Sawa mkuu, ila mkuu usiniombee/usinisemee mbaya kiasi hiki, hujui ni kwa jinsi gani hii kitu iliniumiza, nilifanya juhudi Zote kumrudisha mwenzangu ila ikashindikana, na kama umenisoma vzuri mwenzangu alikuwa hanipi nafasi ya kutosha kuongea naye baada ya kuwa ameondoka maana nikiongea naye kidogo tu akakata simu na mwishowe kuzima kabisa.
Mkuu zile pombe nilizokuwa nakunya nilikuwa sinywi kwa starehe mkuu, I bet you know what I mean.
Mkuu nilikosea hilo mpaka kesho nita-admit ila kwenye hii ishu ambaye huwa namlaumu mpaka kesho ni mama Mkwe, yule mama angevaa jukumu lake kama mama mambo yasingefika hapa yalipo, hata kama vitu baadhi vilishauzwa au hata vyote, yule mama angeamua Mtoto wake arudi na kuendelea na maisha angerudi. Mkuu naomba ujue tu kuwa I am not a monster, nina madhaifu yangu kama binadamu mwninge yoyote ila am not a monster boss
Asante