KERATO MOMBAA
Senior Member
- Feb 4, 2025
- 161
- 227
MATATIZO YALIANZIA HAPA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana mkuu, kile kitu kinaonekana kabisa kilikuwa cha Baharia mmoja hiviUzuri hausiani na kushusha bomboclat
Mimi sikuwa tayari kusafisha kitu cha mtu mwingine, lengo langu lilikuwa niondoke tu niache kama palivyo, ila siku ya aibu ikija haina sababu na nilikubali kudhalilika maana najua alijua ni mimi tu.Ungeamua kutafuta maji upaoshe, yaani ungetoka na ndoo ya chooni huku ukilaani kile kitendo angekuelewa.
Ila anaweza tu kujua siyo wewe kama ni mwelewa
Ila kama mazingira yalikuwa ya bush bush kidogo atakuwa alijiongeza tu kwamba sio wewe ulieacha huo mzigo, so usimuonee aibu.Mkuu hatakama ningesema hivyo, bado mimi ndyo wa mwisho kutoka na nirahisi kwake kuona kama nadanganya.
Siku hiyo nilienda msibani ambapo nilifiwa na mjomba wangu, sasa kama unavyojua kwenye msiba ndugu mbalimbali hukutana. Na siku hiyo alikuwepo ndugu yangu ambaye alikuwa ni binti mrembo sana na tunafahamiana na kiukweli huwa namtamani sana.
Wakati shughuli za mazishi zimekamilika, tukabaki ndugu tu na watu wengine walitawanyika, sasa nikabanwa na haja ikabidi niende msalani, kufika msalani naingia tu nakutana na kitu kizito yaani mzigo 💩 umeshushwa na kuachwa bila kusafishwa na maji hakuna. Na niliona kabisa ni mzigo mpya usio na muda mrefu.
Nikaona isiwe tabu acha nitoke nikatafute ustaarabu mwingine, ile natoka tu namuona yule mrembo naye anakuja njia ya msalani, tukapishana na moja kwa moja akaelekea msalani na najua alichokiona alidhani tu ni mimi nimeacha ule msala pale kwenye sink.
Kuanzia siku hiyo sitamani hata kukutana tena na yule binti, kila nikikumbuka najihisi niliingia aibu kubwa ambayo kiukweli sikustah
Ilikuwa huko mkoani bush, ila sijawahi kukutana naye tena mpaka leo.Ila kama mazingira yalikuwa ya bush bush kidogo atakuwa alijiongeza tu kwamba sio wewe ulieacha huo mzigo, so usimuonee aibu.
Mkuu mimi baada yakipishana naye wala sijageuka nyuma na nilipotea kabisa maeneo yale.Yeye vipi aliendelea au vipi,kimba ni kitu cha kawaida sana na watu wanalamba Hadi kinakotokea wala usijstukie endelea na mambo yako kama unamtaka,Tena yeye alikuona ndo maana akaja!
Kwani shida Iko wapi mtu wangu wa nguvu,kimba kila mtu anayoYani mtu mwingine ashushe mzigo wake alafu mimi nisafishe? Hiyo kazi sifanyi
Hiyo nguvu ya kusema hivyo nilikosa kabisaUngemwambia utakachokuta humo ndani sio mimi.
Basi hapo kuwa na amani, watu wabush asilimia kubwa sio wastaraabu sana hasa upande wa kujisaidia.Ilikuwa huko mkoani bush, ila sijawahi kukutana naye tena mpaka leo.
Kwa kua ulikua na Nia ovu ya kumtaja ndugu yako Kwa mahitaj ya zinaa Mungu ndo aliamua akutenganishe naye Kwa iyo njiaSiku hiyo nilienda msibani ambapo nilifiwa na mjomba wangu, sasa kama unavyojua kwenye msiba ndugu mbalimbali hukutana. Na siku hiyo alikuwepo ndugu yangu ambaye alikuwa ni binti mrembo sana na tunafahamiana na kiukweli huwa namtamani sana.
Wakati shughuli za mazishi zimekamilika, tukabaki ndugu tu na watu wengine walitawanyika, sasa nikabanwa na haja ikabidi niende msalani, kufika msalani naingia tu nakutana na kitu kizito yaani mzigo 💩 umeshushwa na kuachwa bila kusafishwa na maji hakuna. Na niliona kabisa ni mzigo mpya usio na muda mrefu.
Nikaona isiwe tabu acha nitoke nikatafute ustaarabu mwingine, ile natoka tu namuona yule mrembo naye anakuja njia ya msalani, tukapishana na moja kwa moja akaelekea msalani na najua alichokiona alidhani tu ni mimi nimeacha ule msala pale kwenye sink.
Kuanzia siku hiyo sitamani hata kukutana tena na yule binti, kila nikikumbuka najihisi niliingia aibu kubwa ambayo kiukweli sikustahili.
Sio undugu wa karibu sana, pia kwa mila zetu naweza hata kumuoa.Kwa kua ulikua na Nia ovu ya kumtaja ndugu yako Kwa mahitaj ya zinaa Mungu ndo aliamua akutenganishe naye Kwa iyo njia
Nilikubali tu lawama zote zinishukie mimi 😁Ungetafuta mjinga mjinga unamtwisha lawama kote😂😂
Mbona huku dar mambo yakawaida haya😁😁
Ni kweli lakini busara ni kuhakikisha kimba lako halionekani na mtu yeyote.Kwani shida Iko wapi mtu wangu wa nguvu,kimba kila mtu anayo
😅😅😅😅Ningekua mimi siondoki hapo mlangoni hadi mzigo upimwe DNA
Sawa Ningesema sio kusafi lakini swali ni nani kachafua😹😹😹😹😹😹😹 Ata mm ningejua ni ww ila si Bora ungesema chooni sio kusafi kiongozi