Kila nikikumbuka ajira za ualimu nazo zina interview Sasa hivi nachanganyikiwa basi wangezingatia na miaka ya kuhitimu chuo

Kila nikikumbuka ajira za ualimu nazo zina interview Sasa hivi nachanganyikiwa basi wangezingatia na miaka ya kuhitimu chuo

Nyanda Banka

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2023
Posts
304
Reaction score
1,054
Yani mtu kahitimu chuo ana miaka 6 ama 5 anaenda kufanya interview na watoto aliowafundisha shule kipindi yupo field ama aliowaacha shule muda mrefu


Yani mtoto kamaliza juzi chuo anaenda kula ajira kwakuwa kafaulu interview na Hana muda mrefu kumaliza chuo bado ubongo wake umejaa material ya shule na hana stress zozote za mtaani kweli maisha haya sio Fair kabisa

Basi sawa kama wameamua interview basi wangezingatia na miaka ya kuhitimu ila kupunguza kundi lililokaa mtaani muda mrefu
 
Hawana shida na wewe. CCM wao wametafuta namna ya kujivua au kujitenga na lawama za kwanini wewe upo mtaani. Hakika tuna safari ndefu kama taifa.
Yani mtu kahitimu chuo ana miaka 6 ama 5 anaenda kufanya interview na watoto aliowafundisha shule kipindi yupo field ama aliowaacha shule muda mrefu


Yani mtoto kamaliza juzi chuo anaenda kula ajira kwakuwa kafaulu interview na Hana muda mrefu kumaliza chuo bado ubongo wake umejaa material ya shule na hana stress zozote za mtaani kweli maisha haya sio Fair kabisa

Basi sawa kama wameamua interview basi wangezingatia na miaka ya kuhitimu ila kupunguza kundi lililokaa mtaani muda mrefu
 
Yani mtu kahitimu chuo ana miaka 6 ama 5 anaenda kufanya interview na watoto aliowafundisha shule kipindi yupo field ama aliowaacha shule muda mrefu


Yani mtoto kamaliza juzi chuo anaenda kula ajira kwakuwa kafaulu interview na Hana muda mrefu kumaliza chuo bado ubongo wake umejaa material ya shule na hana stress zozote za mtaani kweli maisha haya sio Fair kabisa

Basi sawa kama wameamua interview basi wangezingatia na miaka ya kuhitimu ila kupunguza kundi lililokaa mtaani muda mrefu
Duh....hatari hiyo.
 
Yani mtu kahitimu chuo ana miaka 6 ama 5 anaenda kufanya interview na watoto aliowafundisha shule kipindi yupo field ama aliowaacha shule muda mrefu


Yani mtoto kamaliza juzi chuo anaenda kula ajira kwakuwa kafaulu interview na Hana muda mrefu kumaliza chuo bado ubongo wake umejaa material ya shule na hana stress zozote za mtaani kweli maisha haya sio Fair kabisa

Basi sawa kama wameamua interview basi wangezingatia na miaka ya kuhitimu ila kupunguza kundi lililokaa mtaani muda mrefu
ajira nyingi wangekua wanaangalia na umri pia. mtoto wa miaka 25 ana ajira kaka zake wana miaka 35 bado ngoma inasoma asian handicap -1.5
 
Yani mtu kahitimu chuo ana miaka 6 ama 5 anaenda kufanya interview na watoto aliowafundisha shule kipindi yupo field ama aliowaacha shule muda mrefu


Yani mtoto kamaliza juzi chuo anaenda kula ajira kwakuwa kafaulu interview na Hana muda mrefu kumaliza chuo bado ubongo wake umejaa material ya shule na hana stress zozote za mtaani kweli maisha haya sio Fair kabisa

Basi sawa kama wameamua interview basi wangezingatia na miaka ya kuhitimu ila kupunguza kundi lililokaa mtaani muda mrefu
Acha ubinafsi mwalimu, usaili huu umefeli ila ujao jiandae vyema nawewe utafaulu
 
Yani mtu kahitimu chuo ana miaka 6 ama 5 anaenda kufanya interview na watoto aliowafundisha shule kipindi yupo field ama aliowaacha shule muda mrefu


Yani mtoto kamaliza juzi chuo anaenda kula ajira kwakuwa kafaulu interview na Hana muda mrefu kumaliza chuo bado ubongo wake umejaa material ya shule na hana stress zozote za mtaani kweli maisha haya sio Fair kabisa

Basi sawa kama wameamua interview basi wangezingatia na miaka ya kuhitimu ila kupunguza kundi lililokaa mtaani muda mrefu
Mmh hatari
 
tukiweka ushabiki pembeni ,,, hili swala ni kama serikali inajaribu kuwa ambiwa walimu kuwa walimu waliomaliza na kukaa miaka 5 6 mpaka 7 mtaani ,, watafute shughuli nyingine kwenye fani ya uwalimu hawaitajiki tenaaa ,, lakini sasa ndiyo hivyo tena serikali inashindwa lugha ya moja kwa moja ya kuitumia,, serikali inatamani kuajili vijana wa 2020 kuja juu basi ila sasa ndiyo hivyo huwezi kuwaambia watu wasiombe utanyanyua mjadala mzito sanaa

