikweli mkeo alikosea kwa hatua alizochukua baada ya wewe kutenda kosa ila unajua mkeo ni zaidi ya wewe unavyomwona mkeo? Huyo binti unaejivunia mzuri anamwita mkeo mama! Nafikiri unajua maana ya neno mama.

No matter what kwa wanao huyo ni mama yao, ukizingatia upendo wako kwa wanao utaanza na kulijua hilo utajua watoto wanahitaji uwepo wa mama kama wanavyohitaji uwepo wa baba pia. Nyote wawili hamjui watoto wanataka nini mnawaza Mali za dunia na starehe zenu, ndio maana yeye alikua bize na biashara kuliko watoto na wewe ulikua busy na kumvua chupi mchepuko pumbavu sana! Ndoa na iheshimiwe nakwambia hili kutoka moyoni pumbavu sana!

Kuna kitu kinaitwa malipizi ya dhambi hivyo ulikua kwenye malipizi ya dhambi na kadhalika mkeo nae kawa kwenye malipizi ya dhambi zake. Hakuna mtu mwenye haki kwenye hii dunia mrudushe mkeo kwako na chukua wanao mkae nao. Kubwa tu siku zote unapohama hama na mkeo shetani yuko mtaani anasaka wafwasi wake. Ndoa ni ndoa na ni above your emotions.

Samahani kama utahisi sielewi uliyopitia. Pumbavu sana.

Umeongea ukweli kabisa huyu hata akija kuoa tena bado atalipa tu huyo mke wake mpya anaweza mfanyia cha ajabu akaona heri yule wa kwanza ukishakaribisha shetani kwa maisha jua tu utacheza nae ngoma tu. Shetani kazi yake ni kuharibu na kuua tu hana jema kabisa na anafurahi sana ndoa zikisambaritika
 
JOMAM

Asante Mkuu, Mkuu nilifanya kila linalowezekana kumrudisha huyo mwanamke akakataa , nikamwambia mpaka aende alikouza vitu akawaambie ameuza kwa makosa nimtumie hela awarudishie arudishe vitu nyumbani na yeye arudi nyumbani akakataa. Kwa hyo Mkuu ulitaka niwaache Watoto wage kwa utapiamlo, maana hali ya watoto ilikuwa inakaribia na watoto wenye utapiamlo kwa muda mchache ambao huyo mwanamke alikaa nao.?
Ok pole kwa yote....ila ukipata mwanamke mwingine usirudie tena,michepuko inaharibu sana ndoa,wewe unaweza kuona ni kitu kidogo ila mwenzio hawazi hivyo....msamehe uwe na amani moyoni!
 
Umeshinda mkuu Akanyambasira, wasalimie Kamachumu.


Sawa mkuu ila siku nyingine jifunze kubalanve shobo maana mwanzoni umeanza kwa kumdharau mwana na TV zake alizonunua kwa jasho lake..hapa mwishoni ukaja kijivua Nguo kuwa uliongwa gari...hahahahaaaa
 
Kama mtu hajawahi changamoto kama hizi anaweza kudhani ni hadithi za kutunga.
Tena afadhali wew maumivu yako sio makubwa kama yangu, story kwa ufupi mke wangu kwa kushirikiana na familia yake waliuza kila kitu nyumba hadi gari na mtoto niliambiwa sio wangu na kweli mtoto alikuwa sio wangu kuja kufuatilia kumbe nilioa mwanamke akiwa na ujauzito wa mwezi mmoja.
Baada ya miezi 2 kurudi Tz kupeleleza nikagundua mwanamke yupo kwa bwana ake aliyemzalisha uyo mtoto.
Nikafungua kesi ya wizi mahakamani, mpka muda muda huu ndugu wa mwanamke, mwanamke mwenyewe pamoja na bwana ake wapo segerea mwaka 1.5 huu na warudishe mali zangu zote
Ulichokifanya ndugu yetu sio ukatili bali ni fundishp kwa wanawake wengine wenye tabia kama hizo. Agiza Novida nakuja kulipa.
 
Kama we ni me una wivu wa ke..kwa hyo hata kama ni TV na vitanda ndo ticket ya kuuza. Wewe huna lolote ni wivu tu..na 100% uhakika unakaa kwa Dada yako tena hakutaki kwa hyo usiku wakati akipigwa miti na shemeji yako analia balaa ili kukukera. Ila ulivyo fala na wewe zile kelele zinakufanya unasimamisha, na asubuhi unakaa meza moja na shemeji yako unakunywa naye chai. Acha wivu wa kingese mkuu, mwana hata kama ni kidogo alichokuwa nacho hakimpi halali huyo mwanamke kuuza bila makubaliano. Ondoka kwa Dada Mkuu ukatafute vyako, utakuwa na uvhungu navyo, achia watoto wa Dada remote ya TV maana wewe ndo mbadilisha channel mkuu.
Aiseee!!
 
