Orketeemi
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,063
- 12,866
Watu mnazungumzia kukaa mtaan miaka 5?
Nimehitimu chuo 2015,, mpaka muda naandika hapa nipo najishughulisha n biashara ya miwa.
Interview hata nikiitwa sitaenda maana sikumbuki chochote .
Ila naamin nikiajiriwa nitahitaji week mbili tu kuwa vizuri na hakuna atakayenikaribia kwenye uchapaji kazi Kwa sababu nafaham ilivyo kazi kupata kazi.
Nimehitimu chuo 2015,, mpaka muda naandika hapa nipo najishughulisha n biashara ya miwa.
Interview hata nikiitwa sitaenda maana sikumbuki chochote .
Ila naamin nikiajiriwa nitahitaji week mbili tu kuwa vizuri na hakuna atakayenikaribia kwenye uchapaji kazi Kwa sababu nafaham ilivyo kazi kupata kazi.