Unajua mfano mtu aliyemaliza let say 2017 ,, leo hii unaenda kumuuliza swali la course may introduction to psychology ,,, course hii huyu mtu aliisoma 2014 au 2015 sasa leo unaenda kumlazimisha akumbuke mambo aliyosoma miaka 7 nyuma na kuangalia kama kweli yupo compitent katika hilo eneo bila kujali other factors like time ,, na mambo mengine mengi,,, is like wame - assume huyu mtu toka alipomaliza yupo costant yani hajishughulishi na jambo jingine lolote isiokuwa shule tu ukwel interview ishakosa realibility...
 
Yani mtu kahitimu chuo ana miaka 6 ama 5 anaenda kufanya interview na watoto aliowafundisha shule kipindi yupo field ama aliowaacha shule muda mrefu


Yani mtoto kamaliza juzi chuo anaenda kula ajira kwakuwa kafaulu interview na Hana muda mrefu kumaliza chuo bado ubongo wake umejaa material ya shule na hana stress zozote za mtaani kweli maisha haya sio Fair kabisa

Basi sawa kama wameamua interview basi wangezingatia na miaka ya kuhitimu ila kupunguza kundi lililokaa mtaani muda mrefu
Poleni
 
tukiweka ushabiki pembeni ,,, hili swala ni kama serikali inajaribu kuwa ambiwa walimu kuwa walimu waliomaliza na kukaa miaka 5 6 mpaka 7 mtaani ,, watafute shughuli nyingine kwenye fani ya uwalimu hawaitajiki tenaaa ,, lakini sasa ndiyo hivyo tena serikali inashindwa lugha ya moja kwa moja ya kuitumia,, serikali inatamani ikianza kuajili vijana wa 2020 kuja juu basi ila sasa ndiyo hivyo huwezi kuwaambia watu wasiombe utanyanyua mjadala mzito sanaa

Unajua mfano mtu aliyemaliza let say 2017 ,, leo hii unaenda kumuuliza swali la course may introduction to psychology ,,, course hii huyu mtu aliisoma 2014 au 2015 sasa leo unaenda kumlazimisha akumbuke mambo aliyosoma miaka 7 nyuma na kuangalia kama kweli yupo compitent katika hilo eneo bila kujali other factors like time ,, na mambo mengine mengi,,, is like wame - assume huyu mtu toka alipomaliza yupo costant yani hajishughulishi na jambo jingine lolote isiokuwa shule tu ukwel interview ishakosa realibility...
Yaani wao hawajali chochote hapo wanawaza perdiem tu wajipigie katika hili Zoezi. Saa hizo ukiniuliza hupendi Nini hapa Tanzania, nitakwambia CCM na mambo yake yote.
 
tukiweka ushabiki pembeni ,,, hili swala ni kama serikali inajaribu kuwa ambiwa walimu kuwa walimu waliomaliza na kukaa miaka 5 6 mpaka 7 mtaani ,, watafute shughuli nyingine kwenye fani ya uwalimu hawaitajiki tenaaa ,, lakini sasa ndiyo hivyo tena serikali inashindwa lugha ya moja kwa moja ya kuitumia,, serikali inatamani kuajili vijana wa 2020 kuja juu basi ila sasa ndiyo hivyo huwezi kuwaambia watu wasiombe utanyanyua mjadala mzito sanaa

Unajua mfano mtu aliyemaliza let say 2017 ,, leo hii unaenda kumuuliza swali la course may introduction to psychology ,,, course hii huyu mtu aliisoma 2014 au 2015 sasa leo unaenda kumlazimisha akumbuke mambo aliyosoma miaka 7 nyuma na kuangalia kama kweli yupo compitent katika hilo eneo bila kujali other factors like time ,, na mambo mengine mengi,,, is like wame - assume huyu mtu toka alipomaliza yupo costant yani hajishughulishi na jambo jingine lolote isiokuwa shule tu ukwel interview ishakosa realibility...
Pongezi Kwa John mjenga SGR 😆😆😆😆

Ni mda wa kupanda Sgr badala ya Kulalamikia ajira,
 
Swala la umri nalo walipe kipaumbele aisee..kuna jamaa kamaliza chuo 2009 na sasa anaumri wa miaka 43 kabakiza miaka 2 Dirisha la usajili lifungwe kwenye swala la kuajiriwa serikalini.Ajira za hv karibuni nazo amejaribu kuomba tena na anasema mpaka dirisha la usajili lifungwe ndo atainua mikono juu....Huyu unaenda kumshindanisha... sisemi kushindanisha ni jambo mbaya hapana unamshindanisha na aliyemaliza chuo mwaka jana mi nadhani CV yake huyu ndo ingempitisha kwa sababu hata akiajiriwa kabakiza miaka 17 tu ya kustaafu nalo hili waliangalie sana.
 
Back
Top Bottom