Wanawake wengine basi tu wanasababisha wanawake wote kuoneka kama yeye. Dunia inawapa adhabu wanayostahili
 
Yatokanayo
1. Mkeo alikuwa anachepuka nje toka zamani.
2. Ulitumia nguvu ya ushawishi ya pesa/mali kumpata huyo mkeo.
3. Hapakuwa na mapenzi ya dhati/kweli kutoka kwa mkeo!
4. Kuna/una weakness ambayo mkeo ilikuwa ni tatizo kwa mkeo!!

Mapungufu.
1. Sababu ya msingi ya mkeo kuondoka haujaeleza
Si alisema pale mke wake alikuwa na hasira kuhusu ule mchepuko wa jamaa
 
Ya kuondoka gafla anaijua Mungu, suppose hao watoto ndo wakatanguli kuondoka, kikubwa jamaa amsamehe ila asirudiane nae huyo n shetani
Kaka nielewe sipingi wewe kuwachukua watoto, ila kutoka moyoni naona mbele kuna drama inakuja na itahusu watoto. Tazama kwa makini maisha baada ya mama yako kuondoka duniani kisha tazama nawe uondoke ghafla! Nini kinafata? Kwakua unawapenda watoto basi vaa uhusika wao kisha chukulia mama yako angekosa hivyo nini kingefanyika.
 
Hii point nimemuonesha mke wangu na kumsomesha kisa kizima kwa sababu anamsikiliza mama yake na anamuona ni dira ya dunia kama vile dochi veree na imefikia point wanajenga kisiri siri mama yake ndo mkandarasi ila mimi najenga mali za familia anyway ngoja jipu langu nami likitumbuka nitakuja na uzi mrefu kama huu.ASANTE MTOA MADA NATAMANI WANAWAKE WOTE WA JF WANGESOMA HII HADITHI YAKO.
wanawake mkiolewa msisikilize maneno ya ndugu, marafiki, achana na dada zako na mama yako, fata akili zako. Nina sema hivi kwasababu tukio kama hili la kushikiwa masikio na ndugu zako kisa mmeo ana pesa lilishawahi kutokea kwenye ukoo wetu. Maarifa ya maisha ni muhimu.
 
Kama we ni me una wivu wa ke..kwa hyo hata kama ni TV na vitanda ndo ticket ya kuuza. Wewe huna lolote ni wivu tu..na 100% uhakika unakaa kwa Dada yako tena hakutaki kwa hyo usiku wakati akipigwa miti na shemeji yako analia balaa ili kukukera. Ila ulivyo fala na wewe zile kelele zinakufanya unasimamisha, na asubuhi unakaa meza moja na shemeji yako unakunywa naye chai. Acha wivu wa kingese mkuu, mwana hata kama ni kidogo alichokuwa nacho hakimpi halali huyo mwanamke kuuza bila makubaliano. Ondoka kwa Dada Mkuu ukatafute vyako, utakuwa na uvhungu navyo, achia watoto wa Dada remote ya TV maana wewe ndo mbadilisha channel mkuu.
Aisee we n konki
 
Haina neno mkuu, na wewe next time jifunze kuwa na maneno mazuri, na sio kunitukania dada yangu.

Na kuhusu hilo swala la gari, nimeonesha tu jinsi utu ulivyo na thamani kuliko vitu.

Hii ndio meseji yangu ya mwisho in a polite way, ukinijibu kingese ngese naanza. Maana naona kama nimekustahi halafu unaleta pigo ajabu.

Sawa mkuu ila siku nyingine jifunze kubalanve shobo maana mwanzoni umeanza kwa kumdharau mwana na TV zake alizonunua kwa jasho lake..hapa mwishoni ukaja kijivua Nguo kuwa uliongwa gari...hahahahaaaa
 
Nilishuhudia Mwanamke aliekwenda kuazima shoka kwa jirani kisha akapasua vyombo na thamani za nyumba nzima aliposikia mumewe ana mpango tu wa kuongeza mke wa pili. Jamaa alikuwa ni mfanyabiashara mkubwa sasa imagine thamani za ndani, kitu Sony Bravia 50 inch curve mpya kabisa ilipigwa shoka chali kifo cha mende...…..Pale ndio niliposema kweli mwanamke ni jalala.
 
Back
Top Bottom