Kila nikikumbuka aibu niliyoipata sitamani tena hata kuonana na yule binti

Kila nikikumbuka aibu niliyoipata sitamani tena hata kuonana na yule binti

Ungeamua kutafuta maji upaoshe, yaani ungetoka na ndoo ya chooni huku ukilaani kile kitendo angekuelewa.

Ila anaweza tu kujua siyo wewe kama ni mwelewa
Mimi sikuwa tayari kusafisha kitu cha mtu mwingine, lengo langu lilikuwa niondoke tu niache kama palivyo, ila siku ya aibu ikija haina sababu na nilikubali kudhalilika maana najua alijua ni mimi tu.
 
Mkuu hatakama ningesema hivyo, bado mimi ndyo wa mwisho kutoka na nirahisi kwake kuona kama nadanganya.
Ila kama mazingira yalikuwa ya bush bush kidogo atakuwa alijiongeza tu kwamba sio wewe ulieacha huo mzigo, so usimuonee aibu.
 
Yeye vipi aliendelea au vipi,kimba ni kitu cha kawaida sana na watu wanalamba Hadi kinakotokea wala usijstukie endelea na mambo yako kama unamtaka,Tena yeye alikuona ndo maana akaja!
Siku hiyo nilienda msibani ambapo nilifiwa na mjomba wangu, sasa kama unavyojua kwenye msiba ndugu mbalimbali hukutana. Na siku hiyo alikuwepo ndugu yangu ambaye alikuwa ni binti mrembo sana na tunafahamiana na kiukweli huwa namtamani sana.

Wakati shughuli za mazishi zimekamilika, tukabaki ndugu tu na watu wengine walitawanyika, sasa nikabanwa na haja ikabidi niende msalani, kufika msalani naingia tu nakutana na kitu kizito yaani mzigo 💩 umeshushwa na kuachwa bila kusafishwa na maji hakuna. Na niliona kabisa ni mzigo mpya usio na muda mrefu.

Nikaona isiwe tabu acha nitoke nikatafute ustaarabu mwingine, ile natoka tu namuona yule mrembo naye anakuja njia ya msalani, tukapishana na moja kwa moja akaelekea msalani na najua alichokiona alidhani tu ni mimi nimeacha ule msala pale kwenye sink.

Kuanzia siku hiyo sitamani hata kukutana tena na yule binti, kila nikikumbuka najihisi niliingia aibu kubwa ambayo kiukweli sikustah
 
Yeye vipi aliendelea au vipi,kimba ni kitu cha kawaida sana na watu wanalamba Hadi kinakotokea wala usijstukie endelea na mambo yako kama unamtaka,Tena yeye alikuona ndo maana akaja!
Mkuu mimi baada yakipishana naye wala sijageuka nyuma na nilipotea kabisa maeneo yale.
 
Siku hiyo nilienda msibani ambapo nilifiwa na mjomba wangu, sasa kama unavyojua kwenye msiba ndugu mbalimbali hukutana. Na siku hiyo alikuwepo ndugu yangu ambaye alikuwa ni binti mrembo sana na tunafahamiana na kiukweli huwa namtamani sana.

Wakati shughuli za mazishi zimekamilika, tukabaki ndugu tu na watu wengine walitawanyika, sasa nikabanwa na haja ikabidi niende msalani, kufika msalani naingia tu nakutana na kitu kizito yaani mzigo 💩 umeshushwa na kuachwa bila kusafishwa na maji hakuna. Na niliona kabisa ni mzigo mpya usio na muda mrefu.

Nikaona isiwe tabu acha nitoke nikatafute ustaarabu mwingine, ile natoka tu namuona yule mrembo naye anakuja njia ya msalani, tukapishana na moja kwa moja akaelekea msalani na najua alichokiona alidhani tu ni mimi nimeacha ule msala pale kwenye sink.

Kuanzia siku hiyo sitamani hata kukutana tena na yule binti, kila nikikumbuka najihisi niliingia aibu kubwa ambayo kiukweli sikustahili.
Kwa kua ulikua na Nia ovu ya kumtaja ndugu yako Kwa mahitaj ya zinaa Mungu ndo aliamua akutenganishe naye Kwa iyo njia
 
😹😹😹😹😹😹😹 Ata mm ningejua ni ww ila si Bora ungesema chooni sio kusafi kiongozi
 
Back
Top Bottom