Kila nikikumbuka aibu niliyoipata sitamani tena hata kuonana na yule binti

Ulitakiwa kumwambia huku chooni nimepakuta pachafu sasa wewe umekaa kimya hapo lazima akuhisi ni wewe
 
Sawa Ningesema sio kusafi lakini swali ni nani kachafua
Kiongozi ukutaka tu kusema kama ni kuchafu ivi nani angeuliza nani kachafua ni Bora kusema kuliko kuonekana wew ndo umechafua ndo maana unaona aibu adi leo
 
Kiongozi ukutaka tu kusema kama ni kuchafu ivi nani angeuliza nani kachafua ni Bora kusema kuliko kuonekana wew ndo umechafua ndo maana unaona aibu adi leo
Huwezi amini kuna wakati ilikuwa tukutane ila nikala kona maana mpaka leo bado nahisi anadhani mimi ni mtu wa hovyo kwa kitendo kile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…